Trace Awards 2025: 26 February Mora Resort, Zanzibar

Cha kuokote lazima kikudhalilishe, hasa ukiongea sana.

Naona hadi wale watangazaji walishtuka wakamuacha tu.
Yes...πŸ˜€πŸ˜€wenzetu kama hujui English..unakuwa na mambo machache sana.Sio dhambi....
Kuna Mu Algeria alipita pale alikuwa simple mno..

Sasa sie akaja na Diamond she.....πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€nimejisikia vibaya mno kama Mtanzania mwenzangu.πŸ˜ͺπŸ˜ͺπŸ˜ͺ
 
Kwani Diamond ameshapita? Mi kwenye TV naangalia matangazo tu hapa hadi nasinzia.

Na hivi kumbe dogo alimuita Diamond she? Sijasikia vizuri.
 
Kwani Diamond ameshapita? Mi kwenye TV naangalia matangazo tu hapa hadi nasinzia.

Na hivi kumbe dogo alimuita Diamond she? Sijasikia vizuri.
No ...ni kijana wetu alivyopoteaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€huku pia nipo kwa Tv naona matangazo tu..time ni kama 23:30P.M ndio pilika zitaendelea..
 
No ...ni kijana wetu alivyopoteaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€huku pia nipo kwa Tv naona matangazo tu..time ni kama 23:30P.M ndio pilika zitaendelea..
Basi sikuwa makini hapo.

Au itakuwa wakati anasema ni boss wake? 🀣🀣
 
Mbona tuzo zenyewe huku kwenye TV hazieleweki...!!!!
Nimeacha usingizin wangu vitu wanavyoonesha ni upuuzi, nipo Trace Music(174) Azam... Yaan ni ushubwada tupu
 
Mbona tuzo zenyewe huku kwenye TV hazieleweki...!!!!
Nimeacha usingizin wangu vitu wanavyoonesha ni upuuzi, nipo Trace Music(174) Azam... Yaan ni ushubwada tupu
Mkuu ni kote hadi huku DStv, ila wanasema karibia wataruka live.

Japo wamezingua kinoma.
 
Ila sio lugha yetu sio mbaya... ni kama sisi tukiskia mtu wa nje anaongea kiswahili
 
Nimekaa hapa sioni hizo tuzo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…