Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku ya kuwasha mitambo mtaalika wageni 50,000,000Historia inaandikwa. Tumeahidi, Tumetekeleza.
Unaumia nin?Siku ya kuwasha mitambo mtaalika wageni 50,000,000
Sasa maji yakipungua hatutakua na mgao tena?ujazaji maji Bwawa la Nyerere wageni 2,300 kudhudhuria.
Mbona Gharama Za ugeni huu Ninaona ni kubwa sana sana.
Au bwawa hili limejengwa mjini Ili watu wahudhurie wengi kiasi hicho?
Nimeuliza tu kwa sababu kuna matukio siku hizi watu wanatumia kupigia kodi Za wananchi
SEMA mgeni rasmi wa kuwasha kitufe ni Rais Dk Samia naona unazunguka zunguka tuu 👇ujazaji maji Bwawa la Nyerere wageni 2,300 kudhudhuria.
Mbona Gharama Za ugeni huu Ninaona ni kubwa sana sana.
Au bwawa hili limejengwa mjini Ili watu wahudhurie wengi kiasi hicho?
Nimeuliza tu kwa sababu kuna matukio siku hizi watu wanatumia kupigia kodi Za wananchi
Hela zangu. Kodi yangu!Unaumia nin?
2300 mizinga yote itakaukaWanalamba asali
Najua mmeumia sana hamkutarajia angeweza!! Punguzeni chuki sukuma Gang Kila mtu anaweza fanya Kila kitu akipewa nafasi unlike mnavyoamini kuwa ni JPM pekee!!Sawa
Waahidi pia Kuwa mgao wa Umeme utakuwa historia!
Sio wanajaza maji tu halafu mambo ya Umeme kuzima kama kibatari yanabaki pale pale!
ujazaji maji Bwawa la Nyerere wageni 2,300 kudhudhuria.
Mbona Gharama Za ugeni huu Ninaona ni kubwa sana sana.
Au bwawa hili limejengwa mjini Ili watu wahudhurie wengi kiasi hicho?
Nimeuliza tu kwa sababu kuna matukio siku hizi watu wanatumia kupigia kodi Za wananchi
Halafu tunaambiwa tozo ni lazima.ujazaji maji Bwawa la Nyerere wageni 2,300 kudhudhuria.
Mbona Gharama Za ugeni huu Ninaona ni kubwa sana sana.
Au bwawa hili limejengwa mjini Ili watu wahudhurie wengi kiasi hicho?
Nimeuliza tu kwa sababu kuna matukio siku hizi watu wanatumia kupigia kodi Za wananchi
ujazaji maji Bwawa la Nyerere wageni 2,300 kudhudhuria.
Wewe na ACT yenu si mnalambishwa asali Ndio MAANA!!?Najua mmeumia sana hamkutarajia angeweza!! Punguzeni chuki sukuma Gang Kila mtu anaweza fanya Kila kitu akipewa nafasi unlike mnavyoamini kuwa ni JPM pekee!!
Roho mbaya tuu...Siku ya kuwasha mitambo mtaalika wageni 50,000,000