Tuchambue Wazungu wa nchi mbalimbali kwa sifa na tabia zao.

Tuchambue Wazungu wa nchi mbalimbali kwa sifa na tabia zao.

Wazungu wapumbavu sana. Waliona wanawake wao ni wembamba na hawana makalio wakanzisha kampeni za kuchukia watu wanene ambapo wanawake wetu wenye miili ya kiafrika na misambwanda ya kwenda wakangukia humo.
Hadi mashindano ya Miss world, watu wembamba ndio wanapewa nafasi. Kwenye umodel hivyo hivyo na kwenye movie pia.
Matokeo yake wameharibu sana wanawake weusi psychologically yaani mtu akinenepa kidogo TU anajichukia.
Unene jau mkuu, hata kwenye movie vibonge hawapendezi.
 
Duniani kuna jamii tatu za watu. 1.waafrika weusi(negros) 2.wachina,wajapani na wakorea(manglobes) 3.wazungu(cocesians) Mwisrael ni mzungu na mwarabu ni mzungu. Kwa nini mwarabu hapatani na mzungu na mwisrael wakati wote ni watu wa jamii Moja?
 
Back
Top Bottom