Nani kasema wanaenda kuuliwa watu ,!
Na hata hao watu kuuliwa kwan wanashindwa pia ?!
Kama walimuua mtu ambe hakua nasilaha wala hakuhatarisha maisha yao wanashindwaje kuuwa wanao andamana ?!
Ndio wajue sasa kama hata zile zinazokua zinafanyika HONG KONG nighasia nasio maandamano ila wanayaunga mkono kwa asilimia 100 nawanaacha kuyaunga mkono Maandamano ya WAKATALUNYA
states waache UNAFIQ wawe wanasimamia jambo kihaki pia waache UBAGUZI uone kama watayashuhudia haya wanayoyashuhudia leo hizo fujo unazozishuhudia nimatokeo yaubaguzi wao sio huu ulotokea hapa majuzi tu watu wamekusanya hasira nahasira wakitafta pakutokea leo wamezipata
wakinukishe mpaka waheshimiwe pumbaf sana US wabaguzi.....
Sent using My COVID-19