- Thread starter
- #41
Sie sometimes tunaishi kama wachina wachina vile too secretive. Ila alhamdulilah na hili litapita.
Litapita kwa ile style ya kuficha taarifa kila mtu na lwake hali wao wamesimama palipo salama zaidi.
Yakikukuta basi hilo janga lako ule na wa kwenu.