Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jiulize kwanini waliweka Sheria kali?.Nimebahatika kuwa nao Karibu hao Mbwa NI kweli wanachembechembe za ubaguziHii si kweli, nina rafiki zangu weusi wapo Germany, wanasema Germany ni moja kati ya nchi zenye sheria kali sana dhidi ya ubaguzi
Hao Mbwa Wana ongea kidhungu cha kijaluo then wanatuse ma Sisi waTz🤣Hata wakenya pia nao ni wazungu
Hapo hupati hata picha mkuu?Hii si kweli, nina rafiki zangu weusi wapo Germany, wanasema Germany ni moja kati ya nchi zenye sheria kali sana dhidi ya ubaguzi
America ,US haina mwenyewe....ni mchanganyiko tofauti na hao wengine.umezinguaItaliano
wabahili sana!.
warusi
walevi mpk pombe inawaogopa!.
Germany
wapo makini na serious!.
American
Serious and focus!, hawa ndo wajanja wa dunia!.
Hapana mkuu yaani adabu ni subjective. Inakuwa ngumu kupimaNimeshasema hawanaga Adabu..SA wataka nisemaje zaidi ama mkuu shemeji NI muitaliano?..Mtu akipenda chongo huona kengeza🤣🤣
Kwani wewe unadhani ni waarabu 😁😁😁😁wacha vituko.duniani..warusi ni wazungu kuliko wamarekaniVipi kuhu Ramzan Kadyrov wa Chechnya?