Tuache kujichubua

Tuache kujichubua

Bibi wakati/Kikala safari hii anaigiza wa kishua [emoji23]
Sema haendani na ushua.
Huyu anapendeza akiigiza uswahilini kama kwenye Mama Kimbo,Kombolela na Hatia.

Sema ana maneno huyu mama[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2528727

Alinichekesha alivyokuwa anachezea simu huku anacheka mme wake akakasrika eti upo busy na simu tu hebu njoo unikande kande miguu 😂😂😂
Maya hii nafasi angeicheza vyema kabisa
 
Fungu langu
Huyu mama Hidaya,kama kawaida ni jasusi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji91][emoji119]
Huyu mama ni boonge la muigizaji
Hakuna character aliyowahi kupwaya

Kwenye hatia alikimbiza sanaView attachment 2528725

Hawa wamama wanajua kuigiza na kanumba alikuwa anajua kuwachezesha wanakuwa na uhalisia
 
Alinichekesha alivyokuwa anachezea simu huku anacheka mme wake akakasrika eti upo busy na simu tu hebu njoo unikande kande miguu [emoji23][emoji23][emoji23]
Maya hii nafasi angeicheza vyema kabisa
Halafu anasema unasemaje?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Maya anacheza ukauzu pia

Wangempa hata yule Grace Mapunda
 
Yaani kama hili kosa Moja mimi nashangaa sijui hata lilipitaje kwenye pannel ya Azam hadi likashinda kupitishwa.

Kwakweli kwangu naona hamna kitu[emoji1787]
Wengine wamejitahidi tahidi
Ila huyo Caty kwa kweli hakuna kitu.

Ila jamani Tulay na ferda na tufan wananichekesha
Ila feliz ni mbinafsi sanaaa
Mzee fikri ni mjanja umeona interview [emoji23][emoji23]
 
Hawa wamama wanajua kuigiza na kanumba alikuwa anajua kuwachezesha wanakuwa na uhalisia
Siku hizi Maya amezeeka ila bado mzuri
Huyu mama kwangu mimi ni the best actress katika wamama hapa Tz.
 
Siku hizi Maya amezeeka ila bado mzuri
Huyu mama kwangu mimi ni the best actress katika wamama hapa Tz.

Grace mapunda
Mama hidaya
Na yule alifariki mweupe hivi
Mama Dorice wa huba yule mjita
Na mama yao jose nduguru anaitwaga nani yule mama kwenye zahanat ya kijij anaitwa sidi anajua sanaaa
 
Grace anajua kuigiza sanaa
Nilishangaa Mafufu alimuacha kwenye Hatia
Angemuweka nafasi ya Mama Janeth.

Ila hata yule mama alimuweka hiyo nafasi alijitahidi sana.

Akaja kuchemka ile nafasi ya Dada yake Tom London..



Series nyingine ilivyonichekesha ni maji ya shingo
Johari na Hemed Johari alivyokuwa anamganda Hemedi[emoji1787]
Hemedi anachekesha jamani
 
Grace mapunda
Mama hidaya
Na yule alifariki mweupe hivi
Mama Dorice wa huba yule mjita
Na mama yao jose nduguru anaitwaga nani yule mama kwenye zahanat ya kijij anaitwa sidi anajua sanaaa
Huba sijaangalia.
Oh yule Mama alikufa mwaka jana[emoji3064],alikuwa vizuri sana(R.I.P)

Bi Star[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]

Kwenye hatia ameigiza vizuri sana..
Yaani hadi Kuna muda unapata feeling za kulia.
Yule mama Fundi sana,
Kwenye zahanati ya kijiji naona anakimbiza .
 
Nilishangaa Mafufu alimuacha kwenye Hatia
Angemuweka nafasi ya Mama Janeth.

Ila hata yule mama alimuweka hiyo nafasi alijitahidi sana.

Akaja kuchemka ile nafasi ya Dada yake Tom London..



Series nyingine ilivyonichekesha ni maji ya shingo
Johari na Hemed Johari alivyokuwa anamganda Hemedi[emoji1787]
Hemedi anachekesha jamani

Ahhahaha hiyo ya kina johar sikufatilia
 
Huba sijaangalia.
Oh yule Mama alikufa mwaka jana[emoji3064],alikuwa vizuri sana(R.I.P)

Bi Star[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]

Kwenye hatia ameigiza vizuri sana..
Yaani hadi Kuna muda unapata feeling za kulia.
Yule mama Fundi sana,
Kwenye zahanati ya kijiji naona anakimbiza .

Bi star anajua mnooooooo
Hata grace mapunda anajua sanaaa
Nasemea yule mama anaigizaga mchawi kuanzia kwenye kaole
 
Back
Top Bottom