MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,113
- 65,124
Raisi watatu wa Marekani anasema hivi, halafu bado kuna watu wanakomaa.Mkuu huyo Clinton ni Bill Clinton na alimsifia Putin mwaka 2014, miaka mingi kabla hata Biden hajawa Rais wa US.
Lakini pia hata George W. Bush alishawahi kumuelezea Putin kuwa ni mtu smart sana (cheki video hii kuanzia sekunde ya 30)
Hungary? Dada Mambo ya International huwezi, ungebakia tu kuwa msoma commentPutin anapatana sana na ma Fascist.Angalia urafiki wake na Rais wa Hungary.
Victor Orban waziri mkuu wa Hungary. Ni best wa Putin,au haujui ?Hoja hujibiwa kwa hoja na si viojaHungary? Dada Mambo ya International huwezi, ungebakia tu kuwa msoma comment
Ukweli mchungu ambao wengi wetu hatupendi kuusikia ni kwamba Raisi Vladmir Putin ni moja kati ya binadamu wenye akili mno. Tutabishana sana lakini uhalisia wa kihistoria umetuthibitishia hilo. Nafahamu wengi watasema Urusi inajificha nyuma ya mgongo wa silaha za kinyuklia, lakini mbona Urusi ilikuwa ina nyuklia tokea kipindi cha Chernenko, Gorbachev na Yeltsin. Hii ni hoja rahisi mno kwasababu kuna mataifa mangapi duniani yana silaha za kinyuklia lakini hayafanya kama Urusi ???
Leo nimesikiliza alichokisema Donald Trump kuhusu Vladmir Putin, kwamba "That was a genius move" and "I know him, he's a very savvy guy". Unaweza kumshambulia Donald Trump kwamba anasema haya kwasababu anamchuki Joe Biden, lakini hata Raisi Bill Clinton aliwahi kusema "Putin is smart, really smart". Donald Trump kasema anamfahamu Vladmir Putin baada ya kufanya naye kazi kwa kipindi kifupi kwamba ni mtu ambaye akisema kitu ni lazima akitekeleze.
Hapa siangaliaa suala la kimaadili "A Moral Side" lakini naangalia uwezo binafsi wa mtu. Hate Him or Love Him, Vladmir Putin is a very smart person.
Unafikiri hata Putin asingepeleka majeshi asingewekewa vikwazo?Trump +Clinton wana malengo yao kisiasa kutamka hayo maneno., wanalenga kumdharau Biden ionekane ni advantage kwa uchaguzi wa Marekani utakaokuja, lakini Trump mbona wale North Korea wamekuwa wakivunja makubaliano ya umoja wa mataifa wazi wazi yeye akiwa madarakani ambapo Marekani ndio mdau mkuu , Trump akiwa ni rais kwanini hakuchukua hatua?
Huwezi kuwa Genius kwa vile Russia bado uchumi wake unaoanza kukua ni unategemea nchi nyingi za ulaya pamoja na Marekani ambazo saivi wameshatangaza kumuwekea vikwazo., Biden na Marekani wameona njia ya vikwazo ndio njia pekee ya kumkwamisha Putin kiuchumi ambalo ndio lengo kuu Marekani., Ni vile Putin amepigwa vita ambavyo vitaendelea kumuathiri siku hadi siku na uchumi wake kuporomoka
Kwa mfano ule mradi Norde Stream 2 bomba la gesi litokalo Russia kwenda Germany jana ujerumani wameshazuia kibali cha kuendelea na sanctions nyengine zinafuata. Hii vita ni ya kiuchumi sio ya hivyo vifaru alivyoviona trump na clinton
Itoshe tu kauli ya Rais George W. Bush kuwa Putin is a very smart 'tactician', aggressive person.Wewe shida yako ni vita itokee., lakini wenzetu hawako uko uliko wewe Unaambiwa 40% ya gesi ya Russia anauza ulaya sasa niambie ni kwa vipi Russia hataanguka kiuchumi? na kuanzia ile juz alivyovamia sasa ameanza rasmi russia kulipa gharma yake ya uvamizi.
Wakati mwingine usisubiri mtu akuambie sasa tumia akili, soma alichokisema Trump afu jiulize alikuwa na maana gani.Mkuu kati ya wewe na marais wawili wa US kwa pamoja, Trump+Clinton, tuchukue maneno ya nani? Hao marais wote wawili wanasema Putin ni smart a.k.a. genius
Bill Clinton: Vladimir Putin is one smart Russian
Former President Bill Clinton says Russian President Vladimir Putin is "highly intelligent," but has a skewed perception of Russian greatness.www.politico.com
Dk tano.Ni kisiasa zaidi Marekani ya sasa narudia tena na tena vita ya kukandamiza kiuchumi wao wameona ndio njia pekee endelevu itakayowasulubu kina Putini, uzuri wa Putini kisilaha haimaanishi kwamba Marekani hawezi kumshughulikia Russia chini ya dakika 5 kama Marekani itaamua.
Mkuu kuwekewa vikwazo ni bora kuliko kuzingirwa kutekwa na kuwa mtumwa. Yaani uwe roboti la matope. Hakuna mtu mwenye akili timamu ataruhusu kuzungukwa kwa makombora na mizinga. Aza waisi labda hatuna braini.Kwa wasiofahamu tu ni kwamba, hivi vikwazo vya kiuchumi alivyolimwa Russia madhara yake kwa uhakika zaidi yataanza kuonekana kwenye miaka 2-3 ijayo na hivi vikwazo vyenyewe naona ni very calculated and punitive.
Kwa vyovyote vile endapo Russia ataendelea kukomaa na uvamizi wake ukweli ni kwamba wapende wasipende kamwe hawataweza kuhimili madhara ya hivyo vikwazo na lazima watakuja waombe tu poo.
Kama kuna mtu atabisha hili basi ni kwa kutokufahamu tu uzito wa vikwazo hivyo anavyowekewa Russia kwa sasa na athari zake kwa uchumi wa taifa hilo.
Madhara watakayopata kutokana na athari za vikwazo hivyo ni afadhali ya hasara watakayopata kutokana na Ukraine kujiunga na Nato.
Time will reveal what I'm saying here.
Mkuu nisaidie kutafsiri maneno ya Trump, kisha na maneno ya Rais George W. Bush aliposema 'Putin is a very smart tactician' kwenye video hii hapa chini. Natanguliza shukurani za dhati kwako kwa msaada wako huo uliotukuka.Wakati mwingine usisubiri mtu akuambie sasa tumia akili, soma alichokisema Trump afu jiulize alikuwa na maana gani.
Subiri 24 anagombea tenaNatamani Trump arudi White House
Na mmeshaambiwa hakuna nchi 1 inayoweza ku cover hio 40% ya mrusi na bado gharama za hio source nyingine ya gesi........atakaeanza kulia ndo alieumizwa..............Mchina alishamuhakikishia mrusi soko la gesi yake............hapa yatajirudia tu ya crimea mtu anakaza baadae anaona anajipiga bao mwenyewe analegezaWewe shida yako ni vita itokee., lakini wenzetu hawako uko uliko wewe Unaambiwa 40% ya gesi ya Russia anauza ulaya sasa niambie ni kwa vipi Russia hataanguka kiuchumi? na kuanzia ile juz alivyovamia sasa ameanza rasmi russia kulipa gharma yake ya uvamizi.
Haya mambo ya kusifiana yanawashangaza sana kwa sababu tu ya kutokufahamu jinsi siasa za kimataifa zilivyo. Ushamba!Mkuu huyo Clinton ni Bill Clinton na alimsifia Putin mwaka 2014, miaka mingi kabla hata Biden hajawa Rais wa US.
Lakini pia hata George W. Bush alishawahi kumuelezea Putin kuwa ni mtu smart sana (cheki video hii kuanzia sekunde ya 30)
Weka hapa kusifia kulikoambatana na utekelezaji wa tukio zito, tete na tata kama hili alilolifanya Putin.Haya mambo ya kusifiana yanawashangaza sana kwa sababu tu ya kutokufahamu jinsi siasa za kimataifa zilivyo. Ushamba!
Ni mambo ya kawaida sana haya katika siasa za kimataifa hasa za haya mataifa makubwa. Of course ni mambo mageni kwa watu wasiofuatilia haya mambo! Hata Putin naye ana tabia ya muda mrefu tu ya kusifia marais wa Marekani.
Putin amewahi kumsifia Joe Biden kuwa ni mtu "professional" na akaongeza kuwa Biden ni "completely knowledgeable on all issues".
Link hii hapa, utakuta video humo:
Putin praises Biden, calling him a 'professional' following Geneva summit
Russian President Vladimir Putin praised US President Joe Biden Thursday, describing him as a "professional" who is "completely knowledgeable on all issues," according to a Kremlin transcript of Putin's televised remarks.edition.cnn.com
Nanukuu kwa uchache maneno ya Putin aliyowahi kuyasema kumhusu Biden:
"Mr. Biden is a professional, and you need to be very careful when working with him so as not to miss something."
Mwisho wa kunukuu! Sijaongeza neno wala sijapunguza neno!
Wakati fulani, Putin pia amewahi kumsifia Trump kwamba ni mtu mwenye kipaji cha hali ya juu (very colourful, talented person):
Donald Trump 'honoured' by Vladimir Putin's compliments
US presidential hopeful Donald Trump says it is a "great honour" to receive a compliment from Russian President Vladimir Putin.www.bbc.comPutin praises 'bright and talented' Donald Trump - CNNPolitics
Donald Trump has said that he would "get along very well" with Russian President Vladimir Putin.edition.cnn.com
Haya ni mambo ya kawaida sana katika siasa ndugu zangu[ni]. Jitahidini kuzifahamu siasa hasa za kimataifa kwa undani zaidi, inasaidia sana kuondokana na ushamba juu ya mambo madogomadogo kama haya.
Putin amewahi kumsifia Biden kuwa ni mtu "professional" na pia ni "completely knowledgeable on all issues". Umeelewa maana yake!Weka hapa kusifia kulikoambatana na utekelezaji wa tukio kubwa na tata kama hili alilolifanya Putin.
Hampeleki tena jeshi kukomboa crimea na majimbo yaliyonyakuliwa tena?Putin can not be Genius, otherwise tumuone akiweza kuhimili vikwazo alivyoekewa na wananchi wake wasijekufa njaa
Trump kamsifia Putin kuwa 'namna alivyojiingiza Ukraine' katumia akili kubwa mno na katamani pia US wangetumia njia hiyo ktk kudili na sehemu za nchi inayopakana nayo upande wa kusini.Putin amewahi kumsifia Biden kuwa ni mtu "professional" na pia ni "completely knowledgeable on all issues". Umeelewa maana yake!
Pia akasema: "you need to be very careful when working with him so as not to miss something". Umeelewa maana yake!
Jitahidi kuzifahamu vyema siasa za haya mataifa makubwa.
Halafu jifunze nidhamu ya namna ya kujadiliana na mtu usiyemfahamu ktk mitandao ya kijamii.Haya mambo ya kusifiana yanawashangaza sana kwa sababu tu ya kutokufahamu jinsi siasa za kimataifa zilivyo. Ushamba!
Haya ni mambo ya kawaida sana katika siasa ndugu zangu[ni]. Jitahidini kuzifahamu siasa hasa za kimataifa kwa undani zaidi, inasaidia sana kuondokana na ushamba juu ya mambo madogomadogo kama hahaya.