Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hizo documentaries zote hazijatosha kukuelimisha hili?... ninapendelea zaidi 'DOCUMENTARIES' na nimezipitia nyingi, I KNOW WHAT CIA IS!
Hakugusa jeshi lolote pamoja na vyombo vya usalama. aka Wizara ya mambo ya ndaniHio Mifumo ndio aliitumiaga Mwendazake kufanya usafi kwenye Wizara mbali mbali kwa sera ya "Kuinyoosha nchi"
Hata Mimi nilikuwa na akili kama zako Hadi majuzi Tu, kumbe Hollywood wametufanganya Sana na cinema zao, CIA nao ni wajinga kama CCM, angalia wanavyovurugwa na akina Big Balls!Kabisa, CIA sio watu wa kubeza.
Kama ni kwenye series na movie za Hollywood hapo Sawa ila ki uhalisia kuna chance ndogo 0.00009% ya Trump Ku Magufuliwa!Trump's life is in serious danger. They will hit back
Kwahiyo Mwamba Magufuli alikuwa sahihi ndio maana Trump anamuiga sio?Tukienda na ule ukweli hili ufanye kazi kwa ufanisi zaidi upate matokeo tarajiwa ni lazima watendaji wako wa chini wawe ni watu wanaoamini katika ideology na maono yako.
#Trump2024
Toa mfano mmoja kuonyesha CIA ni hatari Sana?Sawa ila sio hawa CIA, hawa jamaa ni hatari.
Trumplet a.k.a vuvuzela has flip flopped but his supporters aren't upset or haven't noticedSasa kulikoni uweke malaya Ikulu si bora Trump mwenye maamuzi ya kiume. Changes are inevitable and part of life. You cant resist changes you will eventually have to adapt to the changes.
Mkuu, katika civilized nations hakuna aliye juu ya sheria ndio maana wale jamaa Mungu anawabariki sana. Huku kwetu mpelelezi anajiona Mungu mtu.Sawa ila sio hawa CIA, hawa jamaa ni hatari.
Alafu Aina ya vilio wanavyotoa Democratic ni Sawa na walivyokuwa wanalia hapa kwetu enzi za JPM, " utawala wa Sheria, katiba yetu, Haki za binadamu,"Kwahiyo Mwamba Magufuli alikuwa sahihi ndio maana Trump anamuiga sio?
Unataka upewe mfano, kwenye maswala haya ya ujasusi ni ngumu kupata ushahidi hata ukizifuatilia documentary za kipepelezi za baadhi ya matukio ambayo inasemekana CIA,m wameyafanya, hawa indicate ushahidi kwa asilimia zote ila ukifuatilia mtililiko unakuja kupata picha halisi.Toa mfano mmoja kuonyesha CIA ni hatari Sana?
Ila sio hawa CIA.Mkuu, katika civilized nations hakuna aliye juu ya sheria ndio maana wale jamaa Mungu anawabariki sana. Huku kwetu mpelelezi anajiona Mungu mtu.
100%Kwahiyo Mwamba Magufuli alikuwa sahihi ndio maana Trump anamuiga sio?