Tuamke, tuwaamshe mizimu wetu, katika nyakati za hatari watusaidie

View attachment 807030
Asante sana!
Na sijui tulikosea wapi kiasi ambacho wao ndiyo wakachukua mbinu zetu zote!
Mwigo, wanaiga mambo yetu, kufanya mambo yao machafu, piramidi ndio jengo la ibada ya mtu mweusi,na jicho la Osare ndiye yagashya mwana wa mungu aliye hai,ndugu ni kazi ya ibilisi kukupotosheni, msijitambue, mara free mason, mara, illuminati
 
yesu wa kwenye biblia hakuwa kuzaliwa,hakuwepo,hayupo na hatakuwepo
hakuna historia inayotambua uwepo wa huyo mtu wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…