TRA yotoa ufafanuzi wa madai ya kutengeneza mfumo wa kuingiza mizigo nchini usio halali

Umeelezea vizuri sana. Kuna wengine hapa wanachangia bila kujua tatizo ni nini hasa. Kwenye swali lako la mwisho ni kama nimesikia akisema kuwa aliambia kuwa utaratibu wa TRA unaruhusu mtu kuingiza mzigo wake kwa jina la hiyo kampuni. Inawezekana ndani ya TRA kuna wajanja wanatumia hii njia ili kupiga fedha. Na kama ni hivyo basi ni lazima kuna top personnel wanahusika kwa sababu jambo kama hili haliwezi kufanywa na ngazi za chini tu. Si ajabu hata waziri anahusika. Anyways, ni mwendelezo ule ule wa watendaji wa serikali kupiga kwa sababu juu, kuanzia kwa rais nako kumeoza.
 
Kwa hili, tupo pamoja.
 
Pole yako, mfanya biashara.

Naungana nawe, na nakushukuru kwa ujasiri wako wa kujitokeza na kuonyesha waziawazi uozo mkubwa uliopo ndani ya nchi yetu sasa hivi.

Lakini naishia hapo. Hatua ya kuomba Rais akusaidie wewe na kuacha uozo uleule ukiendelea kwa wengine kunakuondolea hata hiyo huruma ndogo na sifa ya ujasiri uliyoionyesha hapa.

Huyo huyo rais, kwa udhaifu wake ndiye chanzo cha matatizo haya yanayowakabili nyinyi na sisi wengine wote katika maeneo mbalimbali hapa nchini.
 
Nahisi huyo jamaa kanufaika na huo mfumo miaka nenda rudi sema hiyo ajali aliyopata watu wa Bima wanahitaji documents huyo jamaa angepiga kimya tu
 
Leo umenikosha sana. Heko bibi!
 
Naona mifumo fake ya ukusanyaji mapato imeenea sana. Tuliambiwa tena na Rais mwenyewe kuwa huko Mbeya kuna Halmashauri ilikuwa na mfumo tofauti wa Tax collection. Majizi kila mahali
 
Naona mifumo fake ya ukusanyaji mapato imeenea sana. Tuliambiwa tena na Rais mwenyewe kuwa huko Mbeya kuna Halmashauri ilikuwa na mfumo tofauti wa Tax collection. Majizi kila mahali

Mifumo yote inatakiwa iwe audited na approved na gov body husika.
Hili suala la kuwa na mifumo ya pembeni halijaanza leo wala jana.
Taasis nyingi wana mifumo ambayo sidhan serikali iko aware. Na humo humo ndipo wanapitia kufanya yao
 
Hili jambo lina big fraud ndani yake,lichunguzwe kwa kina na ukweli uwekwe wazi kwa jamii,maana Mlalamikaji hadi kusema yuko tayari afungwe pingu kama anasema uwongo si jambo dogo kama tunavyozani! Mamlaka zinazo husika wote kwa pamoja walifanyie kazi, ni muhimu sana mifumo yote ikasomana!!
 
Atajua... Na huyo alie shauri aende kwenye midia ndio kampoteza.

Pale unapokuwa na invoice na packing list halali kutoka Kwa supplier ila Kwa wakala wa forodha unapeleka documents tofauti.. Lazima kiumane tu...

Loophole ya mfumo ikukunufaisha mara moja bhas shukuru.. Ila usichukulie ndio utaratibu.
 
Hujaelewa. Wao walikuwa na mfuo wa kuiba hivi unategemea wasemeje????? Yaani TRA hata ningekuwa mimi ningekataa kwa sababu ni mfumo fake
Hivi Mama Bonge wa vitenge walimaluzana vp na TRA!? Maana lile sakata humu hadi Waziri mkuu aliusishwa nae kwenye mavitenge
 
Nahisi huyo jamaa kanufaika na huo mfumo miaka nenda rudi sema hiyo ajali aliyopata watu wa Bima wanahitaji documents huyo jamaa angepiga kimya tu
Apige kimya vp wakati hizo documents ziko TRA for record in case of emergency when needed!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…