Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
- Thread starter
- #121
😀😂😂😂Pole sana,
Nimesikitishwa sana na taarrifa hizi, nimefedheheshwa sana na askari wetu kwa hatua walizochukua dhidi ya raia huko kawe.
Naomba utulivu na subiira kidogo ili kujiridhisha na hatimae, niwahakikishie, hatua kali stahiki za kijeshi zitachukuliwa dhidi ya wote watakao thibitika kushiriki aibu hii...
Hakika wewe unafaa kupewa nafasi aliyonayo waziri wetu wa ulinzi leo.
Ingawa umeigiza, lkn umeonesha uthubutu wa uongozi kupitia kauli yako.