Nani anatafutiwa kutendewa haki hapa?!...Mfanyabiashara, Kikwete au JPM?Kuna mfanyabiashara maarufu alipitia mateso makali kwa kipindi cha miaka minne, ikiwemo kubinywa korodani, akilazimishwa aseme uongo kuwa alitoa dola milioni 100 kwa Rais Kikwete. Mwendazake alitaka kutumia ushahidi huo kumkamata Kikwete. Ni lazima atendewe haki.
Nawahurumia sana wamsingiziao mtu wa Mungu aliyeletwa na Mungu kuitawala Tanzania kwa kusudi maalum, lilipokamilisha, Mungu akamuita kwake ili kumpangia majukumu mengine, na hivi tunavyozunguza ni siku nyingi yuko kwa Baba Yake!!. Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani
P
Yule jambazi!Wewe ni Mpuuzi, ulimuuza kabendera. Karma will pay you, trust me!
Rais mstaafu ana ofisi inayogharamiwa kwa fedha za walipa kodi. Tusubiri, watatoa ufafanuzi kama wataona haja ya kufanya hivyo.Tuhuma za Erick Kabendera dhidi ya Marehemu Magufuli, ni nzito mno ikiwa ni pamoja na madai ya Kabendera kuwa Magufuli alitaka kumkamata Kikwete kwa tuhuma za kuhongwa fedha na mfanyabiashara mmoja ambae hakumtaja japo yupo anaehisiwa.
Katika hali ya kawaida, tulitarjie Kikwete ajitokeze hata kupitia mitandao na kusema jambo: sikuwa na ugomvi na Magufuli au vinginevyo.
Sasa ukimya huu wa JK tafsiri yake nini?
Je, ndio anamanisha silence means yes?
Binafsi naona huu ni mwanzo tu na kuna mengine yanakuja.
Tusubiri.
Yeye na Mkapa walimyima asibadilishe katiba. Mkapa akaenda zake akabaki na JK sasa!Yaani Magufuli asiwakamate wepesi kama kina Nape, Makamba, Kinana na Membe, akamkamate Rais mstaafu? Watanzania tuache kuamini chai. Tuwe na strong reasoning.
Nafikiri ndio maana Mungu alimchukua mapema ili tamaa yake isije umiza wengi.
Story za kihuni wewe unazisoma vp?Tuhumu nyingi ni za uongo.Ndio maana hazimalizi siku tatu.Hii inatokana kuwa Watanzania wengi wanapenda story za uongo na za kupuuzi.Hawapendi kazi .Na hata ww mleta mada unapenda story za kipuuzi na kijinga.Magufuli hayupo duniani.Lakin alifanya makubwa sana kiasi kwamba wapumbavu wote wanataka kumchafua .Wakati wao hawajawahi kufanya cha maana zaidi ya story za kihuni na kioumbavu Kama hizi.
Wanyonge na masikini wao wanamsifu kwa kuwajengea uwanja wa ndege chato pamoja na kuwanunulia ndege wakapande
Kumbuka Jiwe alikuwa hafati sheria wala katibaNa wewe umeamini huo utopolo wa Kabendera?
Hata kama Magufuli alikuwa dikteta lakini kwa hili atakuwa anasingiziwa.
Kwani katiba ya kutoruhusu Rais mstaafu asishtakiwe ingebadilishwa?
Kwa hili tu,nadiriki kusema huu ni utopolo..
Hata hivyo sio kila kitu ni cha kujibu kwa watu wakubwa kama kina Kikwete
We dogo, Amon Lisa, heshima ni kitu cha bure!, mimi naweza kuwa ni baba yako wa kukuzaa!, sio heshima kunitukana mpuuzi!.Wewe ni Mpuuzi, ulimuuza kabendera. Karma will pay you, trust me!
Tukosowane kwa staha mkuu.Wewe ni Mpuuzi, ulimuuza kabendera. Karma will pay you, trust me!
JPM alikuwa mwizi,muongo,kibaka,sasa tumejua zile tilioni 360!,ilikuwa kanyaboya tu,sasa vipi kuhusu watu walioteswa,kupoteza maisha,kufungwa?Tuhuma za Erick Kabendera dhidi ya Marehemu Magufuli, ni nzito mno ikiwa ni pamoja na madai ya Kabendera kuwa Magufuli alitaka kumkamata Kikwete kwa tuhuma za kuhongwa fedha na mfanyabiashara mmoja ambae hakumtaja japo yupo anaehisiwa.
Katika hali ya kawaida, tulitarjie Kikwete ajitokeze hata kupitia mitandao na kusema jambo: sikuwa na ugomvi na Magufuli au vinginevyo.
Sasa ukimya huu wa JK tafsiri yake nini?
Je, ndio anamanisha silence means yes?
Binafsi naona huu ni mwanzo tu na kuna mengine yanakuja.
Tusubiri.
JPM alikuwa mwizi,muongo,kibaka,sasa tumejua zile tilioni 360!,ilikuwa kanyaboya tu,sasa vipi kuhusu watu walioteswa,kupoteza maisha,kufungwa?
Hv we unamchukuliaje mtu km Rais? Unlike upuuzi wako are kujibu.Tuhuma za Erick Kabendera dhidi ya Marehemu Magufuli, ni nzito mno ikiwa ni pamoja na madai ya Kabendera kuwa Magufuli alitaka kumkamata Kikwete kwa tuhuma za kuhongwa fedha na mfanyabiashara mmoja ambae hakumtaja japo yupo anaehisiwa.
Katika hali ya kawaida, tulitarjie Kikwete ajitokeze hata kupitia mitandao na kusema jambo: sikuwa na ugomvi na Magufuli au vinginevyo.
Sasa ukimya huu wa JK tafsiri yake nini?
Je, ndio anamanisha silence means yes?
Binafsi naona huu ni mwanzo tu na kuna mengine yanakuja.
Tusubiri.
Kwanini hakumtaja huyo mfanyabiashara km ameweza kumtaja mtu mkubwa km rais?Tuhuma za Erick Kabendera dhidi ya Marehemu Magufuli, ni nzito mno ikiwa ni pamoja na madai ya Kabendera kuwa Magufuli alitaka kumkamata Kikwete kwa tuhuma za kuhongwa fedha na mfanyabiashara mmoja ambae hakumtaja japo yupo anaehisiwa.
Katika hali ya kawaida, tulitarjie Kikwete ajitokeze hata kupitia mitandao na kusema jambo: sikuwa na ugomvi na Magufuli au vinginevyo.
Sasa ukimya huu wa JK tafsiri yake nini?
Je, ndio anamanisha silence means yes?
Binafsi naona huu ni mwanzo tu na kuna mengine yanakuja.
Tusubiri.
Nawewe umejuwaje kama kikwete hasingiziwi.?Wewe unajuaje kuwa anasingiziwa?