TRA yazindua kodi ya kitanda kutoka kwa Watalii

TRA yazindua kodi ya kitanda kutoka kwa Watalii

hii nchi ina historia kubwa haijawahi kushindwa vita haiwezi kushindwa vita na mebeberu yanayokuja kusanifu wanyama wetu huku yakiwa na nia mbaya ya kusapoti ushoga na usagaji kupitia chadema tuna jeshi imara tutayashinda tu tuko kwenye vita ya kiuchumi
 
Nilitegemea kuona serikali inapunguza mzigo wa kodi kwenye sector ya utalii lakini hari ni tofauti..Sector ya utalii tunaiuwa si wenyewe.
Gharama za utalii zinapokuwa kubwa kwa mtalii ana ghairi nakwenda nchi nyingine mwisho wa siku Hotel zetu zitakufa kifo cha mende na kuwa hostel
Uchumi wa dunia umepolomoka nilifikiri gharama zingeshuka zaidi kwa watalii ili kuvutia waje wengi zaidi sie tunapandisha..
Mzungu anajibana miaka 3 kukusanya pesa aje kutembea Africa sie tunamfukuza,wache waendelee kwenda nchi nyingine duniani.
Tukitoka hapo tunawaita mabeberu wakati ujinga wetu wenyewe..
Miaka 3 baadaye utasikia kodi imeondolewa hapo hotel kibao zilikwisha fungwa na watu kibao walikwisha poteza ajira kuanzia dereva mpaka mwosha vyombo wa hotel hata yule mmasai wa kukaribisha wageni Tanapa alikwisha rudi kuchuga Ng'ombe
Serikali ipambane kulinda ajira na kuongeza ajira sector binafsi na sio kupambana kuuwa ajira za sector binafsi kwa kuongeza mlindikano wa makodi..
 
Shule ya St. JUDE wameifungia account zao kisa hawakupeleka watoto wao kwenye kampeni za CCM, kuimba mapambio kama shule nyingine.

Hii nchi kumpa huyu dereva lesseni ya kutuendesha, tumeingia chaka.

1) Mwenye kampuni ya kutembeza watalii, alipie kampuni yake kodi.

2) Na hayo magari yake ya kampuni ya watalii, alipie kodi.

3) Gari likiwekewa mafuta, unakutana na kodi.

4) Dereva nae, alipe kodi lesseni yake na ajira yake sambamba na kodi ya Trafic Police (Vijana wa kukusanya mapato TRA).

5) Mwenye hoteli wanaofikia watalii hao (Pengine mwenye kampuni ya utalii ndio hoteli yake pia), alipe kodi. Ndani ya hio hoteli yake anayoilipia kodi, chumbani kitanda nacho kikilaliwa, kilipiwe kodi.

Halafu serikali tunaambiwa haina hela. Shabaashi.

Wasisahau na KODI YA KUTUMIA VYOO KWA WATALII (Kama Vyoo Vya Kulipia Standi Za Bus).
Hivi hawa watu kwanini hawatushirikishii Wameshindwa kujkusanya koldi ya mashamba, majuumba, vijwanja, mifugo, nk
 
Safi sana. Sasa TRA walete kodi ya kupiga bao. Mtalii akipiga bao kwenye kitanda kilicholipiwa kodi ya TRA alipe kodi ya bao hata kama ni bao la wet dream nasema ariipeeeee😂😂
 
Mbona haya mapicha sijayaelewa vizur ? Kwan hotel anayolala huyo mtalii si inalipiwa kodi? Sasa kiaje tena na kitanda nacho kitolewe kodi?

Jaman hii ni fulsa kwa watanzania tuache kujenga mahotel sasa hiv tukanunue magari na trela za rv tufanye biashara
 
Shule ya St. JUDE wameifungia account zao kisa hawakupeleka watoto wao kwenye kampeni za CCM, kuimba mapambio kama shule nyingine.

Hii nchi kumpa huyu dereva lesseni ya kutuendesha, tumeingia chaka.

1) Mwenye kampuni ya kutembeza watalii, alipie kampuni yake kodi.

2) Na hayo magari yake ya kampuni ya watalii, alipie kodi.

3) Gari likiwekewa mafuta, unakutana na kodi.

4) Dereva nae, alipe kodi lesseni yake na ajira yake sambamba na kodi ya Trafic Police (Vijana wa kukusanya mapato TRA).

5) Mwenye hoteli wanaofikia watalii hao (Pengine mwenye kampuni ya utalii ndio hoteli yake pia), alipe kodi. Ndani ya hio hoteli yake anayoilipia kodi, chumbani kitanda nacho kikilaliwa, kilipiwe kodi.

Halafu serikali tunaambiwa haina hela. Shabaashi.

Wasisahau na KODI YA KUTUMIA VYOO KWA WATALII (Kama Vyoo Vya Kulipia Standi Za Bus).
Wakuu wangu anaejua taifa linaelekea wapi naomba anipe jibu,
OMBI ebu jpm kila mwezi tenga mda ikiwezekana uwe unajitokeza hapa jf hutujibu maswali yetu hapa, tutazuia kebehi na matusi ,ila tu utujibu,maswali yetu na swali la msingi ni kwamba hivi kweli mpaka mda huu taifa lipo kwenye mstari upi, na je haya yanayosemwa yana baraka za mamlaka za juu au ni baadhi ya watumishi wanakuhujum
 
Kamishna Mkuu wa TRA Dkt. Edwin Mhede amepokea orodha ya huduma za malazi iliyoboreshwa 2020 kutoka kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Aloyce Nzuki ili kuiwezesha TRA kukusanya tozo ya Kitanda Siku kutoka kwa Watalii wanaotumia huduma za malazi.

View attachment 1641829

Hii ni katika harakati za kuongeza mapato
Wameharibu shughuli zetu sasa inaingia mfukoni mwetu
 
Wakuu wangu anaejua taifa linaelekea wapi naomba anipe jibu,
OMBI ebu jpm kila mwezi tenga mda ikiwezekana uwe unajitokeza hapa jf hutujibu maswali yetu hapa, tutazuia kebehi na matusi ,ila tu utujibu,maswali yetu na swali la msingi ni kwamba hivi kweli mpaka mda huu taifa lipo kwenye mstari upi, na je haya yanayosemwa yana baraka za mamlaka za juu au ni baadhi ya watumishi wanakuhujum
Kama sikosei wakat wa kikwete alikuwa na kipindi TBC( Enzi hivo ni TVT) kila ijumaa ya mwisho wa mwezi halikuwa anaruka live kutoa hutuba na mda mwingne wanaruhusu sim za maswali. Nais itakuwa vyema kama na huyu akianzisha hiyo program
 
Msijisahaulishe nini maana ya upinzani. Unategemea chama kikuu cha upinzani kiisifu serikali inayoundwa na chama pinzani kwake?!
lakni kwani upinzani maana yake upinge kila kitu mkuu??🤔
 
yani huyu dada hajawahi post eti "magufuli awanyoosha mabeberu...." mwikoooo yeye yale mabaya tu ,daah kuna watu wanaroho ngumu aisee 😂😂😂😂😂
Kwani hili baya, kupeana taarifa kuwa kuna kodi ya Kitanda Siku nayo nongwa au ni wakala wa mabeberu? Jamani kuweni na akili hata kidogo basi.
 
Back
Top Bottom