Trump atoa biblia yake. Ina bendera na katiba ya US pamoja na mwimbaji ampendae

Trump atoa biblia yake. Ina bendera na katiba ya US pamoja na mwimbaji ampendae

Wacha kujisemea kama mlevi.Yesu usimwite Mungu.

Wacha kujisemea kama mlevi.Yesu usimwite Mungu.
Wewe ni nani upangie watu namna ya kuita?
Yesu ataitwa Mungu iwe isiwe yaani usipomwita leo utakuja mwita ukiwa Jehanam unakinywea kikombe cha uchungu,
Hakwepeki Kila kiumbe kitakiri ya kwamba Yesu Kristo ndie BWANA (JEHOVA)
Finish!
 
Wewe ni nani upangie watu namna ya kuita?
Yesu ataitwa Mungu iwe isiwe yaani usipomwita leo utakuja mwita ukiwa Jehanam unakinywea kikombe cha uchungu,
Hakwepeki Kila kiumbe kitakiri ya kwamba Yesu Kristo ndie BWANA (JEHOVA)
Finish!
Mimi nasema kama mfuasi wa Yesu(Issa bin Maryam) wa kweli.Sio kama wewe na wenzake mnayemfedhehesha na kwenda kinyume na mafunzo yake.Halafu mumepenyezewa jina la kiyahudi Yehova.
Yesu a.s ni mtume wetu waislamu na ni ndugu na mtume wa mwisho,Muhammad s.a.w.
Yesu kwetu waislamu amefanya miujiza mikubwa ambayo nyinyi hata hamuwezi kuijua kwa kufuata vitabu vya akina Paulo na Donald Trump.
 
Mimi nasema kama mfuasi wa Yesu(Issa bin Maryam) wa kweli.Sio kama wewe na wenzake mnayemfedhehesha na kwenda kinyume na mafunzo yake.Halafu mumepenyezewa jina la kiyahudi Yehova.
Yesu a.s ni mtume wetu waislamu na ni ndugu na mtume wa mwisho,Muhammad s.a.w.
Yesu kwetu waislamu amefanya miujiza mikubwa ambayo nyinyi hata hamuwezi kuijua kwa kufuata vitabu vya akina Paulo na Donald Trump.
Issa wenu sio Yesu ni mambo ya kujitungia,issa alikuwa albino na mwarabu,Yesu ni myaudi
 
Mimi nasema kama mfuasi wa Yesu(Issa bin Maryam) wa kweli.Sio kama wewe na wenzake mnayemfedhehesha na kwenda kinyume na mafunzo yake.Halafu mumepenyezewa jina la kiyahudi Yehova.
Yesu a.s ni mtume wetu waislamu na ni ndugu na mtume wa mwisho,Muhammad s.a.w.
Yesu kwetu waislamu amefanya miujiza mikubwa ambayo nyinyi hata hamuwezi kuijua kwa kufuata vitabu vya akina Paulo na Donald Trump.
Yesu Sio Isa bin Mryam acha hizo wewe lete ushahidi wa hilo halafu
Uungu wa Yesu Sio wa kujadiliwa ni kitu common
Uungu ni Asili yaani Yashua Amashiach ndie kiumbe pekee aliyewahi exist akiwa na Asili mbili ya Uungu 100% na Binadamu 100%
Yaani Eternal Son of God na ni Mwana wa Adamu

Mariamu alibeba Mimba kwa Uwezo wa Roho Mtakatifu (Mungu) yaani Neno alifanyika mwili na hivyo kilichozaliwa ni kitakatifu kwa Asili ambacho kina Uungu kwa sababu Neno ni mmoja huwezi kumtenganisha na anaexist popote hivyo ni lazima Yesu awe Mungu tu na ndio maana mwenyewe alisema mimi ni Nuru ya Ulimwengu tena ni njia ya kweli na uzima na mtu yeyote hataweza muona Mungu ila kupitia yeye maana yake Yesu ndie Mungu katika mwili na hiyo Quran yako imeandika yeye ndie atakayetoa hukumu ya haki anayostahili kila mtu siku ya Kiama
Sasa chekecha akili ujue huyo Mungu kwanini ampe mtu ahukumu watu kama Sio ndie yeye alietangaza tangu Mwanzo za manabii na mitume ndie mtoa hukumu ya haki?
Tafuta Elimu ujue hii siri ya ufalme wa Mungu kupitia Yesu Kristo!
 
Lakini mbona kitabu chenu kinachezewa namna hiyo, hatuoni umoja wa Wakiristo wakimpinga na kumlaani Trump kuchezea neno la Mungu biblia? tena yanafanyika hayo US ambako ni kitovu cha Ukiristo na icho kitabu kinauzwa $56.9, Kulikoni Wakiristo?
Wakristu hua hawaipuganii dini, wala kumpigania Mungu. Bali Mungu hua anajidhihirisha yeye mwenyewe kwa njia zake.

So relax, kazi yetu kubwa ni kuilinda imani iliyo mioyoni mwetu sio kitabu.

Ah mpaka natetemeka sasa
 
Hakuna mwenye uwezo wa kuharibu neno la Mungu,wengi wamekuja na kufanya waliyofanya lakini neno la Mungu halijaharibiwa.
Acha uongo, Mbona Warumi walifanikiwa kupotosha maandiko. Au wewe unahis hiyo Bible unayotumia imetimia.
Bado kidogo tu Bible itakua Kitabu cha Memes.
 
Waulize wakatoliki wakubwawakubwa wamiliki wa Ukristo wenu wa Mchongo walioshikilia hatima za Wagaratia wote ulimwenguni watakupa Muongozo.
Huna hoja ya maana na huna ushahidi wowote zaidi ya kusikiliza mawaidha kutoka kwa sheikh wako,ukristo ndio njia pekee ya uzima huko kwingine unajiandaa na jehanamu ya milele.
 
Huna hoja ya maana na huna ushahidi wowote zaidi ya kusikiliza mawaidha kutoka kwa sheikh wako,ukristo ndio njia pekee ya uzima huko kwingine unajiandaa na jehanamu ya milele.
Ungejua Mimi kabla ya kugundua kua Mungu hana Dini nilikua Mgaratia kama wewe usingeongea, Nakuzid kila kitu kwenye Ukristo ila ndo siwez kaa kitako na Wafia dini hizo zama za Upumbavu nilishazipita.

Jua tu Sijawah kua Muislam na haiwezekani kamwe.
 
Huyo ni Kichaa, wamarekani wa walijichanganya kumpa urais kosa amabalo hawawezi wakalirudia kamwe.!
 
Ungejua Mimi kabla ya kugundua kua Mungu hana Dini nilikua Mgaratia kama wewe usingeongea, Nakuzid kila kitu kwenye Ukristo ila ndo siwez kaa kitako na Wafia dini hizo zama za Upumbavu nilishazipita.

Jua tu Sijawah kua Muislam na haiwezekani kamwe.
Hongera basi kwa kuwa mpinga kristo ,wewe subili moto wako huko uliko,kama ulikuwa mkristo ulikuwa wale vugu vugu na huna ujuacho ulimwengu wa roho na ndio maana ukatoka,maana hakuna aliyewahi ijua neema ya Kristo kwa undani akatoka.
 
Hongera basi kwa kuwa mpinga kristo ,wewe subili moto wako huko uliko,kama ulikuwa mkristo ulikuwa wale vugu vugu na huna ujuacho ulimwengu wa roho na ndio maana ukatoka,maana hakuna aliyewahi ijua neema ya Kristo kwa undani akatoka.
Au sio, Na hakika hata robo ya Ukristo wa Yuda huna na hautoufikia kamwe.
Wewe si lolote si chochote na kama Ukristo ndo unawaepusha watu na moto basi uko mbinguni kutajaa Wahuni.
 
Au sio, Na hakika hata robo ya Ukristo wa Yuda huna na hautoufikia kamwe.
Wewe si lolote si chochote na kama Ukristo ndo unawaepusha watu na moto basi uko mbinguni kutajaa Wahuni.
Ukristo ni amani,unavyozidi kumjua kristo inazidi kuwa mnyenyekevu na unayemjali kila mtu bila ukristo imara dunia isingekalika.
 
Ukristo ni amani,unavyozidi kumjua kristo inazidi kuwa mnyenyekevu na unayemjali kila mtu bila ukristo imara dunia isingekalika.
Sema hivi, Ukristo ndio mfumo uliofanikiwa kutengeneza Mbumbumbu wengi ili watumike vizuri na vikundi vya wajanja fulan fulan kiuchumi.
 
Kama mtu wa imani yeyote anashangazwa na hili basi atakuwa ni mpumbavu...

Vitabu vya imani vyote vina ligha yake ya asili.. yaani Original.

Kuhusu Biblia.. zipo original kwa lugha ya Aramaic, Hebrew, Greek, Ethiopian.

Injil wasomi wa kigiriki ndio waliweza kutafsiri from Aramaic to Greek to Hebrew Latin n.k

From Latin ti English Roman walipinga sana ila Mfalme James wa Uingereza alitumia njia zote kukipata kitabu Original na akafanikisha kutafsiliwa Biblia kwa Lugha ya English iitwayo King James Version.

So upumbavu kusema mtu katoa biblia yake ukisema hivyo inaana ni story from Original source pengine hazikuunganishwa ndani ya Biblia iliyopo sasa.. maana Biblia maana yake ni Books of Books..

Zipo Books ambazo zilikuwa rejected due story zake zilukuwa hadithi za watoto wakati wa kulala bedtimes story wayahudi walikuwa nazo kuna book inaitwa Legend of the Jews.. zipo story za Yesu alifanya udongo kisha akapulizia pumzi yake kwa mdomo ule udongo ukageuka ndege hai akapaa.. Jews walikataa Ila Muslim waliichukua bedtimes story wakaitia kwanye Quran.

Kuna story ya Yesu alikuwa mkorofi sana hashikiki anawatoroka wazazi wake anaenda kucheza na watoto wengine sokoni kuna siku walkenda ghorofani wakacheza hadi wakachoka mtoto mmoja akajilaza kwenye kibaraza ghorofani akiwa akageuka akageuka vubaya na akaanguka hadi chini akafa..
Yesu akasingiziwa ndie amemsukuma kilichosababisha kupoteza uhai wa yule mtoto..
Baada ya kusimgiziwa Yesu hakukubali huku akilia akamtikisa yule mtoto hadi alifufuka ili atoe ushahidi kuwa yeye hakumsukuma.. hatimae yule mtoto alifufuka akasema hakusukumwa.

Zipo story ambazo ni rejected na Muhammad alizibeba kama zilivyo.. Suleiman with flying carpets ambalo linabeba nchi nzima...

Mleta Mada nj wale Waislam wanaopenda Mocking other religious. Hajui Bible imethibitishwa kama ilivyo sasa hivi bila kuongezwa wala kupunguzwa na Allah ndani ya Quran yao wanayoiita Tukufu.. so Mocking Bible una Mocking Quran too.. so this people wanaishi na ule msemo wao unaosema wapingaji na upingaji ndio Ukafir..

Ukija kwenye Quran Muslim wengi sijajua kama wanajua kuwa Quran hadi ya Arabic nayo ni tafsiri ! Mtume wao aliulizwa ulipataje ufunuo akawajibu sometimes Jibril alikuwa anatoa Aya na Surat kwa milio ya kengere na yeye anatafsiri kwa Arabic..

Quran ya Hafsi ambayo inaeleza muamdishi anaswma amechukua matamshi kutoka kwa fulani,aliyetamka fulani ,fulani,according to according to Muhammad, according to Jibril, according to Allah, ndio wengi wanaitumia hiyo Quran ya Hafsi kuna za waandishi wengine kuna wanaozitumia haswa Africa ya Magharibi zinakinzana sana. Unakuta neno moja la kiarabu ila tafsiri yake nusu page yaani full udanganyifu ili wakwamie kwenye uislam..
 
Mimi nasema kama mfuasi wa Yesu(Issa bin Maryam) wa kweli.Sio kama wewe na wenzake mnayemfedhehesha na kwenda kinyume na mafunzo yake.Halafu mumepenyezewa jina la kiyahudi Yehova.
Yesu a.s ni mtume wetu waislamu na ni ndugu na mtume wa mwisho,Muhammad s.a.w.
Yesu kwetu waislamu amefanya miujiza mikubwa ambayo nyinyi hata hamuwezi kuijua kwa kufuata vitabu vya akina Paulo na Donald Trump.
Ewe muislam fake.. jua ya kwamba maji hayachanganyiki na mafuta.. Mostly Muslim wanajaribu kuongea maneno hata Mtume wao alipokuwepo miaka mia sita after Jesus hakuwahi kujinadi nayo..

Muhammad alijisogeza Jerusalem akijinadi ni mtume Ahmed aliyetajwa na Yesu katika Quran only, wayahudi wakafungua vitabu hawakuona.. wakamfukuza wakampa aya kuwa Hakuna Mtume nje ya Uzao wa Ibrahim,Isaka na Jacob.. wakamtoa nduki even Kibra ilikuwa ni Jerusalem na sio Bakka wala Mecca.. ujue usanii wa Mudy ulivyo..

Alifikia kutoa aya zake kuwa biblia haina makosa na haibadiliki sababj ni Maneno ya Allah.. lakini alishushuliwa.. hiyo miujiza ni from bed time story za jews (Legend of Jews katafute kitabu usome jinsi Quran imetoholewa from vitabu vya kutunga... Suleiman with flying carpet, Gog magog Alexander the great kufika eneo ambalo jua linazama kwenye matope ya moto. Yesu anaumba.. inamaana katika waumbaji ni Yesu na Kalamu (Neno)ya Allah (Word) pekee hii inatuonesha Allah anajidai tu lakini yeye sio muumbaji.

Yesu myahudi kwa Mama na na kwa Baba ni Mungu. Na huyu mjinga Muhammad ni m Quraish not Arab sababu Arabs original ni Bedui na ndio tafsiri ya Arabas kabila lililokuwa linahamahama la wafugaji jangwani.

Unapozungumza plz chambue au ujue maana ya maneno unayoyafanyia mockary Yehova YHWH maana from Musa alimuuliza niwaambie nini watu wangu jina lako ? Akaambiwa YHWH yaani I am who I am..
Na Yesu alijiita hivyo I am who I am. Mungu alikuja na Mipango yake na ilitimia ili tuongoke tuje kuishi naye milele.

Sasa wewe hebu changanua jina la Mungu wako Allah.. uangukie Mungu Mwezi Moon God.. au Yah-sin mungu wa wapagani makafir.. watoto wa kike wa Allah unawajua? Alizaa na Mungu Jua Al-Uzza Al-lat na Manat

Quran Surat Malyam aya ya Kwanza mnaogopa kuitafsiri inasema
Christ is my GOD..
Kãf-Ha-Ya-’Aĩn- Ṣãd
كٓهيعٓصٓ
Kaf Ha Ya `Ayn Sad,
Ukitumia hesabu za translation from Original language ya Arabs ni Aramaic ukitohowa hesabu unapata sawa sawa tafairi kwa kiarabu kuwa Christ is my lord.. Quran zote wameficha aibu hii sababu walicopy bila elimu walipogundulishwa wakaacha kama ilivyo bila tafsiri..
Hata Alif raam meen wameficha tafsiri

Kugezea kubaya
 
Back
Top Bottom