Tasbeeh313
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 1,919
- 2,054
majority of black musician in america being hunted since since, wazungu huwanga wanaangalia mbali sana na kutengeneza a sort of conflict between blacks to kill them self, anagalia nyimbo alizokuwa anatoa 2pac alikuwa basis yake iko pande ipi, what About notoriou b. i. g wote waafrica......... wazungu wana msemo wao wanasema...........Hata Tupac na Biggie waliuliwa, hawakuuwana, kama wengi tunavyodhani
Du, sahihi kabisamajority of black musician in america being hunted since since, wazungu huwanga wanaangalia mbali sana na kutengeneza a sort of conflict between blacks to kill them self, anagalia nyimbo alizokuwa anatoa 2pac alikuwa basis yake iko pande ipi, what About notoriou b. i. g wote waafrica......... wazungu wana msemo wao wanasema...........
"we dont kill anyone but we Find the way our victims to kill themself "
their life are in jeopardy up to now
michael time hizo alikuwa in riptide hiyo ilikuwanga first sign of warning, wonder shall never end ile alikuwanga amepanga show yake ya mwisho ili dunia ijue siri aliyoko nayo but bofore They Day dated, they put him downJanuary 27, 1984: Michael Jackson's hair catches fire during Pepsi commercial
hakupona ajali ya moto, alikufa....ndio feki alipoingia
Kaaazi kweli kweliMnakwenda kanisani na misikitini kuabudu mizimu ya wenzenu, mkiambiwa ya kwenu,mnakimbia mashetani
Kwa bahati mbaya Yesu si mzimu, labda kwa ufahamu wako, hiyo ndiyo tabu yetu kwa baadhi ya waafrika hatujui na hatjui kama hatujui.Ila mzimu wa Mzungu unauabudu, ukiambiwa wa babu yako ugomvi, Yesu ni duni kuliko mzimu, ni sanamu , mdoli na msalaba wake wa mbao mnao abudu
Hii ni imani!Kwa bahati mbaya Yesu si mzimu, labda kwa ufahamu wako, hiyo ndiyo tabu yetu kwa baadhi ya waafrika hatujui na hatjui kama hatujui.
Kwanza Yesu ametokea Mashariki ya kati, sisi tumekuja kujulishwa kunako habari zake na wazungu, kwa nini tusijifunze kujua ukweli tufanye utafiti kama tujue uhalisia wa maisha ya Yesu huko alipozaliwa na kuishi. Halafu jiulize huo mzimu wa babu yako hadi hii leo umekusaidia kitu gani?
Iko sikuNaendelea kufuatilia ili nijifunze ..........ila awa watu weupe ni dahifu kweli yani wanatudhoofisha lakini tunachuana nao je tukijitambua na kuwa huru ..............
Kweli kali sana, uchi wa mwanamke skuhizi kama karanga hadharani, wengi hawajui sehemu Za siri ni wakfu, kuziangalia hovyo ni laana mtengeneza picha Za ngono nani duniani???? Myahudi..wafanya biashara mabillionea wa pornographia...laaana kubwa mno
Wao wako, vitani, sisi hatujijui.....watu hawajui,Dhana ya uungu ni mzimu, wanaabudu mizimu ya waarabu, na wazungu, kumbe kila watu wanamzimu wao wa kuabuduIko siku
As it was in the beginning so it shall be at the end
True!Kweli kali sana, uchi wa mwanamke skuhizi kama karanga hadharani, wengi hawajui sehemu Za siri ni wakfu, kuziangalia hovyo ni laana mtengeneza picha Za ngono nani duniani???? Myahudi..wafanya biashara mabillionea wa pornographia...laaana kubwa mno
Usijali tutayazungumzia yote....kwa wakati wakeHuu uzi umenifanya niamini mambo niliyokuwa namashaka nayo kwa sana ishu za reptilian ( shape shifters) kweli zipoo nimeaminii though ni njee ya mada
Mungu atusaidie....angalia wanapandikiza vitu kwenye vyakula....wanaharibu genetics, angalia wanavyopromoti usenge, na usagaji,unazania kuna bahati mbaya?? Kila kitu kimeandaliwa...True!
Dawa yao hawa watu ni kujua mbinu zao, hizo nguvu za kutawala dunia anazipata kwenye nini, alafu tunazifanya in a positive way!
Ni ujanja gani wanao tumia kutugandamiza waafrika, na sisi waafrika wapi tunakosea mpaka tukafika hali hii!
Yaani haya ndiyo maombi yangu kila siku!
Na ninaamini nitazijua tu!
Ndiyo focus yangu kubwa!
huyo anachekesha sana,Israeli iko Africa, akaangalie ramani, there is no such a thing as the middle eastHii ni imani!
Kwani huoni watu wanavyo tambika?
Na si lazima utambike, jiulize nafsini kwako hii drama ya dini na siasa duniani....