Akitukana tu, imoo.Unaonekana bado unajitafuta,hakuna kitu cha ajabu hapo ila wewe umeona ni ajabu ndio maana ukaanzisha na uzi,
Anyway ngoja wataalamu wakaangalie CCTV, table number 80 kwenye huo muda ili wakujue wewe ni nani.
😀😀
Sijakusoma mkuu!Akitukana tu, imoo.
Waache kaka zangu🤸labda nikupe namba ya mchepuko wangu umuulize mwenyewe kwani nikisema mm mtasema najifagilia, halafu unapotaka kufanya matumizi ushikiwi fimbo ni hiari yako, sasa ya nini uanze kutembeza bill mitandaoni? ulilazimishwa, wanaume wa dar wana tabu kubwa sana wallah
Kwani walimu wanalipwa tsh ngapi?Duuh umekula mshahara wa mwalimu kwa siku moja!!??
Laki nne tatu hapo ukipiga kodi michango ya mifuko ya hifadhi za jamii unarudi chini kama furushi la mahindiKwani walimu wanalipwa tsh ngapi?
Khaaa! Natamani niseme kitu ila Pole sana🤣🤣🤣Jana nilienda kutazama fainal uefa pale kuku kuku.
Fainali ikiendelea na mimi niliendelea kuburudika, bill ikaja hii.
Anyway tutafute pesa kwa kasi sanaView attachment 3006436
Mbona hakuna cha ajabu?Jana nilienda kutazama fainal uefa pale kuku kuku.
Fainali ikiendelea na mimi niliendelea kuburudika, bill ikaja hii.
Anyway tutafute pesa kwa kasi sanaView attachment 3006436
Si unajua Maskini akipata fursa?Huyu ni mgonjwa unawezaje kuchanganya mavitu kama hayo tumbo moja?
Au wewe ni mzambia maana hao ukisafiri na Kwa bus utakoma,maana hao jamaa wanakula kuanzia Tunduma mpaka Dar
wakwende huko.Waache kaka zangu
Hapo anaona kavunja kibubu hatari sana.Bado sisi ni masikini sana.
Elfu 89 mtu unapost JF aisee.
Hakika, redbull 3 within 2hrsMe naona bei ya kawaida sijui wenzangu. Mfano:
Mango juice 2 kwa elfu 5 kila moja.
Redbull 3 kwa elfu 6 kila moja.
Pepsi 3 kwa elfu 3 kila moja
Maji ya klm nusu lita kwa elfu 3 kila moja
Sema kama ulikua peke yako, ndani ya masaa mawili unakula ivo? We unaumwa
vijana mnazinguaJana nilienda kutazama fainal uefa pale kuku kuku.
Fainali ikiendelea na mimi niliendelea kuburudika, bill ikaja hii.
Anyway tutafute pesa kwa kasi sanaView attachment 3006436
Kumlishwa chakula na bwana wako ndio uje kututangaziaTa
Tafuta hela mkuu
Mimi sizitafuti.Sijazipoteza na wala sikuwa nazo.Na saa hizi napiga CMS kwa upole kabisa.😎Jana nilienda kutazama fainal uefa pale kuku kuku.
Fainali ikiendelea na mimi niliendelea kuburudika, bill ikaja hii.
Anyway tutafute pesa kwa kasi sanaView attachment 3006436
Mkuu kuna walimu wale wa siku nyingi kazini wanapiga zaidi ya mLaki nne tatu hapo ukipiga kodi michango ya mifuko ya hifadhi za jamii unarudi chini kama furushi la mahindi
Hapo hujasema logistic za kwenda,kwa kifupi Bata Lina wenyewe.Jana nilienda kutazama fainal uefa pale kuku kuku.
Fainali ikiendelea na mimi niliendelea kuburudika, bill ikaja hii.
Anyway tutafute pesa kwa kasi sanaView attachment 3006436