Treni ya kwanza ya abiria kutoka Dar es Salaam yawasili Moshi ikiwa na abiria 294, ni utekelezaji wa Ilani ya uchaguzi ya CCM

Treni ya kwanza ya abiria kutoka Dar es Salaam yawasili Moshi ikiwa na abiria 294, ni utekelezaji wa Ilani ya uchaguzi ya CCM

Haijawahi kutokea siku lika fanyika jambo watu wasupinge

Kila wakati watu hupinga.

Hapa ndipo tuna Pata maana halisi ya kuwa ni ngumu kumridhisha kila mtu katika jambo lolote

Treni haifanani na Gari, ndege, wala meli

Wengi wanao ponda hawaja wah Ata kukwea tren na Kujua huduma zake na hadhaa au unafuu wake

Je mme angalia kuusu gahrama?
 
Kuyafufua maendeleo yaliokuwepo kabla si maendeleo ,ni kufufuka kutoka Kuzimu.
Akijenga Standard Gage hapo tutaita maendeleo,na akijenga ya umeme tutaita,revolution,akijenga ya mwendo kasi,tutaita extra infrastructure evolution.
serikali kutimiza wajibu wake si jambo la kusifiwa,kwa kuwa ndo kazi yake.lakini ikiacha ,yafaa ilaumiwe kwa kuacha wajibu wake.
Kwa hili CCM ianajipambanua kivitendo na ubabaishaji uliozoeleka.

Kufufua kuanzisha si ttzo ttzo ni uendeshaji na usimamizi,je mswahili anaouthubutu wa kufanya kitu kikafanikiwa.Nyrre alikuwa na nia nzuri alivianzisha vingi vizuri lkn vikafa mikononi mwa waswahili.Soma Ule ( SU).
 
Yes it's a leisure trip for enjoyment.
Nenda Ujerumani na Netherlands hadi kesho they stll run steam engine train periodically just for leisure. Kwa sisi tuliopanda gari moshi, tukiangalia video kama hii ni mpaka raha


P
Mwambie jiwe aache kuwanaga marais waliopita et kwanini waliua hii reli tumechoka propaganda zake walifanya mengi 2 na yeye hatamaliza yote
 
Halafu kumbukumbu zikifutika vichwani utasikia eti Kaskazini tunabaguliwa katika awamu hii.
Hilo litreni la enzi za vasco da gama ndiyo umeona ni kitu cha maana saaana kupelekea wachaga kama siyo mnafuta mbinu za kuwauwa wachaga wote kwa jinsi msivyowataka

Tafuta watu wengine wa kuwapandisha hilo zegembe lenu la kisukuma
 
Nahisi kutumia muda mwingi kumetokana na ukweli kwamba hiyo njia bado Ni mpya from renovation. Sasa huwezi kuwa fala kiasi hicho mpaka uanze kukimbiza treni kwenye njia ambayo haijatumika kwa 25years
Kwakweli kabisa @mr.mtui mimi kupanda hiyo kitu kwa sasa HAPANA kabisa.

Wangesema waanze hata na mizigo ningewaelewa lkn binadamu unawafanyia majaribio kwa kitu kilichokuwa kimelala miaka na miaka hapana mzee wangu
 
Treni ya kwanza ya abiria kutoka Dsm imewasili mjini Moshi saa 5 asubuhi na kupokelewa na maelfu ya wakazi wa Moshi.

Treni hiyo imewasili ikiwa na abiria 294 ambao wameipongeza serikali kwa kutekeleza Ilani ya uchaguzi ya CCM baada ya usafiri huo kusimama kwa takribani miaka 21. Pia abiria wamesema usafiri wa treni ni wa uhakika na hakuna mambo ya kuchimba dawa au kula magengeni kama ilivyo kwenye mabasi.

Baadhi ya abiria wameomba kwa kipindi hiki cha sikukuu wawekewe miti ya Krismas na zile taa zake kwenye kila behewa.

Source ITV habari!
Nimeona umeweka 'source'.
Lakini najua kwa nini hata kapicha kamoja hukujibidisha kukatafuta nasi tuishangilie/tuishangae hiyo treni!
 
Dar - Moshi ni maamuzi yako tu

ATCL - Masaa Mawili 198,000/- TZS
TRC - Masaa 17 16,000/- TZS
BASI - Masaa 10 ila Unalala Ubungo stend 28,000/- TZS
LORI - Masaa 40 20,000/- TZS
Gari ndogo binafsi - Masaa 9 Zaidi ya 100,000/- TZS

Chagua ww Unachotaka
Unasafiri Siku 2 kutoka Dar hadi Moshi, safari ya Masaa 8???[emoji1787][emoji1787]
 
Sasa toka dar mpaka moshi ni umbali wa 541km, kwa treni za kisasa hio safari inastahili kuchukua chini ya masaa 3 pekee, treni za kisasa nyingi zinafanya 240km per hour, sasa kaa hii treni ilichukua masaa 19 toka dar mpaka moshi, nini wabongo tunapiga makofi na kushangilia, hii inaoyesha vile uelewa wetu wengi hapo bongo ni mdogo kabisa, ni kaa hatujui yanajiri nje ya mipaka ya taifa letu, aina hizi za treni zinazokweda pole pole kaa hii ziko katika museum katika mataifa mengine, hapo ndipo watu huenda kuzitazama na kufundiswa historia ya vile reli za karne iliyopita zilikuwa zinafanana na vile zilikuwa ninaenda pole pole,masaa 19 umbari wa 541km!!!!!!!!!!!!!

Mkuu ,umezungumza kitu ambacho wengine hawato kuelewa.Nime ziona sana China hizi Treni za Zamani zilizo wekwa Makumbusho leo unaniambia nikapande kwa ajili ya Safari.Si afadhali tupande Malori kabisa alau yana Speed.
 
johnthebaptist, [emoji16][emoji16]imetumia 19hrs haina tofauti na treni ya 1945 kweli awamu hii imejaa vilaza

Speed ya treni inaendana na aina ya reli


Waliopanda ni watu......walijaa

Mizigo pia, itapunguza malori

Nipe analysis ya muda gani appropriate kwa yale mataluma?
 
Unaficha kitu, unatangaza kimeibiwa then unaingia mtaani kukisaka tena, unanyoosha ulipokificha unakichukua na unatangaza kuwa umekamata mzigo wako ulioibiwa
Hii Treni ilihujumiwa na ccm na sasa wanajifanya kuifufua halafu wanataka wasifiwe hahaa mabingwa wa kutengeneza tatizo halafu kuja kulitatua kwa mbwembwe.
 
Sasa toka dar mpaka moshi ni umbali wa 541km, kwa treni za kisasa hio safari inastahili kuchukua chini ya masaa 3 pekee, treni za kisasa nyingi zinafanya 240km per hour, sasa kaa hii treni ilichukua masaa 19 toka dar mpaka moshi, nini wabongo tunapiga makofi na kushangilia, hii inaoyesha vile uelewa wetu wengi hapo bongo ni mdogo kabisa, ni kaa hatujui yanajiri nje ya mipaka ya taifa letu, aina hizi za treni zinazokweda pole pole kaa hii ziko katika museum katika mataifa mengine, hapo ndipo watu huenda kuzitazama na kufundiswa historia ya vile reli za karne iliyopita zilikuwa zinafanana na vile zilikuwa ninaenda pole pole,masaa 19 umbari wa 541km!!!!!!!!!!!!!
Hiyo treni unayosema wewe sidhani kama africa kuna nchi wanayo,
Yaani unafananisha gari ya Mo na Masawe mwenye duka kkoo unataka ziwe sawa, kuna watu mnachekesha sana.
 
Kwakweli kabisa @mr.mtui mimi kupanda hiyo kitu kwa sasa HAPANA kabisa.

Wangesema waanze hata na mizigo ningewaelewa lkn binadamu unawafanyia majaribio kwa kitu kilichokuwa kimelala miaka na miaka hapana mzee wangu
Walipitisha kwanza treni ya mizigo kwenye safari ya kwanza kabisa
 
Speed ya treni inaendana na aina ya reli


Waliopanda ni watu......walijaa

Mizigo pia, itapunguza malori

Nipe analysis ya muda gani appropriate kwa yale mataluma?
Itapunguza malori ? Yan upakie tani 60 mara mbili kwa wiki upunguze malori ???? Akili zenu hua mnaziweka wapi
 
Back
Top Bottom