isajorsergio
Platinum Member
- Apr 22, 2018
- 4,143
- 6,560
Binafsi metric nzuri sio kutumia hayo majina, yatumike ya asili na chimbuko la maeneo hayo, taifa ni la watanzania wote sio la watu baadhi au viongozi.Wapo wengi sana wenye historia kubwa na nchi kuliko kijazi na mfugale.
inakuwa kama walitoa hela zao mifukoniWapo wengi sana wenye historia kubwa na nchi kuliko kijazi na mfugale.
Kama hii hoja ni great thinking basi Tanzania ina long way to go, discussing unproductive issues personally na kama nchi na ujiite great thinker ni aibuNenda Instagram au FB, hapa ni mahali pa great thinkers tu
Hayati akili zake zilikua n upungufu mkubwa,yani chizi freshKaribu majina ya mitaa au viwanja vya ndege huwa yanatolewa na watu waliopo kuwaenzi watu fulani kwa michango yao. Mfano uwanja wa Benjamin Mkapa ulipata jina baada yya Rais wa awamu ya pili kufariki mwaka jana. Ila ndiye aliyeazimia kuujenga.
Aidha hata uwanja wa JK Nyerere International Airport ulipata jina hilo miaka kadhaa baada ya Nyerere kufariki mwaka 1999. Yeye ni Baba wa Taifa ingawa wakati wa uhai wake alikataa sana kutukuzwa kwa namna hiyo.
Namna ambavyo Eng Mfugale na Eng Kijazi wamepewa kumbukumbu ya majina yao kwenye daraja la Tazara na la Ubungo kwa kweli hairidhishi. Mimi natambua wao walikuwa wafanyakazi wa Serikali waliokuwa na majukumu ya ku-design na kumsimamia ujenzi. At end of the day walikuwa wanalipwa mshahara kwa kazi yao.
Ila yule Rais Marehemu alikuwa anajiamulia tu kutoa majina kwa washirika wake.
Mbona kuna Mashujaa wengi tu ambao wangepewa heshima hiyo. Nashauri kwa sasa tuyaite Tazara Overhead bridge na Ubungo interchange tu.
UmenenaUlishawahi kulala njaa kisa madaraja hayo yamepewa majina hayo?
Kama No.. Basi chuki sio nzuri fanya mambo mema au kitu hata mtaani kwenu wakipe kisima jina lako
Karibu majina ya mitaa au viwanja vya ndege huwa yanatolewa na watu waliopo kuwaenzi watu fulani kwa michango yao. Mfano uwanja wa Benjamin Mkapa ulipata jina baada yya Rais wa awamu ya pili kufariki mwaka jana. Ila ndiye aliyeazimia kuujenga.
Aidha hata uwanja wa JK Nyerere International Airport ulipata jina hilo miaka kadhaa baada ya Nyerere kufariki mwaka 1999. Yeye ni Baba wa Taifa ingawa wakati wa uhai wake alikataa sana kutukuzwa kwa namna hiyo.
Namna ambavyo Eng Mfugale na Eng Kijazi wamepewa kumbukumbu ya majina yao kwenye daraja la Tazara na la Ubungo kwa kweli hairidhishi. Mimi natambua wao walikuwa wafanyakazi wa Serikali waliokuwa na majukumu ya ku-design na kumsimamia ujenzi. At end of the day walikuwa wanalipwa mshahara kwa kazi yao.
Ila yule Rais Marehemu alikuwa anajiamulia tu kutoa majina kwa washirika wake.
Mbona kuna Mashujaa wengi tu ambao wangepewa heshima hiyo. Nashauri kwa sasa tuyaite Tazara Overhead bridge na Ubungo interchange tu.
Hawa Mfugale na Kijazi (RIP), Chamuriho na Deus Kakoko yasemekana walikuwa ndiyo wasiri wa Jiwe kwenye deals za mikataba mikubwa. Wengi ameanza nao akiwa Wizara ya Ujenzi na TANROADS.
Hata mimi sioni mantiki ya kuyaita madaraja kwa majina ya watu ambao walikuwa waajiriwa wa Serikali. Hii ni kuuenzi UFISADI wa Jiwe na genge lake. IBADILISHWE TU
Upuuzi mtupu.Karibu majina ya mitaa au viwanja vya ndege huwa yanatolewa na watu waliopo kuwaenzi watu fulani kwa michango yao. Mfano uwanja wa Benjamin Mkapa ulipata jina baada yya Rais wa awamu ya pili kufariki mwaka jana. Ila ndiye aliyeazimia kuujenga.
Aidha hata uwanja wa JK Nyerere International Airport ulipata jina hilo miaka kadhaa baada ya Nyerere kufariki mwaka 1999. Yeye ni Baba wa Taifa ingawa wakati wa uhai wake alikataa sana kutukuzwa kwa namna hiyo.
Namna ambavyo Eng Mfugale na Eng Kijazi wamepewa kumbukumbu ya majina yao kwenye daraja la Tazara na la Ubungo kwa kweli hairidhishi. Mimi natambua wao walikuwa wafanyakazi wa Serikali waliokuwa na majukumu ya ku-design na kumsimamia ujenzi. At end of the day walikuwa wanalipwa mshahara kwa kazi yao.
Ila yule Rais Marehemu alikuwa anajiamulia tu kutoa majina kwa washirika wake.
Mbona kuna Mashujaa wengi tu ambao wangepewa heshima hiyo. Nashauri kwa sasa tuyaite Tazara Overhead bridge na Ubungo interchange tu.
Unashabikia dhuluma za kwenye uchaguzi eeh! Sawa. Ila usisahau msichana mwanafunzi Akwilina aliuawa Na wendawazimu wenu mnaowaita polisi pale Kinondoni kwa sababu ya hizo dhuluma. Ni kheri wewe ndio ungekuwa umeuawa.Wewe jina lako unaitwa Mr. Stonexnet sijui ulipewa kumuenzi nani, lakini bila shaka uneoa. Utajisikiaje utakapokufa mke wako abadili jina ajiite Mrs Magu? Hii ni najisi, sawa na tundulissu alivyonajisi wimbo wa taifa akidai wimbo haumo kwenye katiba. Badilikeni haraka makamanda, mawazo yenu bado mgando mmesahau kabisa jinsi mlivyofutwa kwenye uchaguzi
Simuungi mtoa mda kubadili majina lakini hawana mchango wowote special, ni kupeana tu kwa sababu ya UrafikiHuyu jamaa n nonsense kabsa ko uktaka tuweke Jina la baba yako hapo
Hao watu nao (Kijazi+Mfugale) wanamichango Yao katika ujenz wa taifa
Ila Kama umekeleka lete jna la baba yako au babu yako tuliweke
We nawe lini utaacha ukada na utoto!Tuweke ya Tundu Lisu na Lema!
Hapana; ukisharuhusu hali hiyo, then nchi hii itakuwa ni ya kubadilisha majina ya landmark kila kunapotokea rais mwingine. Let us keep precedence, majina ya landmark yaliyokwisha wekwa kwa executive action yabaki hivyo hivyo. Ila tuwe na sheria thabiti ya kutoa majina kwa landmarks zetu. Miezi michache iliyopita niliongelea jambo hilo. Ingawa nawapnda sana barack Obama, Sam Nujoma, Nelson Mandela na Samora; sukufurahi nilipooona Ocean road ikibadilishwa kienyeji kuwa Obama, Mpakani ikigeuzwa kienyeji kuwa Sama Nujoma, Port Access Road ikigeuzwa kienyeji kuwa Nelson Mandela, na Independence ikigeuzwa kienyeji kuwa Samora.Karibu majina ya mitaa au viwanja vya ndege huwa yanatolewa na watu waliopo kuwaenzi watu fulani kwa michango yao. Mfano uwanja wa Benjamin Mkapa ulipata jina baada yya Rais wa awamu ya pili kufariki mwaka jana. Ila ndiye aliyeazimia kuujenga.
Aidha hata uwanja wa JK Nyerere International Airport ulipata jina hilo miaka kadhaa baada ya Nyerere kufariki mwaka 1999. Yeye ni Baba wa Taifa ingawa wakati wa uhai wake alikataa sana kutukuzwa kwa namna hiyo.
Namna ambavyo Eng Mfugale na Eng Kijazi wamepewa kumbukumbu ya majina yao kwenye daraja la Tazara na la Ubungo kwa kweli hairidhishi. Mimi natambua wao walikuwa wafanyakazi wa Serikali waliokuwa na majukumu ya ku-design na kumsimamia ujenzi. At end of the day walikuwa wanalipwa mshahara kwa kazi yao.
Ila yule Rais Marehemu alikuwa anajiamulia tu kutoa majina kwa washirika wake.
Mbona kuna Mashujaa wengi tu ambao wangepewa heshima hiyo. Nashauri kwa sasa tuyaite Tazara Overhead bridge na Ubungo interchange tu.
Karibu majina ya mitaa au viwanja vya ndege huwa yanatolewa na watu waliopo kuwaenzi watu fulani kwa michango yao. Mfano uwanja wa Benjamin Mkapa ulipata jina baada yya Rais wa awamu ya pili kufariki mwaka jana. Ila ndiye aliyeazimia kuujenga.
Aidha hata uwanja wa JK Nyerere International Airport ulipata jina hilo miaka kadhaa baada ya Nyerere kufariki mwaka 1999. Yeye ni Baba wa Taifa ingawa wakati wa uhai wake alikataa sana kutukuzwa kwa namna hiyo.
Namna ambavyo Eng Mfugale na Eng Kijazi wamepewa kumbukumbu ya majina yao kwenye daraja la Tazara na la Ubungo kwa kweli hairidhishi. Mimi natambua wao walikuwa wafanyakazi wa Serikali waliokuwa na majukumu ya ku-design na kumsimamia ujenzi. At end of the day walikuwa wanalipwa mshahara kwa kazi yao.
Ila yule Rais Marehemu alikuwa anajiamulia tu kutoa majina kwa washirika wake.
Mbona kuna Mashujaa wengi tu ambao wangepewa heshima hiyo. Nashauri kwa sasa tuyaite Tazara Overhead bridge na Ubungo interchange tu.
Acha ujinga. Lukuvi ni Mwalimu wa UPE baada ya kumaliza STD VII, hana elimu yeyote.
Ukada wa CCM, unafiki na u-snitch ndiyo umemfikisha hapo kuwa Waziri.