TRC yatolea ufanunuzi kuzimika kwa treni ya SGR Julai 30, 2024 katikati ya Stesheni ya Kilosa na Kidete

Inaonesha hakukuwa na tahadhari yoyote kuwa licha ya reli hiyo kupita kwenye maeneo ya viumbe hao bado tunasubiria matokeo ndiyo tustuke.
Reactivity versus Proactivity...
Reactivity anaongoza
 
Kwahiyo Kadogosa ametudanganya au ameleta vichwa ambavyo havina specs zilizotakiwa? Maana kama umeme ungezima, tungetegemea automatic switch on kwenda kwenye nishati nyingine, ili safari iendelee.

Ndio maana inakuwa ngumu sana kuwaamini viongozi wa sasa. Wengi wanasema mambo wasiyomaanisha
 
Inawezekana siyo hujuma, labda ni matokeo ya ujinga na uzembe.
 
Inawezekana siyo hujuma, labda ni matokeo ya ujinga na uzembe.
Tujiulize hakukuwa na Proactive mechanisms zote kuwa jambo kama hilo linaweza kutokea au tulisubiria matokeo ndiyo tuweke hadhari?..
 
Kuna machache sana aliyoyaweza lakini mengi zaidi ameboronga vibaya sana.
 
Mbaya zaidi Ngedere na bundi ni wanya endelevu yaani wanazaliana hivyo hili tatizo tutaenda nalo mpaka hao viumbe uzao wao uishe
 
Shida ni kwamba wanashidwa kufanya uchunguzi wa kina kujua nini kinatokea, kitu kama hichi kikitokea kama china au India muhusika anashughulikiwa kweli kweli
Nimejipa wakati nisome michango yote katika mada hii. Huu ndio mchango muhimu kuliko zote nilizo kwisha soma hadi sasa.

Lingekua jambo zuri sana, TRC wakafanya uchunguzi huo wa kina na kuja na taarifa sahihi juu ya sababu iliyoleta htilafu, na wakaainisha watakavyo fanya kuhakikisha tatizo kama hilo linadhibitiwa lisitokee tena; au kama halizuiliki kutafutwe njia za ziada kuhakikisha huduma haiathiriki kwa muda mrefu.
 
Mpaka saivi Kadogosa bado yupo ofisini?? Kama ndiyo anatakiwa kujiuzuru haraka sana.
 
Inavyo elekea hata tatizo lililo sababisha ni la kubuni tu, hawana uhakika. Katika hali ya namna hiyo hawawezi kuwa na "suluhisho la kudumu."
Sasa kwa nini wanajichosha kufanya press conferences?Such a waste of time and calories!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…