Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna mkristo anayepigania diniDuuh aysee
Kwa hiyo?Trump ni mkiristo pia kumbuka
Kwahivo unataka tumfanyeje? Hiko ni kitabu tu kama cha ngoswe penzi kitovu cha uzembe mbona huelewi? Kuna mambo mengi ya kufanya kuliko kufuatilia machizi waliamua kuandika hadithi zao hazina maanaTrump ni mkiristo pia kama ulivyo wewe
Too crazyHe's crazy
Mohamed na paulo hawana tofauti yeyote ileTrump mwishowe ataanza kujitangazia utume kama Paulo.
Wenzetu walivyo na mihemko wangeanza kumpigania Mungu mpaka unajiuliza huyo ni Mungu gani asie na nguvu mpaka anapiganiwa hivyoNa ndo uzuri wa ukristo wa kweli mambo ni rohoni
Mungu wa wakristo yupo moyoni mwa wakristo na Mungu wa wale wavaa kubasi mabingwa wa kufukuana mitaro ya kunduchi yupo kwenye ngumi, majambia n.k na hata sasa watu wananoa mapanga wanatamani ingekuwa kitabu Chao kimetaniwa wanunue ugomviLakini mbona kitabu chenu kinachezewa namna hiyo, hatuoni umoja wa Wakiristo wakimpinga na kumlaani Trump kuchezea neno la Mungu biblia? tena yanafanyika hayo US ambako ni kitovu cha Ukiristo na icho kitabu kinauzwa $56.9, Kulikoni Wakiristo?
Mohamed na paulo hawana tofauti yeyote ile
Kwa hivyo unamuunga mkono TrumpMungu wa wakristo yupo moyoni mwa wakristo na Mungu wa wale wavaa kubasi mabingwa wa kufukuana mitaro ya kunduchi yupo kwenye ngumi, majambia n.k na hata sasa watu wananoa mapanga wanatamani ingekuwa kitabu Chao kimetaniwa wanunue ugom
Umemuuliza nani ?Kwa hivyo unamuunga mkono Trump
Una uhakika na haya unayoyasema. Wewe ulishawahi kuiona Biblia ya awali then ukafanya mlinganisho ukaona ipo sawa sawa na hii ya Leo?Hakuna mwenye uwezo wa kuharibu neno la Mungu,wengi wamekuja na kufanya waliyofanya lakini neno la Mungu halijaharibiwa.
Trump is Jew. Not Christian.Trump ni mkiristo pia kumbuka
Si ndio tatizo la ukiristo hilo !Trump is Jew. Not Christian.
Kitovu cha Ukristo ni Jerusalem.Lakini mbona kitabu chenu kinachezewa namna hiyo, hatuoni umoja wa Wakiristo wakimpinga na kumlaani Trump kuchezea neno la Mungu biblia? tena yanafanyika hayo US ambako ni kitovu cha Ukiristo na icho kitabu kinauzwa $56.9, Kulikoni Wakiristo?
Kama kitovu cha ukiristo ni Jerusalem Middle East kwanini munafuata mila za kizungu, wanawake wa kikirsto wanavaa mini skirt, kutembea uchi wakati mama maryam alijitanda, yesu alivaa kanzu kama wanavyovaa waislamKitovu cha Ukristo ni Jerusalem.
Marekani na Italy wameteka mafunzo ya hiyo dini halafu wanaifanyia usanii.
Hpn labda kama MudiTrump mwishowe ataanza kujitangazia utume kama Paulo.
Ukristo ni kitu cha ndani sn ni zaidi ya kutawaza na Mungu wetu Yesu ni imara sanaKitovu cha Ukristo ni Jerusalem.
Marekani na Italy wameteka mafunzo ya hiyo dini halafu wanaifanyia usanii.