Tuelezane Ukweli Mficha Ugonjwa Kifo Humfichua


Measures hata za kuwataarifu watu kama vipi wasisafiri kwenda likizo kwenye hizi likizo za mwisho wa mwaka wewe huoni kuwa zingeweza kuokoa maisha ya watu?

Kwanini wanafanya siri yao na familia zao?

Kuna Simba mahali wanafanya siri wa kuliwa shauri yake isipokuwa wao?

Kama ndoto vile. Maisha ya muhimu ni yao peke yao siyo?
 
Duh,Muogope Mungu. Makonda wote!?
Halafu umepanda daladala za wapi Mkuu!?
Maana jana tu ulikua Sanya juu!?
Sawa,umefika Dar kwa ndege,huko hali ilikuaje!?
Wewe Sanya juu unapaona ni mbali?

Kwani London unatumia saa ngapi bwashee direct?
 
Wapiga ramli mshaanza... sijui mnataka nn ktk hii nchi... kajfungue bas... mtt wa kiume unaumwa mafua unakuja kulalamika mitandaoni. Ulita wizara ya afya ikufanyeje sasa... acheni mawazo mgando...

Asante mama
Asante JPM
 
Wapiga ramli mshaanza... sijui mnataka nn ktk hii nchi... kajfungue bas... mtt wa kiume unaumwa mafua unakuja kulalamika mitandaoni. Ulita wizara ya afya ikufanyeje sasa... acheni mawazo mgando...

Asante mama
Asante JPM

Mawazo mgando si mmesema mnayo viroboto:

 
la kuambiwa changanya na zako,mpaka Sasa huwa nawaza tuliyoambiwa kuhusu kovid ,ni kweli ilikuwepo au kiini macho!?, population tz mil.60,chanjo mil.1. na sio wote wamechanja, Sasa hawa wachache waliochanja ndo pametulia hv!?, anyway ,haka kadalili ka mafua na kifua kubana kias,kasiwaogopeshe wahi hosptl,kapate chanjo Kama bado!!
 

Ngoja wajishauri kwanza. "Mtanzania ni mchumi wa magonjwa na ujuzi" -- Mh. Jaji

Swali fikirishi kuhusu chanjo za Corona
 
Mungu atuepushe na majanga haya, amin.
 
Umetoroka Mirembe? Mleta hoja umemuelewa?
Nimejibu koment yako. Huyo mleta hoja au mada anataka kulazimisha hisia zake ndio sahiii. And serikali kusema ni mafua ya msimu hawako sahihi. Ndio hapo ukapewa reference ya mafua 2019. Unaanza kuleta habari zako za covid.
 
Yani vile nimeugua kuanzia alhamisi mpaka jana! Mungu anajua. Nilianza kata tamaa.Homa kali,mafua,kifua,baridiiiii mwili mzima.

Nimepambana na madawa ya kila aina at least leo naona naanza hata kujielewa.

Kuna shida ipo
 
Kwahiyo unataka nchi iwe kwenye lockdown watu wafe kwa hofu? Na chakula utawapa wewe? Bora maisha yasonge kila mmoja achukue tahadhari
 
Kwahiyo unataka nchi iwe kwenye lockdown watu wafe kwa hofu? Na chakula utawapa wewe? Bora maisha yasonge kila mmoja achukue tahadhari

Ujinga mzigo mjomba panga kuutua kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…