Treni ya kutoka Kigoma yapata ajali mitaa ya Kibirizi

Treni ya kutoka Kigoma yapata ajali mitaa ya Kibirizi

Huku kutoweza chochote kunaanzia wapi na kuishia wapi?

Hudhani wewe na hata Samia nanyi hili linawahusu kama ilivyo kumbe kwa wengine?
Tena sisi ndiyo wa kwanza tusioweza, wanaoweza ni TEC vidume vya mbegu tu.
 
Tena sisi ndiyo wa kwanza tusioweza, wanaoweza ni TEC vidume vya mbegu tu.

Hapo kwa hakika umeweka maslahi ya taifa mbele.

"No hate, no fear. TEC wameupiga mwingi."

Mnyonge, mnyongeni.
 
Njia mbovu sana Ile inahitaji ukarabati wa gauge(rail size) standard sidhani kama ilishabadilishwa gauge tokea mkoloni gauge nyingi ni nyembamba mno
 
Wapewe DPW.....kule Tazara head on collition ...huku mabehewa yangapotea njia......ujue hakuna ukarabatiii........pesa zinaliwa tuuu.....huyo kadogosa sijui dogosa apumzike
 
Treni inapita kwenye Vumbi kupata ajali ni rahisi sana sioni kama hao TRC wana ukaguzi wowote nilipita na gari maeneo fulani huko Tabora nikapita juu ya Reli yao aisee ni kama nimepita kwenye vumbi tuu nikashangaa sana yaani reli haipo kwenye tuta ni kama bara bara ya ng'ombe tu wana utani sana hao jamaa..waige ujenzi wa Tuta la TAZARA wapunguze ajali..
Sijui kama yale magenge ya wafanyakazi kama bado yapo, nakumbuka enzi za ujamaa Nyerere aliwahi kusema ni umanamba kuishi porini kwa ajili ya reli au barabara!
 
Serikali ijifunze na kuelewa kuwa watu Ndio mali!! Reli hii na mabehewa haya hayastahili kubeba watu ambao ni mali ya Taifa.
 
Back
Top Bottom