Happ full. Huoni na mabehewa ya umeme full. Ndani 2*2 full AC full WiFi full USB full service cafeteria toilets sauna massage room.. Dar to Moro dk 60 yaani Mechi ya Morocco vs Frace haijaisha tushafika Msamvu.
Vichwa vya treni VIMEOKOTWA BANDARINI... hahahSerikali inapokea Mabehewa lakini haifahamu hayo Mabehewa ni ya umeme au ya reli ya zamani.mpaka wakati wa matumizi ndo wanagundua kwamba ninya reli ya zamani. Swali lililobaki ni kwamba Nani ameyaagiza hayo Mabehewa isijekuwa kama vile vichwa vya treni vilivyookotwa bandarini
Serikali inapokea Mabehewa lakini haifahamu hayo Mabehewa ni ya umeme au ya reli ya zamani.mpaka wakati wa matumizi ndo wanagundua kwamba ninya reli ya zamani. Swali lililobaki ni kwamba Nani ameyaagiza hayo Mabehewa isijekuwa kama vile vichwa vya treni vilivyookotwa bandarini
AS USUAL, TUMEPIGWA BIG TIME.Hiyo sio treni ya umeme wacha kutetea hii sirikali. Mbona hakuna nyaya za umeme hiyo sio standard gauge ni uwizi mtupu
Umesoma tangazo vyema?Tatizo bei za nauli walizopropose TRC ni mara mbili ya mabasi...Latra wawaokoe maana zikipita hizo bei hiyo Reli itakufa kabla haijaanza labda waforce kuwaondoa mabasi kama mwendo kasi.
Nje na kubadili chombo cha usafiri.Je kusafiri na treni ngarakakuliko gari au kuna mengine zaidi?Haya limewashushuka shuuuu.. Wapinzani wote wanaobeza kazi za mama yetu... Mama yetu anaupiga mwingi...
Tayari keshafanikisha. Yale mabehewa yetu mapya yaliyoletwa ya treni yetu ya UMEME yameanza kupiga kazi... Na yanapendeza kweli...
MAMA ANAUPIGA MWINGI.
View attachment 2442562
WIRE ZA UMEME ZIKO WAPI?Haya limewashushuka shuuuu.. Wapinzani wote wanaobeza kazi za mama yetu... Mama yetu anaupiga mwingi...
Tayari keshafanikisha. Yale mabehewa yetu mapya yaliyoletwa ya treni yetu ya UMEME yameanza kupiga kazi... Na yanapendeza kweli...
MAMA ANAUPIGA MWINGI.
View attachment 2442562
Haya limewashushuka shuuuu.. Wapinzani wote wanaobeza kazi za mama yetu... Mama yetu anaupiga mwingi...
Tayari keshafanikisha. Yale mabehewa yetu mapya yaliyoletwa ya treni yetu ya UMEME yameanza kupiga kazi... Na yanapendeza kweli...
MAMA ANAUPIGA MWINGI.
View attachment 2442562
[emoji1787][emoji1787]duuhEscape from Sobibo
Haya limewashushuka shuuuu.. Wapinzani wote wanaobeza kazi za mama yetu... Mama yetu anaupiga mwingi...
Tayari keshafanikisha. Yale mabehewa yetu mapya yaliyoletwa ya treni yetu ya UMEME yameanza kupiga kazi... Na yanapendeza kweli...
MAMA ANAUPIGA MWINGI.
View attachment 2442562
Hapa walikuwa wantest kwa kutumia power bank. Lipo vizuriHaya limewashushuka shuuuu.. Wapinzani wote wanaobeza kazi za mama yetu... Mama yetu anaupiga mwingi...
Tayari keshafanikisha. Yale mabehewa yetu mapya yaliyoletwa ya treni yetu ya UMEME yameanza kupiga kazi... Na yanapendeza kweli...
MAMA ANAUPIGA MWINGI.
View attachment 2442562
This is africa😂Haya limewashushuka shuuuu.. Wapinzani wote wanaobeza kazi za mama yetu... Mama yetu anaupiga mwingi...
Tayari keshafanikisha. Yale mabehewa yetu mapya yaliyoletwa ya treni yetu ya UMEME yameanza kupiga kazi... Na yanapendeza kweli...
MAMA ANAUPIGA MWINGI.
View attachment 2442562
Au yale ya No escape from SobiborLimefanana sana na lile la mkoloni Mjerumani la mwaka 1906 Dar to Kigoma
Yanapita rail ya kati au hii mpya ya SGRHaya limewashushuka shuuuu.. Wapinzani wote wanaobeza kazi za mama yetu... Mama yetu anaupiga mwingi...
Tayari keshafanikisha. Yale mabehewa yetu mapya yaliyoletwa ya treni yetu ya UMEME yameanza kupiga kazi... Na yanapendeza kweli...
MAMA ANAUPIGA MWINGI.
View attachment 2442562
Ahaahahaha unazinguaKuna kipande umeme ulikatika hapo katikati ya Soga na Moro ikabidi wawashe injini ya diesel ndiyo maana linajikongoja[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Likifika Buguruni litatumia umeme msiwaze
mkiwasakama sana kwa maswali kama haya watakwambieni ni multi purpose.maana awajuagi kujitetea hawa kina Msigwa.Hizo behewa ni za meter gauge au standard gauge? Mbona zimatumika kwenye meter gauge?