Hii ajali ilikua kubwa la ajali,, kuna watu walipoteana wakaja kupatikana miezi kadhaa baada ya ajali,, baada ya kuvurugwa kiakiliView attachment 2447720
View attachment 2447721
Hizi ni breki za treni jamani!!!!!
Kuna treni iliua sana kwa sababu mabehewa yalikuwa hayashiki breki hivyo kichwa kilizidiwa na likaanza kukimbia ovyo na kupinduka. Watu walikufa sana na kosa lilikuwa mfumo wa breki za mabehewa kutofanya kazi
Ilikuwa Igandu, mwaka 2002
View attachment 2447731
Kwahiyo ndio tumwite mpumbavu au sio??Yuko sahihi,Mama Samia bado hajakitende a kazi kiti chake mpk sasa amekua km mtu ambae mpk afikishiwe jambo lake ndo achukue hatua sasa treni km hilo liko barabaran na hamna mtu aliewajibika
Mama yangu alikuwemo kwenye hii ajali, Tunamshukuru Mungu hakupata hata mchubukoView attachment 2447720
View attachment 2447721
Hizi ni breki za treni jamani!!!!!
Kuna treni iliua sana kwa sababu mabehewa yalikuwa hayashiki breki hivyo kichwa kilizidiwa na likaanza kukimbia ovyo na kupinduka. Watu walikufa sana na kosa lilikuwa mfumo wa breki za mabehewa kutofanya kazi
Ilikuwa Igandu, mwaka 2002
View attachment 2447731
Kwa hiyo nyie ni wapanda treni/ Basi kuna ajali nyingine in waiting, kama picha zinavyojionyeshaMama yangu alikuwemo kwenye hii ajali, Tunamshukuru Mungu hakupata hata mchubuko
Alikuwa anakagua usalama wa chombo atakachotumia kabla safari haijaanzaUlikuwa unatafuta Nini huko mpaka ukapiga picha nimewaza tu
Moja ya swali zuri sana na ninaona jinsi ulivyoifikirisha akili yako.Ulikuwa unatafuta Nini huko mpaka ukapiga picha nimewaza tu
Ndiyo sisi hao, utaambiwa kazi ya Mungu aliwapenda zaidiNinavyofahamu kwenye usafiri wa mabasi kuna wakaguzi kama maofisa wa kitengo cha usalama barabarani.
Sasa kwenu nyie shirika la reli TRC ya ndg Kadogosa sijui nani anawakagua mwanzo, katikati ya safari au mwisho.
Pichani ni treni mnaita deluxe inayotoka Dar Es Salaam kwenda Arusha na hizo namba ni mabehewa yenye hizo kasoro.
View attachment 2447266View attachment 2447267
Hii hapa chini ndiyo sijui wataalam wa wanasemaje kama break zikiwa katika hali hiyo, je treni inaweza kufanya kazi miezi mingapi na hakuna shida?
View attachment 2447268View attachment 2447270
Nawasilisha.
Fursa ya picha naikosa kwa kutofungukaNinavyofahamu kwenye usafiri wa mabasi kuna wakaguzi kama maofisa wa kitengo cha usalama barabarani.
Sasa kwenu nyie shirika la reli TRC ya ndg Kadogosa sijui nani anawakagua mwanzo, katikati ya safari au mwisho.
Pichani ni treni mnaita deluxe inayotoka Dar Es Salaam kwenda Arusha na hizo namba ni mabehewa yenye hizo kasoro.
View attachment 2447266View attachment 2447267
Hii hapa chini ndiyo sijui wataalam wa wanasemaje kama break zikiwa katika hali hiyo, je treni inaweza kufanya kazi miezi mingapi na hakuna shida?
View attachment 2447268View attachment 2447270
Nawasilisha.
Ndiyo sisi hao, mpaka iue mamia ndipo tuzindukeNinavyofahamu kwenye usafiri wa mabasi kuna wakaguzi kama maofisa wa kitengo cha usalama barabarani.
Sasa kwenu nyie shirika la reli TRC ya ndg Kadogosa sijui nani anawakagua mwanzo, katikati ya safari au mwisho.
Pichani ni treni mnaita deluxe inayotoka Dar Es Salaam kwenda Arusha na hizo namba ni mabehewa yenye hizo kasoro.
View attachment 2447266View attachment 2447267
Hii hapa chini ndiyo sijui wataalam wa wanasemaje kama break zikiwa katika hali hiyo, je treni inaweza kufanya kazi miezi mingapi na hakuna shida?
View attachment 2447268View attachment 2447270
Nawasilisha.
TRC Wana VX latest balaaNinavyofahamu kwenye usafiri wa mabasi kuna wakaguzi kama maofisa wa kitengo cha usalama barabarani.
Sasa kwenu nyie shirika la reli TRC ya ndg Kadogosa sijui nani anawakagua mwanzo, katikati ya safari au mwisho.
Pichani ni treni mnaita deluxe inayotoka Dar Es Salaam kwenda Arusha na hizo namba ni mabehewa yenye hizo kasoro.
View attachment 2447266View attachment 2447267
Hii hapa chini ndiyo sijui wataalam wa wanasemaje kama break zikiwa katika hali hiyo, je treni inaweza kufanya kazi miezi mingapi na hakuna shida?
View attachment 2447268View attachment 2447270
Nawasilisha.
Malaika mlinzi amekuongoza vyema.Ninavyofahamu kwenye usafiri wa mabasi kuna wakaguzi kama maofisa wa kitengo cha usalama barabarani.
Sasa kwenu nyie shirika la reli TRC ya ndg Kadogosa sijui nani anawakagua mwanzo, katikati ya safari au mwisho.
Pichani ni treni mnaita deluxe inayotoka Dar Es Salaam kwenda Arusha na hizo namba ni mabehewa yenye hizo kasoro.
View attachment 2447266View attachment 2447267
Hii hapa chini ndiyo sijui wataalam wa wanasemaje kama break zikiwa katika hali hiyo, je treni inaweza kufanya kazi miezi mingapi na hakuna shida?
View attachment 2447268View attachment 2447270
Nawasilisha.
Sasa mkuu mimi mtu mdogo hadi DPP anitafute kweli?.Malaika mlinzi amekuongoza vyema.
Sasa utasikia DPP anaanza kumsumbua Maxence Melo amtaje member aliyetoa taarifa hii.
Na kwa kuficha uozo utaona taarifa ya kuzuia kupiga picha vituo vyote vya treni wakisingizia tishio la usalama.
Bravo mkuu