Tuelezane Ukweli Mficha Ugonjwa Kifo Humfichua

Tuelezane Ukweli Mficha Ugonjwa Kifo Humfichua

Yani vile nimeugua kuanzia alhamisi mpaka jana! Mungu anajua. Nilianza kata tamaa.Homa kali,mafua,kifua,baridiiiii mwili mzima.

Nimepambana na madawa ya kila aina at least leo naona naanza hata kujielewa.

Kuna shida ipo

Hawataki kuwaambia watu kuchukua tahadhari husika. Ngoja tupeleke mbegu hadi vijijini na sikukuu hizi.

Kwa hakika wanachofanya ni uhuni kamili!
 
Ujinga mzigo mjomba panga kuutua kwanza
Wazungu wameingia lock down mwaka jana hawana hamu nayo tena kwa sasa ni kila mtu apambane kivyake Lockdown inasababisha vifo vingi sana kuliko watu wakiachwa wajicontrol wenyewe,
 
Nimejibu koment yako. Huyo mleta hoja au mada anataka kulazimisha hisia zake ndio sahiii. And serikali kusema ni mafua ya msimu hawako sahihi. Ndio hapo ukapewa reference ya mafua 2019. Unaanza kuleta habari zako za covid.

Kulazimishwa hisia za mtu kwani wewe zuzu?
 
Wazungu wameingia lock down mwaka jana hawana hamu nayo tena kwa sasa ni kila mtu apambane kivyake Lockdown inasababisha vifo vingi sana kuliko watu wakiachwa wajicontrol wenyewe,

Lockdown unaisoma wapi mjomba?

Kwani watu wakishauriwa kwa uwazi na kama vipi waepuke na safiri zinazoweza kuepukika, wajitenge kulinda wenzao, hatua zikachukuliwa kupunguza misongamano, na vya namna hiyo inakuuma nini wewe?

Au ni kwa vile labda wewe ulipo unazo taarifa sahihi zaidi na ndiyo maana unadhani haikuhusu?

Au ni ujuha tu wa kufikia kumshika Simba mkia?
 
Hapa naandika mkono unatetemeka, maumivu ya misuri, hamu yakuala Sina, macho yanawasha, Koo Lina kereketa mafua na makohozi hayatiririki Ila kiasi flani nikivuta Kwa kutumia larryings Basi mazito yanatokea mdomoni.

Mafua nimeugua Mara kibao, hiyo wanayoita influenza, dalili zake hazi hivi.

Hakika hii ni Corona/omicron. Nameza Panadol na azithromycin. Nakunywa maji mengi. Nimejitenga na wazee wote, ikiwepo majirani,wazazi na hata wale wa kazini.
Wenye Imani naombeni Mniombee nisipate complications.

Chukueni tahadhari, naamini zam hii ni kimya kimya.
 
Mungu atuepushe na majanga haya, amin.

Japo Mungu alitujalia macho, masikio, akili hadi manabii, sisi ndiyo hawa hapa katika ubora wetu:

IMG_20211216_215554_004.jpg


Kwa hakika tumemwachia yeye.
 
Kama Watu wanapata mafua kwa wingi hivi na hakuna anaefikia hatua ya kulazwa tuseme Alhamdulillah hii ndio Herd Immunity ya Jumla inajijenga na baada ya hapo itapita kama hakuna kitu

Hata 2019 miezi kama hii hali ilikuwa kama hii na ikatusaidia kuvuka salama tulivyovuka

Hiyo ya December 2019 ilinikumba ikanipelekesha sana. Hospital wakasema kuna dalili ya mafua makali kwenye damu.

Baadae 2020 March ikaibuka Covid.
 
Hapa naandika mkono unatetemeka, maumivu ya misuri, hamu yakuala Sina, macho yanawasha, Koo Lina kereketa mafua na makohozi hayatiririki Ila kiasi flani nikivuta Kwa kutumia larryings Basi mazito yanatokea mdomoni.

Mafua nimeugua Mara kibao, hiyo wanayoita influenza, dalili zake hazi hivi.

Hakika hii ni Corona/omicron. Nameza Panadol na azithromycin. Nakunywa maji mengi. Nimejitenga na wazee wote, ikiwepo majirani,wazazi na hata wale wa kazini.
Wenye Imani naombeni Mniombee nisipate complications.

Chukueni tahadhari, naamini zam hii ni kimya kimya.

Pole sana mkuu. Mola akakufanyie wepesi ukalime salama.

Ajabu na kweli ni kuwa kuna wenzetu ambao wangependelea uzidishe kujichanganya na wazee, wazazi, majirani na hata wafanyakazi wenzio. Wakikujaza ujinga kuwa hayo ni mafua ya kawaida tu.

Tujihadhari na wahuni hawa ambao anasemekana kuwa ni wafuasi waaminifu wa msomi huyu:

IMG_20211211_082805_567.jpg
 
Kwahiyo unataka nchi iwe kwenye lockdown watu wafe kwa hofu? Na chakula utawapa wewe? Bora maisha yasonge kila mmoja achukue tahadhari

Sina hakika wapi unayasoma wewe hayo ya lockdown.

Kwamba? "..Bora maisha yasonge .."

Siyo kuwa acha kila litakayemkuta atakuwa kachuma janga na kula na wa kwao?

Haya sasa wamesema ni mafua ya kawaida mwisho wa mwaka huu watu wanakwenda makwao na bila tahadhari zozote.

Watakwenda likizo na janga wakavume na wakwao.

"Shamefully Tanzanian."
 
Sina hakika wapi unayasoma wewe hayo ya lockdown.

Kwamba? "..Bora maisha yasonge .."

Siyo kuwa acha kila litakayemkuta atakuwa kachuma janga na kula na wa kwao?

Haya sasa wamesema ni mafua ya kawaida mwisho wa mwaka huu watu wanakwenda makwao na bila tahadhari zozote.

Watakwenda likizo na janga wakavume na wakwao.

"Shamefully Tanzanian."
Hata mwaka jana 2020 kama unakumbuka watu walienda makwao na wakaenda kuyaacha mafua huko Januari na Feb 2021 ilikuwa hatari sasa kama hawakujifunza waache kila mtu apambane na hali yake
 
Hata mwaka jana 2020 kama unakumbuka watu walienda makwao na wakaenda kuyaacha mafua huko Januari na Feb 2021 ilikuwa hatari sasa kama hawakujifunza waache kila mtu apambane na hali yake

Serikali nayo kama ina kauli kama yako ingalipo ikimwakilisha na ikifanya kazi gani basi 🙄🙄?
 
Hapa naandika mkono unatetemeka, maumivu ya misuri, hamu yakuala Sina, macho yanawasha, Koo Lina kereketa mafua na makohozi hayatiririki Ila kiasi flani nikivuta Kwa kutumia larryings Basi mazito yanatokea mdomoni.

Mafua nimeugua Mara kibao, hiyo wanayoita influenza, dalili zake hazi hivi.

Hakika hii ni Corona/omicron. Nameza Panadol na azithromycin. Nakunywa maji mengi. Nimejitenga na wazee wote, ikiwepo majirani,wazazi na hata wale wa kazini.
Wenye Imani naombeni Mniombee nisipate complications.

Chukueni tahadhari, naamini zam hii ni kimya kimya.
Pole sana, nakutakia mapambano mema jiatahidi usikate tamaa ningekushauri ufanye mazoezi haswa kukimbia ili ufungue mapafu
 
Back
Top Bottom