Fatima binti hemedi
JF-Expert Member
- Dec 31, 2017
- 1,665
- 2,328
- Thread starter
-
- #321
sisi ndio miungu, the original seedNaendelea kufuatilia ili nijifunze ..........ila awa watu weupe ni dahifu kweli yani wanatudhoofisha lakini tunachuana nao je tukijitambua na kuwa huru ..............
yagashya(Yesu) tunaemfahamu sisi, ni mtu mweusi muebrania, asilia yake Abyssinia, huyo wa kwenu ni mwigoKwa bahati mbaya Yesu si mzimu, labda kwa ufahamu wako, hiyo ndiyo tabu yetu kwa baadhi ya waafrika hatujui na hatjui kama hatujui.
Kwanza Yesu ametokea Mashariki ya kati, sisi tumekuja kujulishwa kunako habari zake na wazungu, kwa nini tusijifunze kujua ukweli tufanye utafiti kama tujue uhalisia wa maisha ya Yesu huko alipozaliwa na kuishi. Halafu jiulize huo mzimu wa babu yako hadi hii leo umekusaidia kitu gani?
pole sana, mizimu yako,iko na wewe sik u zote, wewe kabla ya kuja duniani ulikuwa mzimu, na ukiondoka unarudi kuwa mzimu,mzimu ni roho, tatizo waliokupa dini bandia walikuambia mzimu wa ko ni shetani....pole sana nduguKwa bahati mbaya Yesu si mzimu, labda kwa ufahamu wako, hiyo ndiyo tabu yetu kwa baadhi ya waafrika hatujui na hatjui kama hatujui.
Kwanza Yesu ametokea Mashariki ya kati, sisi tumekuja kujulishwa kunako habari zake na wazungu, kwa nini tusijifunze kujua ukweli tufanye utafiti kama tujue uhalisia wa maisha ya Yesu huko alipozaliwa na kuishi. Halafu jiulize huo mzimu wa babu yako hadi hii leo umekusaidia kitu gani?
Ni shidaaa, walitufanya vibaya sana, lakini saa ya ukombozi wetu, imefika, na kuamka kwetu, ndio salama ya duniaAsante muanzisha mada,imefikia kipindi hata ukiishi maisha mengine tofauti na system inavyoenda unaonekana ni kiumbe wa ajabu pengine hata usie faa katika jamii,imefika hatua tunaishi kama ma ng'ombe tuu,tunafata kila ulimwengu unavotaka bila hata kuhoji.
Ni kazi ya NWO hiyo....Mungu atusaidie....angalia wanapandikiza vitu kwenye vyakula....wanaharibu genetics, angalia wanavyopromoti usenge, na usagaji,unazania kuna bahati mbaya?? Kila kitu kimeandaliwa...
Haswaa,tumekua km vikaragosi mbele ya macho yao.wenyewe kwa wenyewe hatuelewanii,hatuthaminiani,tunaishi kwa hofu kubwaa sababu tu ya kuiogopa kesho1Ni shidaaa, walitufanya vibaya sana, lakini saa ya ukombozi wetu, imefika, na kuamka kwetu, ndio salama ya dunia
Na muda wa kuliitia jina la Mungu wetu, na kuisimulia tena hadithi yetu, sio ile tuliyoletewaNi kazi ya NWO hiyo....
Mkuu ila unaamini Mungu yupo?Walijichagua wenyewe Mungu hakuwachagua
Bila shaka, Mzimu mtakatifuMkuu ila unaamini Mungu yupo?
Hao miungu wengi kazi yao ni nini mmoja tu hatoshi?Ni ujinga na upumbavu wa Hali ya juu, we sayansi imethibitisha, Kuna zaliwa watoto wa kike wengi kuliko wa kiume duniani kote, we unakuja unasema ndoa ya mke mmoja, Hawa wengine wataolewa na Nani? Africa Mila desturi zinaendana na mazingira, vivyo hivyo Imani, wake wengi, watoto wengi, Miungu wengi, ardhi kubwa,Kuna chakula kingi, watu wengi Taifa kubwa.....fundisho la ndoa ya mke mmoja, Kama lile la mungu mmoja, ilikuwa ni kampeni ya wachache, kuwadhoifisha, na kuwatawala wengi, na wamefanikiwa mno
Vunja, serikali, baraza la mawaziri, na bunge, kisha uliza, sema raisi tu, hatutoshi?????Hao miungu wengi kazi yao ni nini mmoja tu hatoshi?
True!Wao wako, vitani, sisi hatujijui.....watu hawajui,Dhana ya uungu ni mzimu, wanazidi mizimu ya waarabu, na wazungu, kumbe kila watu wanamzimu wao wa kuabudu
Na usipo uabudu huo huna ibada
Wao wana jaribu kwenda kinyume na uumbaji!Mungu atusaidie....angalia wanapandikiza vitu kwenye vyakula....wanaharibu genetics, angalia wanavyopromoti usenge, na usagaji,unazania kuna bahati mbaya?? Kila kitu kimeandaliwa...