Trump: Hakuna Mwanajeshi wetu yeyote aliyekufa au kujeruhiwa katika shambulio la Iran. Iran inaonekana kusitisha kulipa kisasi

Trump: Hakuna Mwanajeshi wetu yeyote aliyekufa au kujeruhiwa katika shambulio la Iran. Iran inaonekana kusitisha kulipa kisasi

Off target wakati kambi zao zime nyooshwa [emoji2][emoji23][emoji1][emoji12][emoji14][emoji14]The United States just spent Two Trillion Dollars on Military Equipment. We are the biggest and by far the BEST in the World! If Iran attacks an American Base, or any American, we will be sending some of that brand new beautiful equipment their way...and without hesitation!

Sent using Jamii Forums mobile app
Na hapa ndo Trump aliposahau,"if Iran attacks an American Base,will be sending some of that brand new beautiful equipment their way" mwisho wa kunukuu,Iran kapiga base,Trump anasema ooho bahati yake hajafa mmarekani yoyote
 
Moderator wengi ni team USA hivyo wanafuta sana nyuzi za team Iran
Ila we jamaa ulitakiwa uwe mc wa iran, huu ni uzi wako kama watano hivi unautoa kwa ajili ya kuwapuliza iran mpaka nyingine mods wameziunganisha

Ukweli ni kwamba wewe unaujasiri sana kuliko iran yenyewe ambayo umekua ukiisifia

ushawahi pigwa bonge la mbata na baunsa ambaye humuwezi kiubavu halafu ukapata hasira za kulipishia ila kengele ya hatari ukaiskia inagonga kichwani ukabaki kumsonya tu huku unakimbia?

Sasa hiyo ndio condition anayopitia iran, mwishowe atasema namuachia allah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Puttin, Raisi wa Rusia atoa salamu za pole Kwa Raisi wa Iran.
Screenshot_20200108-205511.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha Kwani USA ilipoivamia Libya Trump ndio alikuwa raisi ???

Kwa taarifa yako tangu trump ameingia madarakani wanajeshi wengi wamepunguzwa Iraq .. Jamaa Sera zake sio Vita ... Nenda kasome vizuri ndugu yangu ...


Libya ilivamiwa chini ya Barack Obama na Hilary Clinton... Iraq ilivamiwa na George Bush ...


Huwa Nasikitika Sana kuona vijana wa Tanzania tunashindwa kujua vitu vidogo hivi vilivyoko Google ... Napata maswali hivi miaka 20 ijayo tutakuwa na taifa la namna gani .. itakuwa taifa la mazuzu au mang'ombe yasiyojua Geopolitical issues ... Ukikaa na mkenya hata alieishia primary school ana exposure kubwa ya mambo kushinda sisi ... Kama taifa tusipochukua hatua tutatawaliwa tena haki ya mungu

Sent using Jamii Forums mobile app
ELIMU
ELIMU
ELIMU
nakuita mara tatu mbona hutusikii sisi watanzania.Kila siku umetutenga.Halafu unakuta mtu kama huyo ni mtu na wadhifa wake kwenye taasisi fulani lakin vitu vidogo tu vinampiga chini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aman iwe nanyi

Huo ndo ukweli kwamba America ni baba wa Uoga ulimwengun wala hana uwezo wa kuingia vitan na nchi kubwa kama Iran

Kazoea kuonea vidaa tu manyangumi hawawezi

Poor America

Poor trump

Big up Ayatollah

Hands up Iran


Tumeshinda bye bye


LONDON BOY

Sent using Jamii Forums mobile app
hehehe trump ni kunguru 😀😛
 
Ambao mpo kwenye mitandao ya kijamii,youtube au sky news Rais wa marekani yupo live kuzungumzia mgogoro wa Marekani na Iran.

Pia kama una tv unaweza kuangalia CNN,Aljezira .

Tupeane updates
*****

UPDATE
Baada ya Iran kushambulia Kambi mbili za Jeshi za Marekani huko Iraq, Rais Trump amebainisha hakuna Mwanajeshi yeyote wa Marekani aliyeuawa au kujeruhiwa na uharibifu kidogo tu ndio umetokea kwenye Kambi hizo

Aidha, amesema vikosi vya Kijeshi vya Marekani viko tayari kwa lolote ila hivi sasa Iran inaonekana kusitisha kutaka kulipa
BAADHI YA SENTENSI MUHIMU ZA TRUMP MUDA MFUPI ULIOPITA KUHUSU MZOZO WA US NA IRAN

"Madhara tuliyoyapata baada ya uvamizi ni kidogo na hakuna askari au mmarekani aliyeumia au kufariki''

"Kwakuwa mimi ndiye Rais wa Marekani, Iran hataruhusiwa kuzalisha silaha za Nyuklia''

''Tutaipiga iran na Vikwazo vya kiuchumi kufuatia kushambuliwa kwa kambi za Marekani na vikwazo hivi vitadumu hadi pale Iran itakapobadilisha tabia zake''

''Vikosi vyetu vinajiandaa kwa lolote''

"Kwa sasa Iran inaonekana haina nguvu tena na hii ni muhimu kwa wamarekani na duniani ili kudumisha usalama''

''Kwa watu wa Iran na viongozi wake tunaomba muwe watu wema na wa kuifanya dunia kuwa sehemu salama na sisi tunawatakia maisha mema katika nchi yenu''

''Marekani iko tayari kuhakikisha amani inatawala duniani na atakayekuwa tayari''

Kauli zake hizi zinaonesha ataanzisha mazungmzo na Iran muda siyo mrefu na sidhani kama ana mpango na Vita. Sentensi ya mwisho imekaa kidiplomasia sana na imetoa mwanya wa mazungumzo kwa mzozo wa Marekani na Iran

Rais Trump amemaliza kuzungumza na vyombo vya habari muda mfupi uliopita, Ikulu ya White House Marekani. Picha na Shirika la habari la AFP


, ambapo ni kitu kizuri kwa pande zote zinazohusika na kizuri zaidi kwa Dunia nzima

Awali, akiaza hotuba yake amezungumzia Iran na silaha za nyuklia akisema “Kwa muda wote nitakaokuwa Rais wa Marekani, Iran haitaruhusiwa kuwa na silaha za nyuklia.”
 
Siamini kama ni US anasema haya mkwara wa juzi hakuwa anayajua haya.
Vyovyote iwavyo ila Iran kidume bwana sasa hapa Saudia na wengine wajifikirie mara mbili kumchezea maana kama bwana wao kaufyata wao wataweza.
Ebu kama kuna mtu anirushie kale ka wimbo ka baba lao ka diamond
Tuseme tu ule ukweli,Muajem akisema huwa hatanii,haijalishi nini kitafuata baada ya kutekeleza kile alichosema. Hakuna nchi yoyote duniani kwa miongo ya sasa imewahi kuthubutu hata kuharibu sisimizi anaemilikiwa na US,hakuna. Jamaa wana uthubutu usiomithilika. Kwanza wameonesha wana silaha zinazoweza kupenya defence systems. Kama kambi mbili zimeweza kupigwa na makombora,basi jamaa wako vizuri sana. Halafu nafikiri vile vikwazo vina advantage kwao,kwani hawabweteki. Nadhan wanajitahidi kuwekeza kwenye R&D ili kuendana na wakati(Technology)
Ni uthubutu mkubwa ambao wachache wanaweza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
BAADHI YA SENTENSI MUHIMU ZA TRUMP MUDA MFUPI ULIOPITA KUHUSU MZOZO WA US NA IRAN

"Madhara tuliyoyapata baada ya uvamizi ni kidogo na hakuna askari au mmarekani aliyeumia au kufariki''

"Kwakuwa mimi ndiye Rais wa Marekani, Iran hataruhusiwa kuzalisha silaha za Nyuklia''

''Tutaipiga iran na Vikwazo vya kiuchumi kufuatia kushambuliwa kwa kambi za Marekani na vikwazo hivi vitadumu hadi pale Iran itakapobadilisha tabia zake''

''Vikosi vyetu vinajiandaa kwa lolote''

"Kwa sasa Iran inaonekana haina nguvu tena na hii ni muhimu kwa wamarekani na duniani ili kudumisha usalama''

''Kwa watu wa Iran na viongozi wake tunaomba muwe watu wema na wa kuifanya dunia kuwa sehemu salama na sisi tunawatakia maisha mema katika nchi yenu''

''Marekani iko tayari kuhakikisha amani inatawala duniani na atakayekuwa tayari''

Kauli zake hizi zinaonesha ataanzisha mazungmzo na Iran muda siyo mrefu na sidhani kama ana mpango na Vita. Sentensi ya mwisho imekaa kidiplomasia sana na imetoa mwanya wa mazungumzo kwa mzozo wa Marekani na Iran

Rais Trump amemaliza kuzungumza na vyombo vya habari muda mfupi uliopita, Ikulu ya White House Marekani. Picha na Shirika la habari la AFP
 
Tuseme tu ule ukweli,Muajem akisema huwa hatanii,haijalishi nini kitafuata baada ya kutekeleza kile alichosema. Hakuna nchi yoyote duniani kwa miongo ya sasa imewahi kuthubutu hata kuharibu sisimizi anaemilikiwa na US,hakuna. Jamaa wana uthubutu usiomithilika. Kwanza wameonesha wana silaha zinazoweza kupenya defence systems. Kama kambi mbili zimeweza kupigwa na makombora,basi jamaa wako vizuri sana. Halafu nafikiri vile vikwazo vina advantage kwao,kwani hawabweteki. Nadhan wanajitahidi kuwekeza kwenye R&D ili kuendana na wakati(Technology)
Ni uthubutu mkubwa ambao wachache wanaweza.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huo ndiyo ukweli ambao Pro US wanaujua lakini wanaona uchungu kuukubari. Yani wanaumia sana hawakutegeme kuwa Muajemi anaweza mtikisa mzee wa fire and furry
 
Lengo lao lilkua kuzipiga kambi nawamefanikiwa kwa 100% Kama Wangekua Off Target Leo Hii Trumpet Asingefanya Press...
Umesema sana ya trump na marekani kiujumla ngoja nami niseme ya iran

Hivi iran inachezaje draft peke yake na kujitangaza kua mshindi?

Unanunua makombora kwa bei kubwa unatumia mabilion ya dollar halafu unalenga off target halafu unapotosha umma kua umelenga on target?

Lengo lao hapo lilikua nini haswa?
The United States just spent Two Trillion Dollars on Military Equipment. We are the biggest and by far the BEST in the World! If Iran attacks an American Base, or any American, we will be sending some of that brand new beautiful equipment their way...and without hesitation!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ELIMU
ELIMU
ELIMU
nakuita mara tatu mbona hutusikii sisi watanzania.Kila siku umetutenga.Halafu unakuta mtu kama huyo ni mtu na wadhifa wake kwenye taasisi fulani lakin vitu vidogo tu vinampiga chini.

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha tu mkuu huwa nasikitika sana ndio maana wanasiasa wanatupelekesha maana sisi wenyewe tumeshindwa kujipelekesha ... Hatuwezi kuudai Uhuru wa wanasiasa wakati sisi wenyewe hatuko huru ... Bado tuko kwenye vifungo vya ujinga , upuuzi , uzwazwa...

Hizi Ni karata kwa wanasiasa kutupelekesha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
BAADHI YA SENTENSI MUHIMU ZA TRUMP MUDA MFUPI ULIOPITA KUHUSU MZOZO WA US NA IRAN

"Madhara tuliyoyapata baada ya uvamizi ni kidogo na hakuna askari au mmarekani aliyeumia au kufariki''

"Kwakuwa mimi ndiye Rais wa Marekani, Iran hataruhusiwa kuzalisha silaha za Nyuklia''

''Tutaipiga iran na Vikwazo vya kiuchumi kufuatia kushambuliwa kwa kambi za Marekani na vikwazo hivi vitadumu hadi pale Iran itakapobadilisha tabia zake''

''Vikosi vyetu vinajiandaa kwa lolote''

"Kwa sasa Iran inaonekana haina nguvu tena na hii ni muhimu kwa wamarekani na duniani ili kudumisha usalama''
Haina nguvu tena wakati katoka kufanya kitu ambacho hakijawahi fanywa na nchi yoyote kwa kushambulia kambi za US halafu akawambia ni mimi? Funny
Vikwazo vya kiuchumi havijaanza leo na Iran bado ipo na inazidi kuwa na nguvu.
Bwana Trump amepewa majibu ambayo hakuyategemea, yani wazee hawakusubiri hata week ipite hata kabla hajamaliza vizuri piga mkwara nukes hizo boom
 
Back
Top Bottom