Tena sisi ndiyo wa kwanza tusioweza, wanaoweza ni TEC vidume vya mbegu tu.Huku kutoweza chochote kunaanzia wapi na kuishia wapi?
Hudhani wewe na hata Samia nanyi hili linawahusu kama ilivyo kumbe kwa wengine?
Sasa shirika likifa ndo kumkomoa director wake au lengo ni ganiMama Samia kishasema, ukiuwa shirika, ufe nalo.
Hao wapo njiani kukukumbana na Mkumbo.
Tena sisi ndiyo wa kwanza tusioweza, wanaoweza ni TEC vidume vya mbegu tu.
Bila kusimamiwa na Magufuli ongea vizuri eboo!Watanzania hatuwezi kufanya chochote bila kusimamiwa na watu wa nje.
Utumwa upo ndani ya damu ya Watanzania.
Kafa kwenye Ajali au 😓Mtumeeee...🙆♂️
R.i.P Classmates...😥
Sijui kama yale magenge ya wafanyakazi kama bado yapo, nakumbuka enzi za ujamaa Nyerere aliwahi kusema ni umanamba kuishi porini kwa ajili ya reli au barabara!Treni inapita kwenye Vumbi kupata ajali ni rahisi sana sioni kama hao TRC wana ukaguzi wowote nilipita na gari maeneo fulani huko Tabora nikapita juu ya Reli yao aisee ni kama nimepita kwenye vumbi tuu nikashangaa sana yaani reli haipo kwenye tuta ni kama bara bara ya ng'ombe tu wana utani sana hao jamaa..waige ujenzi wa Tuta la TAZARA wapunguze ajali..
Unacheza na vidume vya mbegu vya TEC?Hapo kwa hakika umeweka maslahi ya taifa mbele.
"No hate, no fear. TEC wameupiga mwingi."
Mnyonge, mnyongeni.
Alifanya nini kizuri?Bila kusimamiwa na Magufuli ongea vizuri eboo!
Hivyo ni kama HAMAS tu. Vinasimamia haki bIla kujali hali.Unacheza na vidume vya mbegu vya TEC?
Aah bana, nani anmwita Hamas "baba"?Hivyo ni kama HAMAS tu. Vinasimamia haki bIla kujali hali.
uwepo kwa kokote kunasaidia nini kiongozi?Mataruma yanaonekana hayana kokoto, uzembe.
Aah bana, nani anmwita Hamas "baba"?
Ana faida gani huyo director?Sasa shirika likifa ndo kumkomoa director wake au lengo ni gani
Ana faida gani huyo director?Sasa shirika likifa ndo kumkomoa director wake au lengo ni gani
Ana faida gani huyo director?Sasa shirika likifa ndo kumkomoa director wake au lengo ni gani
huyoSasa shirika likifa ndo kumkomoa director wake au lengo ni gani