Tuhuma za Madawa ya Kulevya: Kamishna Jenerali wa DCEA akosoa utaratibu alioutumia Makonda

Tuhuma za Madawa ya Kulevya: Kamishna Jenerali wa DCEA akosoa utaratibu alioutumia Makonda

Hali kwa Dar sio nzuri kabisa. Vijana wa kiume wanapaka mpaka lipstiki?

Bangi na madawa yanavutwa vibarazani. Vijana wa kiume wanajiuza kabisa.

Alafu mkuu wa nchi anabembeleza eti tuige mila mbaya za wazungu tuinge kuvaa suti badala ya kukemea hadharani kisa tu Kamala Harris atatembelea Bongo na kutoa tril 1.3.

Bora amteue tena Makonda kudhibiti hii hali.
Na hapo ndio mkuu atakuwa ameharibu zile misifa ya kila kukicha.
KATIBA Mpya viongozi waombe nafasi na kupigiwa kura pia wajieleze kwanini wanajiona watafaa hizo nafasi.!
 
Hali kwa Dar sio nzuri kabisa. Vijana wa kiume wanapaka mpaka lipstiki?

Bangi na madawa yanavutwa vibarazani. Vijana wa kiume wanajiuza kabisa.

Alafu mkuu wa nchi anabembeleza eti tuige mila mbaya za wazungu tuinge kuvaa suti badala ya kukemea hadharani kisa tu Kamala Harris atatembelea Bongo na kutoa tril 1.3.

Bora amteue tena Makonda kudhibiti hii hali.
Hapana. Aliachia kazi mwenyewe bila kushurutishwa.
Hata hivyo huwezi kupambana na hayo mambo kama Rais mwenyewe hana nia ya kutokomeza hayo matatizo.
 
Hali kwa Dar sio nzuri kabisa. Vijana wa kiume wanapaka mpaka lipstiki?

Bangi na madawa yanavutwa vibarazani. Vijana wa kiume wanajiuza kabisa.

Alafu mkuu wa nchi anabembeleza eti tuige mila mbaya za wazungu tuinge kuvaa suti badala ya kukemea hadharani kisa tu Kamala Harris atatembelea Bongo na kutoa tril 1.3.

Bora amteue tena Makonda kudhibiti hii hali.
Genge S mnakumbushwa kuwa Magufuli na vibaraka wake hawakubaliki!
 
Nani anayo ile video yake anaingia hotelini kashikwa mkono na mzungu?
 
Hali kwa Dar sio nzuri kabisa. Vijana wa kiume wanapaka mpaka lipstiki?

Bangi na madawa yanavutwa vibarazani. Vijana wa kiume wanajiuza kabisa.

Alafu mkuu wa nchi anabembeleza eti tuige mila mbaya za wazungu tuinge kuvaa suti badala ya kukemea hadharani kisa tu Kamala Harris atatembelea Bongo na kutoa tril 1.3.

Bora amteue tena Makonda kudhibiti hii hali.
IMG-20230324-WA0066.jpg
 
Hali kwa Dar sio nzuri kabisa. Vijana wa kiume wanapaka mpaka lipstiki?

Bangi na madawa yanavutwa vibarazani. Vijana wa kiume wanajiuza kabisa.

Alafu mkuu wa nchi anabembeleza eti tuige mila mbaya za wazungu tuinge kuvaa suti badala ya kukemea hadharani kisa tu Kamala Harris atatembelea Bongo na kutoa tril 1.3.

Bora amteue tena Makonda kudhibiti hii hali.
Wao wakifanya hivyo wewe inakuuma nini? Mjini kila mtu na maisha yake hata tunapokuwa vijijini kule wazazi wetu wanatuhasa mkienda mjini fuateni yenu achaneni na maisha ya watu wewe umesahau kilichokuleta dar umeanza kufwatilia ya watu, utapoteza sana muda wako mkuu
 
Mnashupalia hili jambo utafikiri tumevamiwa bhana, lea watoto wako katika maadili mema nao watayatii hata wakiwa wazee, mbona wewe si wa kihivyo?!

Wazazi wasikwepe jukumu la kulea wakifikiri kiongozi ndio atawalea.
 
Hali kwa Dar sio nzuri kabisa. Vijana wa kiume wanapaka mpaka lipstiki?

Bangi na madawa yanavutwa vibarazani. Vijana wa kiume wanajiuza kabisa.

Alafu mkuu wa nchi anabembeleza eti tuige mila mbaya za wazungu tuinge kuvaa suti badala ya kukemea hadharani kisa tu Kamala Harris atatembelea Bongo na kutoa tril 1.3.

Bora amteue tena Makonda kudhibiti hii hali.
Na Sabaya nae arudishwe Hai au?
 
Hali kwa Dar sio nzuri kabisa. Vijana wa kiume wanapaka mpaka lipstiki?

Bangi na madawa yanavutwa vibarazani. Vijana wa kiume wanajiuza kabisa.

Alafu mkuu wa nchi anabembeleza eti tuige mila mbaya za wazungu tuinge kuvaa suti badala ya kukemea hadharani kisa tu Kamala Harris atatembelea Bongo na kutoa tril 1.3.

Bora amteue tena Makonda kudhibiti hii hali.
Kwani hapa Makonda mwenyewe anafanya nini?,
20230404_064405.jpg
angalia huo mkao hapo kama ni wa kirijali
 
Mnaacha kufatilia mambo ya msingi mnafatilia .mi ku.ndu ya watu. Hii nchi uwezo wa kufikiri ni mdogo sana
 
Back
Top Bottom