Tetesi: TTCL Kusambaza Internet Bure Majumbani na Maofisini. Bili ni kwa Mwezi

Ukiondoa nchi za Africa karibu nchi zote duniani wana hiyo huduma.
Nimeishi pia ulaya. Huwa kuna vigezo na Masharti fulani ya kuzingatiwa siyo unlimited 100%

Unaweza kuambiwa unlimited surfing ila siyo downloading au uploading au streaming
 
TTCL wanakera sana mbona wamechelewa kufanya hivyo????
 

Mbona hii huduma ipo zamani, kifurushi cha chini ni Tsh 25k kikiwa na MB 10
 

Kipo mbona, tena ni 25k kwa mwezi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…