Sasa mbona mnataka vita hapa Tanzania?Nawasikitikia sana mnao shangilia vita yaani vita ianze mafuta lita iuzwe elfu 5
Halafu vita haijawai kuleta amani katika ulimwengu wa leo.
kuianza ni simple ila kuimaliza ndio balaa.
Sasa Iran in ukubwa gani mpaka unaisifia kiasi hicho.Aman iwe nanyi
Huo ndo ukweli kwamba America ni baba wa Uoga ulimwengun wala hana uwezo wa kuingia vitan na nchi kubwa kama Iran
Kazoea kuonea vidaa tu manyangumi hawawezi
Poor America
Poor trump
Big up Ayatollah
Hands up Iran
Tumeshinda bye bye
LONDON BOY
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda wajishambulie wenyewe ila sio Kuishambulia IRAN..Cha muhimu kwa marekani ni kuwa wameondoa hatari,kwahiyo kama chokochoko zitaendelea hawatasita kushambulua...
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani ww bonge la hovyo..Mambo ndoo hayo zipigwe,halafu nashangaa watu wanasema eti mafuta yatapanda wakati hata pikipki hawana
Sent using Jamii Forums mobile app
Nawasikitikia sana mnao shangilia vita yaani vita ianze mafuta lita iuzwe elfu 5
Halafu vita haijawai kuleta amani katika ulimwengu wa leo.
kuianza ni simple ila kuimaliza ndio balaa.
The United States just spent Two Trillion Dollars on Military Equipment. We are the biggest and by far the BEST in the World! If Iran attacks an American Base, or any American, we will be sending some of that brand new beautiful equipment their way...and without hesitation!Hahahahahahahahah OFF TARGET Hahahahahahahahah Aibu sana hakuna hata majeruhi.
Kalazimika kuanzisha uzi kwa namna Trump alivyomuudhi. Yeye alitaka zipigwe.Lol[emoji4][emoji4]
Trump ametumia busara kubwa mno maana kaweka wazi kabisa kuwa uwezo wa kumpiga Iran anao...
Ila ameangalia kuhusu ndoto za vijana wa IRAN maana angeipiga Iran kwa namna moja angefanya maisha ya iran kuwa magumu na hili lingepelekea ndoto za vijana wa iran wasio na hatia kufutika...
Hivyo niipongeze Marekani na Rais Donald Trump kuliangalia hili...
Sent using Jamii Forums mobile app
US = PAPEE TIGER ...Trump ametumia busara kubwa mno maana kaweka wazi kabisa kuwa uwezo wa kumpiga Iran anao...
Ila ameangalia kuhusu ndoto za vijana wa IRAN maana angeipiga Iran kwa namna moja angefanya maisha ya iran kuwa magumu na hili lingepelekea ndoto za vijana wa iran wasio na hatia kufutika...
Hivyo niipongeze Marekani na Rais Donald Trump kuliangalia hili...
Sent using Jamii Forums mobile app
The United States just spent Two Trillion Dollars on Military Equipment. We are the biggest and by far the BEST in the World! If Iran attacks an American Base, or any American, we will be sending some of that brand new beautiful equipment their way...and without hesitation!Hakuna kitu,Trump kashaua yule kamanda wao kafanikisha lengo lake.
Huyo kazaliwa 2015 hajui madhara ya vitaNa mshangaa huyo kijana
Unajua toka asubuhi anashadadia hii vita as if yaani
Africans tuna shida sana
Sent using Jamii Forums mobile app