Trump na Marekani yake si wanademokrasia wafuate haki za binadamu wasiue Watu kwa kutumia jeshi

Trump na Marekani yake si wanademokrasia wafuate haki za binadamu wasiue Watu kwa kutumia jeshi

Ni maandamano gani yamefanyika Tanzania ambayo waandamanaji wanavunja supermarket na kuiba vitu, uko sio kuandamana hizo ni vurugu.
Tumieni akili mnapotaka kulinganisha vitu
Au ulikuwa mtoto ama hujazaliwa, mtikila na sera zake za gabachori
kutokea jangwani kuelekea ikulu jioni ile hakuna rangi maduka yao waliacha kuona..
vijana walitiririka vibaya..
ila mwisho wao ulikuwa IFM pale
 
Ni maandamano gani yamefanyika Tanzania ambayo waandamanaji wanavunja supermarket na kuiba vitu, uko sio kuandamana hizo ni vurugu.
Tumieni akili mnapotaka kulinganisha vitu
Mkuu haya ni mataahira hayawezi kuelewa.
 
wanachungulia tunakupita mbio[emoji16][emoji16][emoji16]

natamani jamaa wakaze kaze walau miezi misita hivi

najua baada yahapo tutaongea lugha nzuri kabisa

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wakikaza miezi 6 wewe uktakosa dawa ya arv unayotumia. Malaria itaua ndugu zako wote kule kijijini.

Wagonjwa hospitalini watakufa kwa kukosa madawa na vifaa tiba.

Mikopo na misaada itakata. Matokeo yake wewe utakufa na nchi hii itakufa njaa.
 
Haya maandamano nayo natamani yadumu miezi kama minne hv kama ilivyodumu coronya-19 ili tupate kuheshimiana hapa DUNIANI.....
Hakuna heshima utapata. Sisi Tanzania ndio tutakufa kwa malaria, wewe arv unazotumia zitaacha kuja utakufa, klitakachofuata ni vifo mfululizo. Watu milioni 2 wenye hiv hapa bongo mtakufa wote.
Malaria itamaliza watu. Tb itamaliza watu.

Marekani hata kama huwapendi wao ndio waasababisha bado unaendelea kuishi kwa kukupatia arv.
 
Nani anasemaga perfect society?
Hawasemi ni perfect ila wanaielezea kama kitu kilicho perfect, yani huwezi kufikiri huko US nako watu wana ugumu wa maisha kiasi cha kwenda kufanya wizi kuvunja wa kuvunja maduka ya watu na kuiba nepi na mito. Kwamba huko Us kuna jamii fulani ya watu huona hawatendewi haki.
 
Wakikaza miezi 6 wewe uktakosa dawa ya arv unayotumia. Malaria itaua ndugu zako wote kule kijijini.

Wagonjwa hospitalini watakufa kwa kukosa madawa na vifaa tiba.

Mikopo na misaada itakata. Matokeo yake wewe utakufa na nchi hii itakufa njaa.
Duh! Kwa hali hiyo itabidi Tz ianze kuwa inaomba misaada na sehemu nyengine maana naona Tz inaishi kwa misaada ya US tu.
 
Hawasemi ni perfect ila wanaielezea kama kitu kilicho perfect, yani huwezi kufikiri huko US nako watu wana ugumu wa maisha kiasi cha kwenda kufanya wizi kuvunja wa kuvunja maduka ya watu na kuiba nepi na mito. Kwamba huko Us kuna jamii fulani ya watu huona hawatendewi haki.

Hebu nipe mifano 5 ya hicho unachokidai, tafadhali...

Na ni akina nani hao?
 
1590954720663.png

Floyd can't be seen in the footage, but one cop can be seen leaning through the back door and
visibly struggling with him

1590954785829.png

One officer can be seen leaning into the car while another looks on

1590954838511.png

White officer Derek Chauvin was captured on video by a bystander kneeling
on Floyd's neck as he begged for air
''According to the complaint, Chauvin had his knee on Floyd´s neck for eight minutes, including nearly three minutes after he stopped moving and talking.

An autopsy said the combined effects of being restrained, potential intoxicants in Floyd´s system and his underlying health issues, including heart disease, likely contributed to his death.

Floyd's death has sparked protests nationwide.''


Then kuna Nyani moja anawatetea wauaji kwa visingizio! Eight minutes for killing Floyd.
 
Duh! Kwa hali hiyo itabidi Tz ianze kuwa inaomba misaada na sehemu nyengine maana naona Tz inaishi kwa misaada ya US tu.
USA ndio biggest development partner nchi hii toka imepata uhuru.

USA ndie anasababisha sehemu kubwa ya foreign currency tunayopata kwa utalii, analeta zaidi ya 15% ya watalii wanaotembelea Tanzania.

Ukiachia mbali technical and social support anayotoa kwenye taasisi zetu mbali mbali.

Mabadiliko makubwa yanayofanyika kwenye mahakama zetu, mobile court, law reforms, digital court na kadhalika anatoa ufadhili Marekani.

Mafunzo ya kijeshi na msaada wa jeshi letu hata juzi hapa walituletea msaada wa fifaa vya kisasa na mafunzo ya wanajeshi wetu yote anatoa Marekani.

Leo mtu umekula ugali utumbo una bando la 1000 huko kwenu Bwanga Chato unasema unatamani maandamano ya wahuni wezi na vibaka yaendelee Marekani kwa miezi 6, hujui kama utakaekufa wa kwanza ni wewe.
 
USA ndio biggest development partner nchi hii toka imepata uhuru.

USA ndie anasababisha sehemu kubwa ya foreign currency tunayopata kwa utalii, analeta zaidi ya 15% ya watalii wanaotembelea Tanzania.

Ukiachia mbali technical and social support anayotoa kwenye taasisi zetu mbali mbali.

Mabadiliko makubwa yanayofanyika kwenye mahakama zetu, mobile court, law reforms, digital court na kadhalika anatoa ufadhili Marekani.

Mafunzo ya kijeshi na msaada wa jeshi letu hata juzi hapa walituletea msaada wa fifaa vya kisasa na mafunzo ya wanajeshi wetu yote anatoa Marekani.

Leo mtu umekula ugali utumbo una bando la 1000 huko kwenu Bwanga Chato unasema unatamani maandamano ya wahuni wezi na vibaka yaendelee Marekani kwa miezi 6, hujui kama utakaekufa wa kwanza ni wewe.

So what? Wametuibia kiasi cha kutosha, sio lazima watalii Tanzania. FYI kuna watalii wengi tu kutoka nchi nyingine huo upofu mnaoujaza vichwani mwenu hatutaukubali. Huwezi kuua binadamu mwenzako kwa sababu ya kuja kutalii Tanzania na kutoa misaada koko. Then unaongelea Chato inakuhusu nini wewe Chato? Umeona Rais wa Tanzania kasema kitu humu kwenye Forum?
 
Hakuna heshima utapata. Sisi Tanzania ndio tutakufa kwa malaria, wewe arv unazotumia zitaacha kuja utakufa, klitakachofuata ni vifo mfululizo. Watu milioni 2 wenye hiv hapa bongo mtakufa wote.
Malaria itamaliza watu. Tb itamaliza watu.

Marekani hata kama huwapendi wao ndio waasababisha bado unaendelea kuishi kwa kukupatia arv.
kwahio ukiwa huna TB na AIDS utaishi milele wacha tufe tu

ila heshima iwepo kwanza mashoga watakua wapo kisiri siri
 
Wakikaza miezi 6 wewe uktakosa dawa ya arv unayotumia. Malaria itaua ndugu zako wote kule kijijini.

Wagonjwa hospitalini watakufa kwa kukosa madawa na vifaa tiba.

Mikopo na misaada itakata. Matokeo yake wewe utakufa na nchi hii itakufa njaa.
wacha tufe ndio mwisho wakila mwana adamu huo....
 
Hawasemi ni perfect ila wanaielezea kama kitu kilicho perfect, yani huwezi kufikiri huko US nako watu wana ugumu wa maisha kiasi cha kwenda kufanya wizi kuvunja wa kuvunja maduka ya watu na kuiba nepi na mito. Kwamba huko Us kuna jamii fulani ya watu huona hawatendewi haki.
Kabisa

yaani wanatuaminisha mpaka kwamba majaaa ndio jamii yawatu wastaarabu

wanaandamana kwaamani nahaki ikibidi yaani wao ndio kiigizo chema

Ila wengine ndio viigizo vya machafu namabaya
 
USA ndio biggest development partner nchi hii toka imepata uhuru.

USA ndie anasababisha sehemu kubwa ya foreign currency tunayopata kwa utalii, analeta zaidi ya 15% ya watalii wanaotembelea Tanzania.

Ukiachia mbali technical and social support anayotoa kwenye taasisi zetu mbali mbali.

Mabadiliko makubwa yanayofanyika kwenye mahakama zetu, mobile court, law reforms, digital court na kadhalika anatoa ufadhili Marekani.

Mafunzo ya kijeshi na msaada wa jeshi letu hata juzi hapa walituletea msaada wa fifaa vya kisasa na mafunzo ya wanajeshi wetu yote anatoa Marekani.

Leo mtu umekula ugali utumbo una bando la 1000 huko kwenu Bwanga Chato unasema unatamani maandamano ya wahuni wezi na vibaka yaendelee Marekani kwa miezi 6, hujui kama utakaekufa wa kwanza ni wewe.
sawa tutakubaliana nahali ngumu ila wacha watu waandamane tu walau miezi sita kwanza halaf tuone itakaaje[emoji91][emoji91][emoji91]
 
USA ndio biggest development partner nchi hii toka imepata uhuru.

USA ndie anasababisha sehemu kubwa ya foreign currency tunayopata kwa utalii, analeta zaidi ya 15% ya watalii wanaotembelea Tanzania.

Ukiachia mbali technical and social support anayotoa kwenye taasisi zetu mbali mbali.

Mabadiliko makubwa yanayofanyika kwenye mahakama zetu, mobile court, law reforms, digital court na kadhalika anatoa ufadhili Marekani.

Mafunzo ya kijeshi na msaada wa jeshi letu hata juzi hapa walituletea msaada wa fifaa vya kisasa na mafunzo ya wanajeshi wetu yote anatoa Marekani.

Leo mtu umekula ugali utumbo una bando la 1000 huko kwenu Bwanga Chato unasema unatamani maandamano ya wahuni wezi na vibaka yaendelee Marekani kwa miezi 6, hujui kama utakaekufa wa kwanza ni wewe.
Aisee! Kwahiyo US ikiingia kwenye maandano kwa miezi 6 sie Tz tunakufa? Sikujua kama Marekani ndio kila kitu kwetu na kwamba wanamsaada mkubwa kiasi wakikatisha tunakuwa hatarini kiasi hicho.
 
1590956817250.png


Maelfu waandamana Trafalgar square - London UK

1590956868334.png


1590956902237.png


1590956939741.png

The protest moved on to the US Embassy in Nine Elms

1590956994824.png


The road to the US Embassy was blocked
Protesters made their way to the embassy by marching along roads near the River Thames.

Traffic was stopped in several places and protesters were applauded by onlookers.


1590957089642.png


Protest by the US Embassy

Caption Protesters linked arms by the US Embassy​
 
sawa tutakubaliana nahali ngumu ila wacha watu waandamane tu walau miezi sita kwanza halaf tuone itakaaje[emoji91][emoji91][emoji91]
Ajabu pamoja ya kutuaminisha kwamba hatuwezi kuishi bila ya hiyo wanayoita misaada yao ila bado hawataki tujitegemee wenyewe.
 
Back
Top Bottom