Trump: Achilieni mateka kabla sijaapishwa la sivyo mtabamizwa kwa kiwango hakijawahi kuonekana katika historia ya Marekani!"


Kuna siku watu watafunguka macho na kujua ukweli kuwa;
vita vinavyoendelea masharaki ya kati miaka na miaka na propaganda zoooote zinatengenezwa kwa madhumuni ya kupunguza nguvu au kusambaratisha imani flani...
Ndio sababu mimi husema mara kwa mara kuwa; Siku za mwisho zitakuwa ngumu sana!!!!
 
Oyaa ondoa hiyo picha ya mwamba AN kwenye profile yako. Huna haki kuiweka hapo. Faster ondoa 😡😡😡😡
Tulia wewe. Kwanza ondoa picha ya hilo jamaa jeusi linalocheka hovyo kwenye hiyo profile yako😉😂😁

Mzukah!
 
Kipi ambacho Marekani na Ulaya hawajafanya kwenye mauaji ya Gaza.

Marekani na Ulaya wamepeleka silaha za kila aina na kuuwa watoto zaidi ya 16.000 wengine wanazidi kunyomwa moto.

Trump, anaropoka tu hana kipya ambacho atapata yaani Hamas wajisalimoshe kwa Trump si bora wafe wote pamoja na mateka.
 
Mbona nyie wenyewe watanzania thanani yenu hamuijuhi reference eg Abdul nondo Ben saa8 mzee kibao mbona ukemei ila mambo ya meddle East tu sio foolish
 
Foolish and stupid Trump. Arrest Netanyahu first if you are a man enough.

Shame on you! You will come and go like the Bushes and others who tried and failed.

Middle East solution is on the table but not by the barrel of gun.
akamatwe anaejibu mapigob? kwann wasikamatwe viongoz wa Hamas
 
hiyo Gaza yako ilithamin mateka kuliko amani yao
 
PRAISE TO JESUS shirikiana na MJUMBE WA YESU NETANYAHU kuokoa watu ISRAEL
 
Nchi nyingi zimeisha msoma Trump ni vitisho bila action. Iran alimsambaratishs kwenye base yao kule Iraq inaitwa Ain Al Asad na hakufanya lolote.
 
Foolish and stupid Trump. Arrest Netanyahu first if you are a man enough.

Shame on you! You will come and go like the Bushes and others who tried and failed.

Middle East solution is on the table but not by the barrel of gun.
Na kweli, ni mpumbavu tu anaeamini amani itapatikana kwa mtutu
 
Uko sahihi kabisa netanyahu Yuko sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…