Tuhuma za Madawa ya Kulevya: Kamishna Jenerali wa DCEA akosoa utaratibu alioutumia Makonda

Na hapo ndio mkuu atakuwa ameharibu zile misifa ya kila kukicha.
KATIBA Mpya viongozi waombe nafasi na kupigiwa kura pia wajieleze kwanini wanajiona watafaa hizo nafasi.!
 
Hapana. Aliachia kazi mwenyewe bila kushurutishwa.
Hata hivyo huwezi kupambana na hayo mambo kama Rais mwenyewe hana nia ya kutokomeza hayo matatizo.
 
Genge S mnakumbushwa kuwa Magufuli na vibaraka wake hawakubaliki!
 
Nani anayo ile video yake anaingia hotelini kashikwa mkono na mzungu?
 
 
Wao wakifanya hivyo wewe inakuuma nini? Mjini kila mtu na maisha yake hata tunapokuwa vijijini kule wazazi wetu wanatuhasa mkienda mjini fuateni yenu achaneni na maisha ya watu wewe umesahau kilichokuleta dar umeanza kufwatilia ya watu, utapoteza sana muda wako mkuu
 
Mnashupalia hili jambo utafikiri tumevamiwa bhana, lea watoto wako katika maadili mema nao watayatii hata wakiwa wazee, mbona wewe si wa kihivyo?!

Wazazi wasikwepe jukumu la kulea wakifikiri kiongozi ndio atawalea.
 
Na Sabaya nae arudishwe Hai au?
 
Kwani hapa Makonda mwenyewe anafanya nini?, angalia huo mkao hapo kama ni wa kirijali
 
Mnaacha kufatilia mambo ya msingi mnafatilia .mi ku.ndu ya watu. Hii nchi uwezo wa kufikiri ni mdogo sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…