Tuamke, tuwaamshe mizimu wetu, katika nyakati za hatari watusaidie

yagashya(Yesu) tunaemfahamu sisi, ni mtu mweusi muebrania, asilia yake Abyssinia, huyo wa kwenu ni mwigo
 
Asante muanzisha mada,imefikia kipindi hata ukiishi maisha mengine tofauti na system inavyoenda unaonekana ni kiumbe wa ajabu pengine hata usie faa katika jamii,imefika hatua tunaishi kama ma ng'ombe tuu,tunafata kila ulimwengu unavotaka bila hata kuhoji.
 
pole sana, mizimu yako,iko na wewe sik u zote, wewe kabla ya kuja duniani ulikuwa mzimu, na ukiondoka unarudi kuwa mzimu,mzimu ni roho, tatizo waliokupa dini bandia walikuambia mzimu wa ko ni shetani....pole sana ndugu
 
Ni shidaaa, walitufanya vibaya sana, lakini saa ya ukombozi wetu, imefika, na kuamka kwetu, ndio salama ya dunia
 
Hao miungu wengi kazi yao ni nini mmoja tu hatoshi?
 
Wao wako, vitani, sisi hatujijui.....watu hawajui,Dhana ya uungu ni mzimu, wanazidi mizimu ya waarabu, na wazungu, kumbe kila watu wanamzimu wao wa kuabudu
Na usipo uabudu huo huna ibada
True!
 
Mungu atusaidie....angalia wanapandikiza vitu kwenye vyakula....wanaharibu genetics, angalia wanavyopromoti usenge, na usagaji,unazania kuna bahati mbaya?? Kila kitu kimeandaliwa...
Wao wana jaribu kwenda kinyume na uumbaji!
Lakini hamwezi MOTHER NATURE akiamua muda wake ukifika hakuna wa kumsimisha!
Na wakati wenyewe ndio huu, we have the power!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…