Sie sometimes tunaishi kama wachina wachina vile too secretive. Ila alhamdulilah na hili litapita.
🤣🤣 kila mwaka!!?? kila mwaka kuanzia Tanganyika ipate uhuru? Au enzi za mkoloni?Pole sana mkuu tunaambiwa hiyo ni kawaida kila mwisho wa mwaka.
Jana nimekwenda hosp nikaambiwa kuna watu wamelazwa pale kwa flu
🤣🤣 kila mwaka!!?? kila mwaka kuanzia Tanganyika ipate uhuru? Au enzi za mkoloni?
Mazuzu awawezi kukuelewa
Mbona kuna uzi upo humu unaelezea. Mafua makali yalikuwepo 2019 kabla hawajatangaza hiyo uviko.Really? 2019? COVID-19 iligundulika Wuhan December 2019. TZ tulikuwa nayo tayari?
Mbona kuna uzi upo humu unaelezea. Mafua makali yalikuwepo 2019 kabla hawajatangaza hiyo uviko.
Duh,Muogope Mungu. Makonda wote!?Kiukweli kuna tatizo.
Jaribu kupanda daladala uone makamasi na vikohozi vya abiria bwashee, yaani makonda wote wana mafua!
Kweli aisee! Mwezi Kama huu mwaka ule, yalipita mafua makali na wengi tulipitiwa, Kisha January tukaambiwa Kuna Ugonjwa mpya unaitwa COVID-19. Sijawahi kuamini Kama outbreak Ile haikua ya COVID-19.Kama Watu wanapata mafua kwa wingi hivi na hakuna anaefikia hatua ya kulazwa tuseme Alhamdulillah hii ndio Herd Immunity ya Jumla inajijenga na baada ya hapo itapita kama hakuna kitu
Hata 2019 miezi kama hii hali ilikuwa kama hii na ikatusaidia kuvuka salama tulivyovuka
Duh,Muogope Mungu. Makonda wote!?
Halafu umepanda daladala za wapi Mkuu!?
Maana jana tu ulikua Sanya juu!?
Sawa,umefika Dar kwa ndege,huko hali ilikuaje!?
Kwahiyo unataka kusema Mjomba Ommy Dimpoz ndiyo anatutandika?
Mwaka 2019 Mwishoni, raia mitandaoni walikuwa wakidiscuss mafua ya ajabu. Hii ni kabla hata Korona haijatangazwa
Kweli aisee! Mwezi Kama huu mwaka ule, yalipita mafua makali na wengi tulipitiwa, Kisha January tukaambiwa Kuna Ugonjwa mpya unaitwa COVID-19. Sijawahi kuamini Kama outbreak Ile haikua ya COVID-19.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hii picha inanikumbusha mbali ya Mh
Yuko vizuri kabisa! Anasoma mafile
Huyu credibility yake inashuka sana.Ndiyo maana wanaitana wahuni.
Zitto anasema yamemkuta. Huko alikokuwa nao mkutanoni hatupeani mrejesho. Ila baba lao anapuyanga tu:
View attachment 2049115
Pamoja na jitihada zozote ambazo kama nchi tunazoweza kuchukua, assume all standard and recommended measures are put in place, still Kuna watu watakufa. That's natural history of any disease. Ni kweli tuendelee kuchukua tahadhari zote lakini suala la kufa anayejua ni Mungu.Taabu yake ni kupita na kuondoka na watu ambao wangeweza kuepushwa kutokana na uzembe wa wenye dhamana ya kuwalinda.