saidoo25
JF-Expert Member
- Jul 4, 2022
- 624
- 1,456
Rais Dk. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kushuhudia uzinduzi wa zoezi la kuingiza maji kwenye Bwawa la Julius Nyerere Disemba 22, 2022 badala ya Novemba 2021 iliyokuwa awali.
Mheshimiwa Rais pamoja na hatua hiyo muhimu bado kuna mambo ya msingi sana ambayo Waziri wako wa Umeme hajayaweka wazi yakiwemo madai ya shilingi Trilioni 1.5 alizotakiwa kulipa mkandarasi Kampuni ya Arab Contractors kama faini ya uchelewesha mradi miaka 2 hadi 2024 badala ya Juni 2022 iliyokuwepo kwenye mkataba.
Fedha hizo zinatakiwa zilipwe kwa Serikali ili zisaidie shughuli mbalimbali za maendeleo ya wananchi, sasa muulize hizo fedha amelipwa nani na hayo madai watanzania wote wanayafuatilia kwa karibu sana tofauti na anavyofikiria kwa sababu huo mradi sio wa Januari na Baba yake Watu Wazuri Hawafi kina Kinana na JK huo ni mradi wa watanzania wote milioni 61.
Mheshimiwa Rais pamoja na hatua hiyo muhimu bado kuna mambo ya msingi sana ambayo Waziri wako wa Umeme hajayaweka wazi yakiwemo madai ya shilingi Trilioni 1.5 alizotakiwa kulipa mkandarasi Kampuni ya Arab Contractors kama faini ya uchelewesha mradi miaka 2 hadi 2024 badala ya Juni 2022 iliyokuwepo kwenye mkataba.
Fedha hizo zinatakiwa zilipwe kwa Serikali ili zisaidie shughuli mbalimbali za maendeleo ya wananchi, sasa muulize hizo fedha amelipwa nani na hayo madai watanzania wote wanayafuatilia kwa karibu sana tofauti na anavyofikiria kwa sababu huo mradi sio wa Januari na Baba yake Watu Wazuri Hawafi kina Kinana na JK huo ni mradi wa watanzania wote milioni 61.