My Honest Book
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 1,363
- 2,161
Yuko sahihi,Mama Samia bado hajakitende a kazi kiti chake mpk sasa amekua km mtu ambae mpk afikishiwe jambo lake ndo achukue hatua sasa treni km hilo liko barabaran na hamna mtu aliewajibikaSo rais ndio kafunga hizo waya???au kawatuma kufunga hizo waya??acha kudhihaki na kutumia lugha ya matusi kwa mtu au taasisi ....Kama huna cha kuandika ni bora kuwa msomaji.