Mimi sijaenda sehemu yeyote ile, ila hapa nina mafua na kikohozi hatari sanaNi kumwomba tu kwa hali tunayopitia ..nimeenda car wash mchana wa leo ..waosha magari wote wanakohoa na chafya nyingi hapa tegeta...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi sijaenda sehemu yeyote ile, ila hapa nina mafua na kikohozi hatari sanaNi kumwomba tu kwa hali tunayopitia ..nimeenda car wash mchana wa leo ..waosha magari wote wanakohoa na chafya nyingi hapa tegeta...
Pata Dry Wine Uachane Na Mafua
"Rais yuko ikulu anachapa kazi, tena kanipa salamu zenu"
Endelea kumwamini
Mimi sijaenda sehemu yeyote ile, ila hapa nina mafua na kikohozi hatari sana
Ni kumwomba tu kwa hali tunayopitia ..nimeenda car wash mchana wa leo ..waosha magari wote wanakohoa na chafya nyingi hapa tegeta...
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu
Mzee sokomoko
Tunamshukuru sana Ndugu John Magufuli kwa ujasiri wake
Ina maana Mimi sitaugua? Wacha niagize nyinginePata Dry Wine Uachane Na Mafua
Yani unataka serikali ndo ikwambie ujikinge/uchukue tahadhari?brazaj serikali ya awamu ya sita ni ya uwazi hina maficho ficho kama ya awamu ya sita ndio maana wanavaa barakoa kwenye hili la kesho hawavai halaiki hii vile hii vile....
How do you coat meal sijui mafua mafua seasonal flu wakati kama ni omcron waburst tu watu wachukue tahadhari. Mlisema hamtaki unafiki but what we see is.better off handling ya mafua ya awamu ya tano kuliko haya ya awamu ya sita ya kinafki。
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Yani unataka serikali ndo ikwambie ujikinge/uchukue tahadhari?
KiwinguPata Dry Wine Uachane Na Mafua
Mazuzu awawezi kukuelewaKama Watu wanapata mafua kwa wingi hivi na hakuna anaefikia hatua ya kulazwa tuseme Alhamdulillah hii ndio Herd Immunity ya Jumla inajijenga na baada ya hapo itapita kama hakuna kitu
Hata 2019 miezi kama hii hali ilikuwa kama hii na ikatusaidia kuvuka salama tulivyovuka
Jana nimekwenda hosp nikaambiwa kuna watu wamelazwa pale kwa fluKama Watu wanapata mafua kwa wingi hivi na hakuna anaefikia hatua ya kulazwa tuseme Alhamdulillah hii ndio Herd Immunity ya Jumla inajijenga na baada ya hapo itapita kama hakuna kitu
Hata 2019 miezi kama hii hali ilikuwa kama hii na ikatusaidia kuvuka salama tulivyovuka
Duh ndiyo narecover hapa, haijawahi kuwa hivi ni maumivu makali mnoo