Trilioni 1.5 Bwawa la Nyerere limepotelea wapi

Trilioni 1.5 Bwawa la Nyerere limepotelea wapi

Yalisimama ghafla wewe ulikuwa unaenda rufiji kuangalia au?..
Mkuu unakumbuka Bungeni walisema cranes imechelewa mara imesogezwa mbele Muda wa kukamilika kwake!

Halafu ULIKUWA hauzungumziwi kama unaendelewa kujengwa bila updates yoyote hadi wabunge wakaanza kuhoji!!?

Hatukuona hata mwenezi akienda kukagua mradi huo,tangu jk na Mwinyi walipozuru eneo la mradi huo mwanzoni kabisa wa utawala wa samiah!!!

YOTE kheri!
 
Nina wazo tofauti:

kuna mtu ndani ya CCM ni mchapa kazi, mwadilifu na mwaminifu sana.

Ni mdomo mzuri, mcha mungu , na alikuambia kadi ya Magufuli na aliiweza.

Pia alisimamia uchumi wa nchi vizuri na ni kiongozi shupavu.

Kwanini tusifanye maandamano ya amani na ya upendo au Julie fomu ya Urais mwaka 2025?

Ni nani ni Dr Philip Mpango.

Tunaomba wenye nia nzuri na Tanzania tuondoke na timu MPANGO 2025.
 
Chamsingi wajaze..tumechoka na ngojera.

Kifuatacho tu atazamia umeme wa uhakika wa bei nafuu.

#MaendeleoHayanaChama

Hakuna uhakika wa bei kuwa ndogo hata umeme huo ukianza kwani ni fedha za mkopo. Si unaona hata ndege wanasema ni zetu lakini bei ni juu kuliko fast jet?
 
Mwenyewe Magufuli asingefanya hii, watu underachievers ndio wako hivyo, kazi na idea watoe wengine wao kupora sifa tu na starehe ndio kazi yao.

Maneno meengi no substance!
Idea hakutoa magu acha uongo juu mradi ulifikiriwa toka 1953 na mwaka 1972 ndio ulijadiliwa kwa mara ya kwanza na cabinet ya mwalimu.
 
Brainwork kwa maana Mwalimu Nyerere ndiye aliyekuja na wazo idea ya kujenga hydro dram Selous Magufuli katekeleza, bora hata ungesema Mkapa ana input kwenye ideas za kujenga hilo Bwawa lkn hao wengine kwanza walilipiga vita, aliyekuwa anapiga Kampeni against hilo Bwawa ni nani kama siyo hao akina Nape & Co.?
Mkapa hakuwa na input yoyote kwenye Hilo bwawa bwana mdogo,yeye aliwaleta net group solutions kusimamia mabwawa yetu,mkapa kwenye umeme ni songas na gesi ya mtwara,Kama taarifa huna,hukuwa na ufahamu kipindi haya mambo yanafanyika huko nyuma basi walau google, keywords kikwete Brazil stiglers gorge...utapatapata madini
 
Mwenyewe Magufuli asingefanya hii, watu underachievers ndio wako hivyo, kazi na idea watoe wengine wao kupora sifa tu na starehe ndio kazi yao.

Maneno meengi no substance!
Magufuli yule yule aliekua anazindua mpaka tawi la benki?
 
Hivi mbona kulikuwa hakuna hata picha ya updates ya ujenzi ukiendelea!? Ina maana alitaka kufanya suprise Kwetu!!?

Au kuna Nini kinafichwa!?

Maana mambo yalisimama tu ghafla ETI mradi upo 78% bila updates yeyote kuna Nini hapa!!?

Ninavyojua ccm ya mama inavopenda sifa lazima kungekua na mapicha kibao wakimsifu mbona kimya kimya!?

Bas Sawa,isije ikawa mradi upo chini ya kiwango!!!?
Nakumbuka walisema Muda wa mradi kukamilika imesogezwa mbele hadi 2024,Sasa sikumwelewa ni maboya au ni Nini!?

Kuna kitu halipo Sawa!

Ngoja tuone
Sasa kusema mradi upo 78% si ndo update yenyewe iyo au wewe ulikua unaenda eneo la tukio na kuona mambo yamesimama hakuna kinachoendelea? Na pia inawezekana ikawa kweli kukamilika ni mpaka 2024 kumbuka kinachofanyika hapa ni ujazaji wa maji ambao inawezakana ukachukua hata mwaka mzima maana zinahitajika lita bilion kadhaa hapo kwaiyo techinical bado mradi haujakamilika
 
ujazaji maji Bwawa la Nyerere wageni 2,300 kudhudhuria.
Mbona Gharama Za ugeni huu Ninaona ni kubwa sana sana.

Au bwawa hili limejengwa mjini Ili watu wahudhurie wengi kiasi hicho?

Nimeuliza tu kwa sababu kuna matukio siku hizi watu wanatumia kupigia kodi Za wananchi
Kwani ni lini maana wiki iliyopita walisema itakuwa Dec 15 naona kimya au ni mpaka January?
 
Kwanini umesema nchi haiishiwi vituko?
Kuruhusu maji kujaa kwenye shimo na geti la kuzuia maji hivi navyo tunaambiwa ni historia so lazima watu washuhudie so you don't see one of movies!.
 
Najua mmeumia sana hamkutarajia angeweza!! Punguzeni chuki sukuma Gang Kila mtu anaweza fanya Kila kitu akipewa nafasi unlike mnavyoamini kuwa ni JPM pekee!!
Mkuu kuna wakati tunampa mtu sifa kwa lazima why?.

Rais wa sasa alikuwa jengo moja na mtangulizi wake mipango yote walikuwa pamoja, mikataba inayoendelea sasa anaifahamu vizuri sana.

Kwa mantiki yako ya kutaja sukuma gang ni unataka kuaminisha umma hizi projects ni mpya so BiM anaifanya as kaanzisha yeye NO!.

Kutokana na mikataba na washauli wake basi angevunja na kuanzisha projects zake kwa kipindi chake ila kwa hizi anazoendeleza JPM lazima atajwe, tusiwe wanafiki.
 
Kuanzia hapo sasa inakuwa ni rasmi maji yataanza kujaa kwenye bwawa hilo na soon JPM (hayupo) ila anakuwa kafanikisha adhima ya Tanzania bila giza inawezekana.
Wanamtafutia kona ya lawama, kwanini wazibe handaki kwa kitufe badala ya kuziba kwa zege kabisa,

Ipo siku wahuni watabonyeza kufungulia maji ili wauze majenereta yao
 
Mwenyewe Magufuli asingefanya hii, watu underachievers ndio wako hivyo, kazi na idea watoe wengine wao kupora sifa tu na starehe ndio kazi yao.

Maneno meengi no substance!
Inawezekana wewe haukuwepo Dunia hii wakati wa Magufuli. Magufuli huyuhuyu aliyekuwa akizindua miradi iliyokwishazinduliwa au mwingine ambaye asingezindua mradi huu?
 
JNHPP ni moja ya mawazo bora kabisa ya Mwalimu Magufuli. Walamba asali na wafuasi wao ni jambo la muda tu wataanza kumkubali Magufuli.

Hata dalali Zito wa gesi simsikii siku hizi.
Yeye ndiye aliyeuweka kwenye Ilani 2015? Aliyefanya upembuzi yakinifu no nani? Aliyeanza kujenga nani? Aliyekamilisha nani? Ndio maana halisi ya kujenga nyumba moja.
 
Back
Top Bottom