Tuhuma za Kabendera dhidi ya Magufuli na ukimya wa Kikwete. Je, tuamini ni kweli?

Tuhuma za Kabendera dhidi ya Magufuli na ukimya wa Kikwete. Je, tuamini ni kweli?

Tuhuma za Erick Kabendera dhidi ya Marehemu Magufuli, ni nzito mno ikiwa ni pamoja na madai ya Kabendera kuwa Magufuli alitaka kumkamata Kikwete kwa tuhuma za kuhongwa fedha na mfanyabiashara mmoja ambae hakumtaja japo yupo anaehisiwa.

Katika hali ya kawaida, tulitarjie Kikwete ajitokeze hata kupitia mitandao na kusema jambo: sikuwa na ugomvi na Magufuli au vinginevyo.

Sasa ukimya huu wa JK tafsiri yake nini?

Je, ndio anamanisha silence means yes?

Binafsi naona huu ni mwanzo tu na kuna mengine yanakuja.

Tusubiri.
Does silence "in bag yes?"
 
Watanzania walio wengi wenye akili waliujua ubaya wa Magufuli tangu akiwa hai, hawahitaji kuambiwa na mtu.

Wanancji wa Nyanda za Juu Kusini wanajua jinsi mbao zao na mahindi yalivyokosa soko mpaka kufikia gunia la mahindi la kilo 100 kuuzwa kwa sh 20,000 utokana na Magufuli kuharibu mahusiano mazuri ya kibiashara yaliyokuwepo kati ya Kenya na Tanzania.

Kanda ya Kaskazini wanaujua ubaya wa Magufuli kwa jinsi walivyoshuhudia namna biashara ya utalii ilivyokuwa imeanguka na TRA walivyoweza kuwababikizia kesi wafanyabiashara na kufunga biashara zao.

Kanda ya Kusini wanaujua sana ubaya wa Magufuli jinsi alivyoua biashara ya korosho.

Tanzania nzima wafanyabiashara na wawekezaji kwenye sekta ya mahoteli wanajua Magufuli alivyoua biashara zao.

Wanasiasa wanajua jinsi ambavyo Magufuli alivyowanyima uhuru, na kuua kabisa demokrasia.

Watanzania wote wenye akili timamu na waeio wanafiki wanajua namna marehemu alivyoporomosha ukuaji wa uwekezaji toka 28% mpaka 4%; ukuaji wa sekta ya utalii alivyouporomosha toka 15% mpaka 3.6%. Wanajua namna alivyoua utawala wa sheria, wanajua alivyoua demokrasia.

WanaCCM wanajua namna Magufuli alivyoua demokrasia ndani ya chama kwa kupachika majina ya wagombea aliowataka bila ya kujali wala kuongozwa na kura za maoni.

Watanzania wanamfahamu Magufuli namna alivyokuwa dikteta, alivyokuwa mpenda sifa, na asiyekubali kukosolewa kwa lolote.
Wapumbavu kama nyinyi mnaojiona akili kubwa mko wachache sana na platform yenu ni humu humu jamii forums tuu,watanzanua walio wengi hawawezi na kamwe hawataamini story zenu
 
Marais Wana Kinga kama Magufuli angetaka kumkamata Kikwete ilikuwa rahisi kwani alisaini makubaliano ya gesi na mafuta ya Zanzibar ambayo yalikuwa ukiukwaji wa katiba
 
Kwa hiyo wewe kwa unavyomjua JK hawezi kufanya hivyo? Yaani from nowhere tu jiwe ambananishe mtu. Mbona anajua gesi ya mtwara iliuzwa na hatuna chetu iweje asimkamatie hapo
Lete ushahidi kwamba gesi ya mtwara iliuzwa
 
Tuhuma za Erick Kabendera dhidi ya Marehemu Magufuli, ni nzito mno ikiwa ni pamoja na madai ya Kabendera kuwa Magufuli alitaka kumkamata Kikwete kwa tuhuma za kuhongwa fedha na mfanyabiashara mmoja ambae hakumtaja japo yupo anaehisiwa.

Katika hali ya kawaida, tulitarjie Kikwete ajitokeze hata kupitia mitandao na kusema jambo: sikuwa na ugomvi na Magufuli au vinginevyo.

Sasa ukimya huu wa JK tafsiri yake nini?

Je, ndio anamanisha silence means yes?

Binafsi naona huu ni mwanzo tu na kuna mengine yanakuja.

Tusubiri.
Ukinipa sababu halisi ya Salma Kikwete kuhongwa ubunge viti maalum, nitamshauri Mzee Kikwete aseme neno
 
Sasa ukimya huu wa JK tafsiri yake nini?
Sio kila jambo ni la kujibu
Kinachoonekana hapa ni Kabendera bado ana maumivu ya kuchangia kifo cha mama yake kwa ukaidi wake wa kushindana na dola,kulipelekea yeye kuswekwa rumande na kusababish mamaa kukosa huduma zake mpaka akafariki
 
Ndio maana yule Mzee wa Kisingasinga alikuwa anakondeana sana kumbe Magufuli alikuwa akimvuta Korodani kwa miaka minne?
jaynerd.png
what.png
 
Kuna mfanyabiashara maarufu alipitia mateso makali kwa kipindi cha miaka minne, ikiwemo kubinywa korodani, akilazimishwa aseme uongo kuwa alitoa dola milioni 100 kwa Rais Kikwete. Mwendazake alitaka kutumia ushahidi huo kumkamata Kikwete. Ni lazima atendewe haki.

Now that huyo mwendazake hayupo tena, kuna ugumu gani kumtaja huyo mfanyabiashara aliebinywa korodani continously kwa miaka minne?
 
Baada ya tuhuma nyingi juu yahuyu mtu niliamua kujipa muda kupitia hotuba zake, matamko mbali mbali na kujaribu k yahusisha na sifa na lawama juu juu yake. Niligundua kuwa ni sawa kusifiwa na kulaumiwa pia. Anayesifia ana sababu na anyelaumu ana sababu. Kumtukuza sana unaweza kukufuru, na kumsema sana unaweza kukose.
 
Watu mlijazwa ujinga sana na Jiwe... Gesi ya Mtwara ipi?! Kama ni ile ambayo inazalisha umeme Kinyerezi, ile ilianza kuchimbwa wakati wa Mkapa, na shareholder mkubwa alikuwa Artmus.

Baada ya Artmus kufungasha virago, nae akawauzia investors wengine huku TPDC akibakiwa some percentages kwa niaba ya serikali!

Kama ni gesi iliyogunduliwa zama za JK, hadi sasa haijachimbwa hata tone. Sasa gesi unayoisema wewe ni ipi?! Na kwavile JPM aliwadanganya gesi yote imeuzwa, sasa jitihada zilizokuwa zinafanywa na serikali yake kutaka kujenga kiwanda cha kuchakata gesi ilikuwa kwa ajili ya kuwasaidia hao walionunua hiyo gesi, ama?!
Chief umeupiga mwingi na huo ndio ukweli iliyogunduliwa kipindi cha Kikwete ndio inachimbwa saizi maeneo ya Nanguruwe Mtwara vijijini na pia pameletwa watafiti wanaendelea na tafiti maeneo yanayoendelea ukanda huo
 
Tuhuma za Erick Kabendera dhidi ya Marehemu Magufuli, ni nzito mno ikiwa ni pamoja na madai ya Kabendera kuwa Magufuli alitaka kumkamata Kikwete kwa tuhuma za kuhongwa fedha na mfanyabiashara mmoja ambae hakumtaja japo yupo anaehisiwa.

Katika hali ya kawaida, tulitarjie Kikwete ajitokeze hata kupitia mitandao na kusema jambo: sikuwa na ugomvi na Magufuli au vinginevyo.

Sasa ukimya huu wa JK tafsiri yake nini?

Je, ndio anamanisha silence means yes?

Binafsi naona huu ni mwanzo tu na kuna mengine yanakuja.

Tusubiri.
Bila kupepesa macho ilo jambo linaweza kuwa kweli cos Msoga alikuwa na kundi la matepeli na mpaka kesho anao mfn wakina Papaa Msofe
 
Tuhuma za Erick Kabendera dhidi ya Marehemu Magufuli, ni nzito mno ikiwa ni pamoja na madai ya Kabendera kuwa Magufuli alitaka kumkamata Kikwete kwa tuhuma za kuhongwa fedha na mfanyabiashara mmoja ambae hakumtaja japo yupo anaehisiwa.

Katika hali ya kawaida, tulitarjie Kikwete ajitokeze hata kupitia mitandao na kusema jambo: sikuwa na ugomvi na Magufuli au vinginevyo.

Sasa ukimya huu wa JK tafsiri yake nini?

Je, ndio anamanisha silence means yes?

Binafsi naona huu ni mwanzo tu na kuna mengine yanakuja.

Tusubiri.
HIVI MKUU KIPINDI ANAINGIA JPM MADARAKANI GWAJIMA AKAWA ANAMSEMANGA JK KWENYE KANISA LAKE KWA KUMUHUSISHA NA WIZI ULISHAWAHI KUPOST KUWA JPM AKANUSHE AU ASIKANUSHE MANENO YA GWAJI BOY......?
 
Watanzania walio wengi wenye akili waliujua ubaya wa Magufuli tangu akiwa hai, hawahitaji kuambiwa na mtu.

Wanancji wa Nyanda za Juu Kusini wanajua jinsi mbao zao na mahindi yalivyokosa soko mpaka kufikia gunia la mahindi la kilo 100 kuuzwa kwa sh 20,000 utokana na Magufuli kuharibu mahusiano mazuri ya kibiashara yaliyokuwepo kati ya Kenya na Tanzania.

Kanda ya Kaskazini wanaujua ubaya wa Magufuli kwa jinsi walivyoshuhudia namna biashara ya utalii ilivyokuwa imeanguka na TRA walivyoweza kuwababikizia kesi wafanyabiashara na kufunga biashara zao.

Kanda ya Kusini wanaujua sana ubaya wa Magufuli jinsi alivyoua biashara ya korosho.

Tanzania nzima wafanyabiashara na wawekezaji kwenye sekta ya mahoteli wanajua Magufuli alivyoua biashara zao.

Wanasiasa wanajua jinsi ambavyo Magufuli alivyowanyima uhuru, na kuua kabisa demokrasia.

Watanzania wote wenye akili timamu na waeio wanafiki wanajua namna marehemu alivyoporomosha ukuaji wa uwekezaji toka 28% mpaka 4%; ukuaji wa sekta ya utalii alivyouporomosha toka 15% mpaka 3.6%. Wanajua namna alivyoua utawala wa sheria, wanajua alivyoua demokrasia.

WanaCCM wanajua namna Magufuli alivyoua demokrasia ndani ya chama kwa kupachika majina ya wagombea aliowataka bila ya kujali wala kuongozwa na kura za maoni.

Watanzania wanamfahamu Magufuli namna alivyokuwa dikteta, alivyokuwa mpenda sifa, na asiyekubali kukosolewa kwa lolote.
Hapo Kenya sio Magufuli tu! Mpaka Nyerere alishafungaga mipaka hetu kwa Kenya! Kenya na wanafanya sana ujasusi wa kiuchumi, ukizubaa unaliwa kichwa, nimesikia Rais Ruto majuzi anaomba East Africa kusiwe na Visa unajua target yao wakenya hapo? Mkenya alikuwa anaingia mpaka shamban kabisa kwemda kununua mahindi!
 
Magufuli hakujaa akili na roho ya kishetani tu Bali ya shetani kichaa
 

Tusijitie usahaurifu ungekuwa mkweli ungemwambia JPM nae akanushe sio kwa mzee wa msoga tu
 

Attachments

  • 5080318-109b8173afa8e32ac0c5f6c45963eb20.mp4
    589.9 KB
Back
Top Bottom