Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Wakati wa trumpet ndio wakati ambao Iran ilitwanga kambi za Marekani live bila chenga na trumpet akatuliaInaweza kuwa ngumu kukuelekeza lakini mfano mrahisi wa Putin kukaa kimya kipindi cha Trump na kulianzisha mara tu Trump alipoondoka ni sawa na Panya kujiona mwenye nyumba paka anapoondoka.
Na sio Putin pekee alitulia, Ni mpaka Iran, walijaribu kuleta choko choko kilichowakuta kiongozi wa Jeshi alitunguliwa, Taleban kwa miezi 18 hawakuthubutu kugusa hata unywele wa Mmarekani yeyote baada ya Trump kutoa onyo, Hakukuwa na mambo ya October 7, n.k.
Video ndiyo inakufanya uhitimishe hoja kubwa hivi?Kumbe hadi wewe umeshangaa kuona Putin kaishiwa nguvu unadhani video ni edited
Video kamili hii hapa,
Source: Voice of America
View: https://www.youtube.com/watch?v=jo-Jiil1Ues
Vikwazo Iran hajaanza kukiuka wakati wa Biden tu labda uwe umeanza kuifatilia Iran leo pia trumpet si ataingia tena wh ngoja uone atakuja na jipya gani zaidi ya tantarira tu za truthcorrelation doesn’t imply causation, but patterns often arise for reasons 😀 Trump alikuwa na policies imara za ulinzi na kuipa support Ukraine katika kipindi chake, Nato kwa mara ya kwanza kwa muda mrefu kila nchi ilichangia share yake kwa shinikizo la Trump, see these patterns ??
Biden was weak, anadharaulika kwenye mikutano ya kimataifa, nchi imekumbwa na mfumuko wa bei, karuhusu wahamiaji haramu milioni 20 , alijikita zaidi na mambo ya kubadili jinsia, hata Iran kamuona kama mdori kakiuka vikwazo katajirika sana,
Turudi kwenye hoja yako kwamba video ilikuwa editedVideo ndiyo inakufanya uhitimishe hoja kubwa hivi?
Hata sijaangalia kwa sababu video hai prove lolote, unatakiwa kujenga hoja kubwa zaidi ya video kuhitimisha unayohitimisha.Turudi kwenye hoja yako kwamba video ilikuwa edited
Umejionea ukweli wa ubishi wako ?
Putin nusu adondoke hio siku kwa kuishiwa nguvu 😀😀 Trump alichofanya ni siri yao lakini ni bonge la correlation
Sasa kama hutaki kuelimishwa nikusaidie kwa lipi,Hata sijaangalia kwa sababu video hai prove lolote, unatakiwa kujenga hoja kubwa zaidi ya video kuhitimisha unayohitimisha.
Wewe hata elimu hujui ni nini.Sasa kama hutaki kuelimishwa nikusaidie kwa lipi,
Akilini mwako bado utaendelea kuwa brain washed na sources uchwara zilikuaminisha video ni edited,
Cheki hio video utoe uongo uliojazwa
proving a video's authenticity to misinformed people like you can be considered educating, ninakusahisha false belief's ulizojazwa kichwani, ninakuelimisha si kila unachoambiwa na media ni ukweli, n.k.Wewe hata elimu hujui ni nini.
Ukiwekewa hata video ya Rambo utarukaruka kusheherekea ushindi wa Marekani.
Yani hata kama hiyo video ni authentic, hai prove lolote kwenye hoja yako kubwa kwamba Putin hakufanya vita kipindi cha Trump kwa kumuogopa Trump.proving a video's authenticity to misinformed people like you can be considered educating, ninakusahisha false belief's ulizojazwa kichwani, ninakupa mwanga si kila unachoambiwa ni ukweli, n.k.
Hapa naona wewe ni wale wale mnaowaunga Hezbollah kujitangaza wameshindaYani hata kama hiyo video ni authentic, hai prove lolote kwenye hoja yako kubwa kwamba Putin hakufanya vita kipindi cha Trump kwa kumuogopa Trump.
Unaungaunga vi story na vi video vya kuokoteza tu.
Logical non sequitur fallacy.Hapa naona wewe ni wale wale mnaowaunga Hezbollah kujitangaza wameshinda
Mada ipi, sijaona ujumbe toka lini na kwepa kujibu swali.Jana nilikutag ukanitoroka au hukuiona?😝
Nilikuwa nasema Mji mkongwe wa Aleppo umetajwa kwenye Bibilia lakini kwenye Quruani haukatajwa sijui ni kwanini?!Mada ipi, sijaona ujumbe toka lini na kwepa kujibu swali.
Kama hamtishiki kwanini mnalalamikaYeye kwani Mungu? Kashundwa kuzuia kirisisasi cha shikio tu kaaanguka chali. Muislam hatishiki hivyo, wanaotishika hivyo wakiristo
Kwamba hakuna kilichofanyika gaza,sio mbaya gaidi kujifariji,israel mtoa roho yupo kaziniTrump kelele nyingi tu kama shoga yake nyau watafanya nini zaidi ya walicho fanya. Kuna silaha US na Israel hawajaitumia Gaza
Huyo unaemuuliza kwani ndio aloleta qur an kuna watu muna shida sanaNilikuwa nasema Mji mkongwe wa Aleppo umetajwa kwenye Bibilia lakini kwenye Quruani haukatajwa sijui ni kwanini?!
Huyo ni choko la kiarabu anajulikana jf kitambowewe ni choko, watu wanaongelea mambo mengine wewe unawaza kuinamishwa.
Punguani mmoja.
Kumbe hawaogopi kufa, basi ngoja Israel iendelee kugawa dozi mpaka mgonjwa aponeHuo ni upuuzi apeleke matisho yake huko.. sasa hapo Gaza kumebakia nini mpaka awatishe? Watu wameshauliwa, nyumba hospitali zote zimevunjwa, hakuna maji, hakuna umeme, hakuna chakula.. hawa watu ndio eti utawatishia nini sasa?
Kama kuna watu ambao wameshapoteza kila kitu na hawaogopi kufa ni Wapalestina.
Watu wa Gaza sio kama Israel kichapo kidogo tu cha Hizbullah wamesarenda,.. hayo matisho yenu mplekeeni SHETANYAHU yeye ndio anaogopa kufa
We nipe Aya kwenye bibilia ilio taja kabla hujarukia Qur'an. Bibilia yenyewe hakuna Aya inasema Aleppo nipe kama unayo.Nilikuwa nasema Mji mkongwe wa Aleppo umetajwa kwenye Bibilia lakini kwenye Quruani haukatajwa sijui ni kwanini?!