Trump aokoa na kuirudisha ndoa yangu kwenye mstari

Hiyo na fananisha na siku wale vichwa ngumu watakapo angukia pua.Naona itakavyokuwa fullsherehe.
 
Atakuwa amejifunza vya kutosha na nitakachofanya muda huu ni kumpa mimba faster faster wale wawili tuliokuwa nae awe na wanne kabisa achakae kiasi fulani akili imkae sawa na ajue umuhimu wa mwanaume duniani sitaki ujinga tena ujirudie
Kuhusu kujifunza, sahau kwa hao viumbe. Akipata shavu jengine tu hapo anakuwa kule yule wa USAID
 
Mimi ningekuwa nimeshaachana nae. Heshima ya kukonyeza kama saa ya kimulimuli siihitaji. Kuna heshima na kuna usanii. 🤣
 
Ungepiga chini hicho kiumbe maana hata hiyo heshima anayokupa ni ya maigizo na kwa kuwa alishazoea maisha ya standard fulani huko mbele anaweza kukushangaza
 
Unasikilizia part two au siyo?🤣
Kabadilika kiasi fulani anaweza kuwa mwema may b ngoja nimpe nafasi nyingine, pia kumbuka ni mke huyu sio kimada kwamba naweza kufanya tu maamuzi kwa kurudisha kisasi,

Kama kumpiga chini ningempiga kipindi kile na mimi nimejipata lkn labda mungu alitaka jambo huyu wifi yenu aje ashuhudie huku mbele na ajifunze.
 
Humu
 
Humu
 
Mkeo anamtii mwenye pesa. Leo unamshukuru Trump kesho utamlaani lijamaa flani hivi lenye fedha za kuchezea kwa kutokujali njia asili ya kupita na kupita anapojisikia sababu ya pesa zake zinazopendwa sana na mkeo.
 
Kama wa kujifunza atajitunza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…