Tuchambue Wazungu wa nchi mbalimbali kwa sifa na tabia zao.

wengi wao wanatabia za kiupindeupinde na navyosikia hawa hata wanawake wao kutoa tigo ni kawaida sana
Pia nasikia ni watu wa kelele nyingi sana. Waongeaji kwa sauti na fujo nyingi.
 
Unene jau mkuu, hata kwenye movie vibonge hawapendezi.
 
Duniani kuna jamii tatu za watu. 1.waafrika weusi(negros) 2.wachina,wajapani na wakorea(manglobes) 3.wazungu(cocesians) Mwisrael ni mzungu na mwarabu ni mzungu. Kwa nini mwarabu hapatani na mzungu na mwisrael wakati wote ni watu wa jamii Moja?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…