inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Idea ya nyerere,Vita vya amini vikatibua,jakaya akaleta wabrazil kufanya upembuzi yakinifu,magu akaanza mradi,miaka minne akafanya 30%,Samia chini ya miaka miwili kafanya 50%,tunajenga nyumba moja tusigombee fito,punguza chuki na makasirikoMwenyewe Magufuli asingefanya hii, watu underachievers ndio wako hivyo, kazi na idea watoe wengine wao kupora sifa tu na starehe ndio kazi yao.
Maneno meengi no substance!