MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Kwa mtu maarufu kama yeye kukimbilia nje ya nchi bila kupatikana ni ngumu. Wanaoweza kufanya hivyo ni wale mashahidi tu wa kuisaidia polisi ila MAIN CHARACTER lazima atafutwe.Labda awe Afghanistan Ila kama Yuko nchi za Ulaya na Asia ya mbali lazima Interpol wamrudishe na Pingu mkononi.
Halafu huwez kumwaga damu ya MTU ukabaki Salama
Atakuwa kwa Shilole.Je uchebe yuko wapi?
Mzee wa diri
Uyu uchebe ni wa kusweka lockup imediately.Sasa nimeelewa kwanini mtungi wangu wa kupikia zamani ulikua unakaa miezi mitatu ndio unaisha, na sasa hivi mtungi huo huo u akaa mwezi mmoja unaisha.
Sasa nimeelewa kwanini maduka mengi ya kuuza Gas hayakai na mizani ya kupimia uzito wa mitungi.
Ina maana mitungi ya gas tunayouziwa inakuwa imepigwa pipe na watu dizaini ya Adinani.
Ina maana tunauziwa mitungi yenye ujazo nusu kwa bei ya mitungi iliyojaa.
Nitashangaa kama huyo mpiga deal Adinani ataachiwa huru.[emoji848]
Mkila tungi ata ujiniaz unapotea mzeeNo body is doubting the presumption of innocence because it is an inalienable constitutional right. However ursuping the power of prosecuting and and convicting was crossing the lines of rule of law.
Kama hao walinzi wa geti walikuwa ni sehemu ya wapiga deal ya wizi wa gesi, basi kama kweli Andron ni genius kama tunavyoaminishwa basi angeyafuta namna nyingine ya kuwakamata na siyo kwenda mwenyewe physically under influence of hard substances
Mtu smart huwa anapeleka mambo yake clean kias kwamba athari kwake ni ndogo sana... Ss ye anafanya maamuzi ya kuathiri hadi waliomzunguka... Imagine watoto wanaweza baki kwa shida kisa kaenda na wife kwenye tukio, uyu jamaa hakuwa smart... Sema ujanja ujanja na zali tu.Adhabu ya mtu anayeimuibia muajiri wake ni kupigwa risasi na kufa? Huyo jamaa ni mjinga, kwa pesa alizonazo angeweza kupeleka kesi mahakamani na kuwafunga hao na kuwa fundisho kwa wengine.
Ujinga mwingine ambao amefanya ni kuubeba mwili na kwenda kuutupa kibaha. Hapo tayari inaonyesha alikusudia kufanya mauaji
Yuko 40Kwahiyo wanamaanisha alimaliza four akiwa na 13yrs patamu hamu ila sisi umri si hoja sie hizo tuhuma tu hayo ya umri watajuana na Mama yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Imekuaje tenaNimeamini damu ya mtu haipotei Bure hunuka popote ilipofichwa
Hahaa eti mendeHuu ndio mwanzo wa kuanguka kwa Mende. Damu ya mtu asiye na hatia haipotei bure.
Huyu dogo Mende kwa misifa ashajiharibia big time. Anaweza na ataweza kushinda kesi lakini Karma iko pale pale.
Jaman yule dada kaachiwa huru? Si ni yeye alikiri kufanya mauaji na akaonesha mahala alipomzika mama yake imekuaje tena? Nyie hii nchi [emoji53]Hii kesi ni kubwa,lakini kwa bongo ya michongo,itamalizwa faster!!kama kesi ya Yule Binti aliyeua mama yake akamfukia uhani,DPP aliishia kusema"serikali Haina Nia ya kuendelea na kesi"Binti akawa huru!sasa hv anakula maisha na mganga wake walieshirikiana kuua,
Aliachiwa huru yule Binti Wendy,yupo Mtaani anakula rahaJaman yule dada kaachiwa huru? Si ni yeye alikiri kufanya mauaji na akaonesha mahala alipomzika mama yake imekuaje tena? Nyie hii nchi [emoji53]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba hakupatikana na hatia ama nini kilitokea?Aliachiwa huru yule Binti Wendy,yupo Mtaani anakula raha
DPP alifuta nia ya kuendelea na Kesi dhidi yake,KITAALAM inaitwa Nole sijui,yaani kama Mbowe alivyofutiwa Kesi yake
Anashindaje kesi hii na huo ushahidi intact kabisa. Kwenye murder case inatafutwa mens rea, na unaiona kabisa mtu ametoka na bunduki nyumbani akiwa na dhamira ya kwenda kumuua mwizi wa gesi.Huu ndio mwanzo wa kuanguka kwa Mende. Damu ya mtu asiye na hatia haipotei bure.
Huyu dogo Mende kwa misifa ashajiharibia big time. Anaweza na ataweza kushinda kesi lakini Karma iko pale pale.
[emoji53][emoji53] duhh!DPP alifuta nia ya kuendelea na Kesi dhidi yake,KITAALAM inaitwa Nole sijui,yaani kama Mbowe alivyofutiwa Kesi yake
Hata mie nilikuwa nashangaa hiki kitu unajiuliza mbona napika kawaida gas inaisha vipi haraka? Ila hii niliwahi sikia Mama mmoja akilalamika aliwahi kuta kabisa gari limesimamishwa kazi waifanyayo ndiyo hiyo.Sasa nimeelewa kwanini mtungi wangu wa kupikia zamani ulikua unakaa miezi mitatu ndio unaisha, na sasa hivi mtungi huo huo u akaa mwezi mmoja unaisha.
Sasa nimeelewa kwanini maduka mengi ya kuuza Gas hayakai na mizani ya kupimia uzito wa mitungi.
Ina maana mitungi ya gas tunayouziwa inakuwa imepigwa pipe na watu dizaini ya Adinani.
Ina maana tunauziwa mitungi yenye ujazo nusu kwa bei ya mitungi iliyojaa.
Nitashangaa kama huyo mpiga deal Adinani ataachiwa huru.[emoji848]
Jaman basi ntakua nanunua gas mahala penye mizan tu kwingne hapana. Kumbe tunaibiwa bila kujua.Hata mie nilikuwa nashangaa hiki kitu unajiuliza mbona napika kawaida gas inaisha vipi haraka? Ila hii niliwahi sikia Mama mmoja akilalamika aliwahi kuta kabisa gari limesimamishwa kazi waifanyayo ndiyo hiyo.
Yaani tupigwa haswaa yaani bongo kila mahali shida hakuna hata pakumuliaJaman basi ntakua nanunua gas mahala penye mizan tu kwingne hapana. Kumbe tunaibiwa bila kujua.
Sent using Jamii Forums mobile app