TRA yotoa ufafanuzi wa madai ya kutengeneza mfumo wa kuingiza mizigo nchini usio halali


Hapo kwenye nyaraka naamini hakuna shida, bila shaka invoice ilikuja kwa jina lake na malipo akafanya hata kama hakufanya kunakuwa na arrangement inayompa obligation hiyo. Hivyo sitarajii kuwe BL inayosoma taarifa za mtu mwingine kwa mzigo wa mtu mwingine.

Clearing hapo ndo janja ilipofanyika. Period.
 
Kwani yule wa kkoo aliishia wapi alipata msaada baada ya kulalamika mbele ya Rais na vyombo vya habari? Tuanzie hapo nadhani
 
Ila walipoua wayahudi 1,300 ilikuwa ni sawa?
Usiamini kila unachokisikia kutoka kwa wayahudi, myzhudi anawezzza kuuliwa mmoja akasema "tumeuliwa elfu moja".

kwani kbala ya shambulio la Hamas wayahudi wameshwauwa wapalestina wangapi? Au hilo hiluielewi?
 
Yuko sahihi ila vita aliyoichagua ni ngumu sana
Huyo ni hamas, alishaamuwa kufa zamani sana. Kidume hicho hakitaki kuuliwa kibiashara huku kinatazama tu.

Si umesikia walivyomtisha?

Nnavyoijuwa Tanzania, huyo ndiyo wa kuungwa mkpo na kila Mtanzania. Wapo wengi sana wanaoonewa namna hiyo.

Na huyo godown lake lingekuwa halijawaka mto na asingetakiwa na kampuni ya bima kupeleka vielelezo, yasingejulikana kabisa hayo. Hata yeye alikuwa hafahamu, anajuwa kila kitu kinakwenda kihalali tu.
 
[emoji38]
 
Hapa uko sahihi kabisa...
Mizigo mnaingiza wengi....naona hapo kaitaja Hadi kampuni ya opo agency....
Sasa ishu Iko hivi Kwa mtizamo wangu...
Kama mtu anaingiza mzigo mkubwa ni Bora mzigo aulipie kodi mwenyewe(sijui hako kamchakato ) kamekaaje.....ila nachojua mpaka Sasa watu wanaingije mizigo Hadi ya milioni 200 kupitia agency hizi...
Na hakuna aliyekua anaona Kuna umuhimu WA kuingia yeye kama yeye....na hata tra walivyosema Kila mtu alipie mwenyewe watu waliona ni usumbufu lakin ukweli ni kwamba kwenye hili janga huyu jamaa sidhan kama atapa stahiki yake...
Alafu kingine tra hawamjui....Hilo ni sahihi maana hajaingiza mzigo yeye...dah
Sasa sisi wenye vi loose cargo tufanyeje jamani....
Na je wakiusimamia mfumo WA kulipa moja Kwa moja kule SI ni wazi kwamba makadirio ya kodi yatakuja makubwa....Bado umlipe agent
 
Yaani ni utaratibum WA kawaida aisee....
Wanaooagiza mizigo waje hapa jamani....
Yaani ni kawaida agent kubeba dhamana ya mzigo ili hali wewe hujulikan kabisa
 
Hivi Mama Bonge wa vitenge walimaluzana vp na TRA!? Maana lile sakata humu hadi Waziri mkuu aliusishwa nae kwenye mavitenge
Mama bonge alikua hakwepi kodi Kwa sababu inalipoka ila alikua anakwepa Kwa sababu Kodi ya vitenge "HAILIPIKI" ni kama ilivyo kodi ya icing sugar 100% ili hali hapa ndani haizalishwi....
Na imewekwa kundi la sukari....
Hii nch Kuna watu wahuni sana Kwa kuwa Kuna viwanda vya kina mo low quality na urafiki iliyojifia kwenye kitenge kodi wameeka asilimia 100..
Yaani unanunua kitenge elfu 12000 kodi 12000....uje uuze Kwa jumla 28000 rejareja 30,000
Hapo Bado mlolongo WA kodi kuanzia la pango
 
Mkuuu....kama unaingiza mzigo kutoa nje....
Ni nani anaenda kulipa kodi yako tra??
 
Tra walisema hata hapo juzi Kila mtu alipie mzigo wake mwenyewe ....ukiona kilichotokea hapo k.koo
Hapa kosa la tra....ni moja na ni kubwa sana Toka awali kuruhusu hao agency wabebe dhamana ya mizigo ya wateja...
Wangekomaa tu kwamba Kila mtu alipie mzigo wake mwenyewe....Kwa agent mlipe ela ya usafirishaji tu....
Ndo maana wanasema kwamba jamaa haonekani kwenye mfumo....ni kweli...inaonekana kampuni aliyoitumia kusafirishia....
Na ndo kitu kinaendelea Sasa hivi
 
Waulizeni wafanya biashara wa Kariakoo kama kuna hata mmoja ana karatasi ya importation ya mali walizo nazo dukani. Mizigo yote inasafirishwa na kutolewa na GSM. Siri ndio iko hapa GSM na TRA wakanushe na hii kwani ni ya miaka yote
Sio GSM tu na opo yake a.k.a Simba WA bahari...
Ni makampuni yote kuanzia hao kina gnm....na mapembelo
Wooote ndo wanaotambulika tra..
Watu Wana mizigo mikubwa lakin hawana documents za tra...
Ila swali langu kubwa ni mbona juzi kati tra walivyosema Kila mtu alipie mzigo wake kukawa Kuna maandamano?
Kunani?
 
Hili swala limetufungua wengi...lakin way forward ni ipi...ukizingatia loose cargo ya box 20 kweli ukapangw folen tra....nayo ni kwikwi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…