Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Vipi lile bus alilopewa huyo Lissu kule Ubelgiji bado tu mpaka leo halijafika ufipa?Lissu kwa sasa anajiandaa kushika madaraka makubwa baada ya uchaguzi wa October
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ni ukweli mchungu...hakuna mzungu anataka tuwe kama yeye.Inasaidia nni, hata enzi za kikwete alikuja obama mkasafisha na mabarabara lakini hakuna njaa iliyoisha, hakuna mzungu anataka nyie muwe kama wao, bali wao ni kututumia kama ngazi zao, kama wanataka nasi tufaidi uchumi waje wanunue bidhaa zetu kwa bei zetu ili tujitegemee tuwe sawa.
Sifa upewe kisha wao wapitishe mabomu na mabundiki na vita ipiganwe kwenye nchi yako wao huko wanalala usingizi eti diplomasia?
Inasaidia nni, hata enzi za kikwete alikuja obama mkasafisha na mabarabara lakini hakuna njaa iliyoisha, hakuna mzungu anataka nyie muwe kama wao, bali wao ni kututumia kama ngazi zao, kama wanataka nasi tufaidi uchumi waje wanunue bidhaa zetu kwa bei zetu ili tujitegemee tuwe sawa.
Sifa upewe kisha wao wapitishe mabomu na mabundiki na vita ipiganwe kwenye nchi yako wao huko wanalala usingizi eti diplomasia?
Ulishakoment kuhusu hii ya puppet mkuu... umezidisha dozi nini?
Vipi lile bus alilopewa huyo Lissu kule Ubelgiji bado tu mpaka leo halijafika ufipa?
Huu ni ukweli mchungu...hakuna mzungu anataka tuwe kama yeye.
Ndiyo maana hawezi kukubali tuwe sawa ili aendelee kuchangia mahitaji yetu ya kila siku tusimkwepe.Lkn yeye ndiye anaye changia kwa ukubwa mahitaji yetu ya kila siku hivyo huwezi kumkwepa kwenye maisha yako ya kila siku
Sent using Jamii Forums mobile app
Demokrasia ya kuiba mariasiri za Africa?Rais wa Marekani uwa atembelei nchi zisizo za kidemocrasia. kipindi kile Kikwete alipo boresha democrasia obama akaja. kuna shida sana kwenye democrasia africa mashariki ukiondoa Kenya.
Jamaa ni tapeli sana.
sijui wa kwetu atasifiwa lini?
Chukua au acha huo ndio ukweli
Trump ndio nani tunamagufuli hapaUnaweza kusema kuwa sasa nyota ya Kenya inazidi kuwaka kuelekea kuimarisha uchumi wao. Hii yote inatokana na rais wa nchi yao kuwa karibu sana na Rais wa dunia yaani rais wa USA [emoji1259].
Wenzetu nawaona kama wanakimbia zile mbio za nyika ambazo kwao kila mashindano ya dunia huwa ni washindi tu.
Mwezi wa nne mwaka huu wakenya watakuwa na ugeni mkubwa sana kwa kumpokea rais Trump.
Ushahidi wa haya someni hapo chini, isiwe kesi sisi Kagame anatutosha. View attachment 1351105
Sent using Jamii Forums mobile app
Fake tweet, wala huu ujinga haujaandikwa kwake,
Yaani hamfuatilii vitu kabla ya kupost mnapenda kukurupuka ovyo,
Ndio maana upinzani unazidi kupoteza muelekeo kila siku.
Nenda kwenye account yake copy hiyo tweet kisha njoo upost hiyo link humu.
Fake tweet, wala huu ujinga haujaandikwa kwake,
Yaani hamfuatilii vitu kabla ya kupost mnapenda kukurupuka ovyo,
Ndio maana upinzani unazidi kupoteza muelekeo kila siku.