Twin Tower
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 2,170
- 3,067
Hahaa good analysis mkuu.
Sababu unaponunua bidhaa nje lazima BL(documents) zitangulie kwanza kabla ya mzigo means unajua mnunuzi na gharama. Sasa kama itakuwa kama ilivyosema hapo juu maana yake alijua tangu awali.
Au basi mzigo umetoka kwa arrangements za " nje ya uwanja" japo documents ni za kwake kweli ndomana TRA hawatambui. Hapo kuna mengi mkuu.
Hapo kwenye nyaraka naamini hakuna shida, bila shaka invoice ilikuja kwa jina lake na malipo akafanya hata kama hakufanya kunakuwa na arrangement inayompa obligation hiyo. Hivyo sitarajii kuwe BL inayosoma taarifa za mtu mwingine kwa mzigo wa mtu mwingine.
Clearing hapo ndo janja ilipofanyika. Period.