Hii umenikumbusha mbali nimelazimika kuhama mkoa na kubadili kituo Cha kazi.. rafiki yangu wa karibu why why anifanyie hiviWhy anifanyie hvi mtu wa karbu ..
Rafiki wa toka nitoke
Kama ni mtu wa Dini,rafiki mwema ni Mungu pekee,kwa wakristo Yesu ndie rafiki mwema!wapi wenye Roho Safi,kuwapata ni kipengere,Ishi na watu kwa hekima na Heshima ,kuwa makini na maneno na Matendo pia!Hata uishi nao vipi kuna watu wana roho mbaya sana.
Kuna watu wanatamani kuona unateseka.
Kuna watu wanapenda kuona unadhalilika na hapo ujawakosea chochote.
Kina watu mafanikio yako yanawauma sana na haujafanya chichote.
Wanatamani uwe chizi utokwe na midenda.
Wanatamani kukuroge....
Usimwamini mtu, hakuna rafiki fanya maisha yako.
Ishi hivo....
Midekoo
Ridhiki mwanzo wa Chuki.....
Nomadix
Rafiki yako ni wewe mwenyewe tu.
Satan
Heri ukaishi porini ucheze na ndege kuliko kucheza na wanafki.
Kuna watu hupenda kuona wenzao wanaishi vile watakayo.
Chujio
Kifupi usiwe zuzu kuamini kila la kuambiwa na kusemasema ovyo pia kwa watu
Kasie
Kuna waliosema, fadhila mfadhili mbuzi utamla mchuzi, binadamu anamaudhi....
ndege JOHN
Heri ukaishi porini ucheze na ndege kuliko kucheza na wanafki.
ReacherIpi hiyo blood
Mimi mtu baki hapana,labda niliyekulia naye tangu mdogo ...Akitokea mkoa mwingine automatically ni mnafiki.Ndgu nao ndo wale wale ila kwa sasa marafiki kwanza maana ni mtu baki anauwezo wa kukufanya lolote bila woga
Ndio upungufu uliopo Kwa binadamu ndio ubinadamu wenyewe huo.Hata uishi nao vipi kuna watu wana roho mbaya sana.
Kuna watu wanatamani kuona unateseka.
Kuna watu wanapenda kuona unadhalilika na hapo ujawakosea chochote.
Kina watu mafanikio yako yanawauma sana na haujafanya chichote.
Wanatamani uwe chizi utokwe na midenda.
Wanatamani kukuroge....
Usimwamini mtu, hakuna rafiki fanya maisha yako.
Ishi hivo....
Midekoo
Ridhiki mwanzo wa Chuki.....
Nomadix
Rafiki yako ni wewe mwenyewe tu.
Satan
Heri ukaishi porini ucheze na ndege kuliko kucheza na wanafki.
Kuna watu hupenda kuona wenzao wanaishi vile watakayo.
Chujio
Kifupi usiwe zuzu kuamini kila la kuambiwa na kusemasema ovyo pia kwa watu
Kasie
Kuna waliosema, fadhila mfadhili mbuzi utamla mchuzi, binadamu anamaudhi....
ndege JOHN
Heri ukaishi porini ucheze na ndege kuliko kucheza na wanafki.
Eti trust no one, unajidanganya;Hata uishi nao vipi kuna watu wana roho mbaya sana.
Kuna watu wanatamani kuona unateseka.
Kuna watu wanapenda kuona unadhalilika na hapo ujawakosea chochote.
Kina watu mafanikio yako yanawauma sana na haujafanya chichote.
Wanatamani uwe chizi utokwe na midenda.
Wanatamani kukuroge....
Usimwamini mtu, hakuna rafiki fanya maisha yako.
Ishi hivo....
Midekoo
Ridhiki mwanzo wa Chuki.....
Nomadix
Rafiki yako ni wewe mwenyewe tu.
Satan
Heri ukaishi porini ucheze na ndege kuliko kucheza na wanafki.
Kuna watu hupenda kuona wenzao wanaishi vile watakayo.
Chujio
Kifupi usiwe zuzu kuamini kila la kuambiwa na kusemasema ovyo pia kwa watu
Kasie
Kuna waliosema, fadhila mfadhili mbuzi utamla mchuzi, binadamu anamaudhi....
ndege JOHN
Heri ukaishi porini ucheze na ndege kuliko kucheza na wanafki.
Kuna Jambo gani tenah limekusibu mkuuHata uishi nao vipi kuna watu wana roho mbaya sana.
Kuna watu wanatamani kuona unateseka.
Kuna watu wanapenda kuona unadhalilika na hapo ujawakosea chochote.
Kina watu mafanikio yako yanawauma sana na haujafanya chichote.
Wanatamani uwe chizi utokwe na midenda.
Wanatamani kukuroge....
Usimwamini mtu, hakuna rafiki fanya maisha yako.
Ishi hivo....
Midekoo
Ridhiki mwanzo wa Chuki.....
Nomadix
Rafiki yako ni wewe mwenyewe tu.
Satan
Heri ukaishi porini ucheze na ndege kuliko kucheza na wanafki.
Kuna watu hupenda kuona wenzao wanaishi vile watakayo.
Chujio
Kifupi usiwe zuzu kuamini kila la kuambiwa na kusemasema ovyo pia kwa watu
Kasie
Kuna waliosema, fadhila mfadhili mbuzi utamla mchuzi, binadamu anamaudhi....
ndege JOHN
Heri ukaishi porini ucheze na ndege kuliko kucheza na wanafki.
DR HAYA LAND
Leo despline yangu imefanya watu wastuke waanze kuwa na chuki binafsi
Nachukiwa sio na mtu mmoja ni whole Street et kisa nipo nduki kutafuta...
Hapo utajidanganya ! kila binadamu ana tabia hizo(wivu na chuki) , watoto wako wafundishe jinsi ya kuishi na watu kwa vile tabia ni zile zile .Kweli kabisa ndgu ni wazazi na watoto wako tuu..
Wivu huleta chuki na nimeona chuki wazi wazi..
Mpaka sasa naona. Chuki hvi ni mtu wa aina gani anafurahi mwenzake akikosa au akiwa na hali mbaya
Watuwana roho mbaya sana..Daaaaaa dunia hiii sikia tuu nami same same nimepigwa makombora miaka zaidi 20......nisinyanyyke na ndugu karibuu kabisaaaa.....wa damuuuu
Mkuu acha kabisa mtu unajarbu na kumsaidia kabisa kumbe ule msaada wako anaona kama unakosea anataka wote muwe chini..Mkuu nakuelewa sana yaani hapo sasa umeshapata uzoefu na kujua nini maana ya ulimwengu.
Hao wanaokupinga bado hawajaijua dunia wanaona kila kitu kizuri,watu ni wazuri kwa kuwaangalia usoni tu kwa vile wanatabasamu kumbe moyoni ni kinyume chake.
Hilo jambo lilishawahi kunikuta miaka michache nyuma lakini hadi hii leo tunavyoongea hapa imeniachia mshangao na haifutiki kichwani yaani nilihisi kama dunia imepinduka au imenielemea nikawa sielewielewi.
Mkuu acha kabisa basi mimi nina bahati mbaya ya kukutana na marafiki wa hovyo aiseeeHujui usemacho. Marafiki wapo sema si wote ni wema. Angalia urafiki wa Samia na Makonda au ule wa Trump na Musk au wa Shetani na Mungu mwanangu.
Kuna watu wachawi mkuu yaani wanatamani uwe chizi utoke na madendaIshi kwa akili.